Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Noma sanaNdio maana kuna watu wana "risk" wananunuaga laini za uwakala.
Naunga mkono hoja yako mkuu. Pia hata bajeti yake ni ndogo ukilinganisha na vile alivyovitaja.Italipa zaidi iwapo utapata location nzuri, Ni vigumu kwa fedha ya mtaji kukata, ukilinganisha na hizo option zilizotangulia. Zero IQ Atatoa mwanga zaidi kati hili.
Wewe tena mdogo angu unataka kufanya kazi au kwenda kupata nafuu ya maisha kwa mwanamke wa mithali??Daaah sijui nisemeje ila nipo tayari kukupa sapport kwa kazi zote ulizo orodhesha hapo maana nishawahi kufanya.
Hivo ukianza tu kama utahitaji kijana ambaye mwaminifu na anajitambua nipo hapa na nitafanya kwa ubunifu wa hali ya juu aisee.
Sapport pia kwenye capital ipo ila tu kama location ikawa nzuri nipo tayari kabisa
Khaaa sis huyo sio shangazi sasa..Wewe tena mdogo angu unataka kufanya kazi au kwenda kupata nafuu ya maisha kwa mwanamke wa mithali??
Wewe tunakujua unapenda mashangazi πππ
Tafuta kazi uko uko dom
Mwenzio ndio kwanza anajitafuta na wewe unawaza kujipachika πππKhaaa sis huyo sio shangazi sasa..
Mi nataka tukasaidiane tuu kwani kuna shida πππππππππ
Hata nikipata unafuu sawa tuu
Au unafurah navyoteseka huku dom sis
Kinafika soon..Mwenzio ndio kwanza anajitafuta na wewe unawaza kujipachika πππ
Kwanza kidumu changu cha wine kinafika lini??
Bado topo wa katiWa CHINI
Wewe liongo umetuma lini?? πππKinafika soon..
Alafu nimegundua kitu hata nikileta huwa hamsemi kama imefika au laa mi hapo hata moyo wa kutuma tena nakosa ππππ
Sis tuongee vizuri sasa nijue unanitoaje et πππππWewe liongo umetuma lini?? πππ
Unatoa ahadi hewa au pesa huna? Useme tukutumie ufanye deriver dogo.!
Na ikiwa nzuri tunakuagiza kwa group, biashara sio mpk uende China hata wine za dom zinaweza kukutoa..!!
Wewe liongo umetuma lini?? πππ
Unatoa ahadi hewa au pesa huna? Useme tukutumie ufanye deriver dogo.!
Na ikiwa nzuri tunakuagiza kwa group, biashara sio mpk uende China hata wine za dom zinaweza kukutoa..!!
Umeona sasa ulivyo hauko serious πππSis tuongee vizuri sasa nijue unanitoaje et πππππ
Hapo ndo nakukubali an..
Pesa hakuna ndio we tuma ili kesho by tisa hivi mzigo uwe ushafika πππππ
Mnauzaje hiyo lita 5
Hizi biashara hazitomlipa sababu ya mtaji wake. Mfano location nzuri ya kuweka transactions unakuta inalipiwa kodi sio chini ya 150,000 kwa mwezi na unalipia miezi sita na ya udalali hapo.Mawazo yako ni kama yangu. Hizi biashara zinafanywa na watu wengi sana na ni wengi wanakwama kwa sababu location nzuri karibu zote zina watu. Angejaribu kufikiria kitu kingine ambacho watu wengi hawafanyi. Kama ana utaalamu mzuri kwenye kuchagua viatu na mavazi (hasa ya kike) anaweza kujaribu kuweka goli sehemu.
Sasa takua serious πππππππUmeona sasa ulivyo hauko serious πππ
Sasa siku zote hizo ulishindwa nini kuwa mkweli?? Haya ntakucheck pm
Natafuta cargo shorts sipati napata zile za cadet zitapauka. Ila cargo pants zipo za kutosha. Ila nguo za kiume hazitoki sana na zina beiKama una sehemu anza na Belo 2 za mtumba ila fanya utafiti ni aina gani ya nguo zimatoka haraka
Sio kama inakufa ila ishakuwa kama duka la mangi kila mwenye milioni mbili tatu anakimbilia humo. Wenye mitandao wanachofanya ni kupunguza commission tu.Biashara ya uwakala inaenda kufa au? Mboni watu wanaipiga madongo sana?
Faida yake ni ndogo sana na kuipoteza ni kufumba na kufungua machoMboni mawakala wa M-Pesa hawafungi vibanda km hailipi? Fafanua