Akiorganize nyie wapenda ngono na mpira mtatoka? Waliorganize yale ya utekaji mlijitokeza?Lissu Hana hizi mbwembwe. Unashindwa kuorganize maandamno ya kupinga utekaji, ila maandamano ya kurejesha fomu unaweza kuorganize.
Muda utazungumza.......Lissu tushajua ni mwongo, mfitini, mzandiki na mzushi.
Wale waliojaa ukumbini hawatoshi?Lisu hakuzuiwa hana watu wa kumsindikiza
sifahamu chochote kuhusu upotoshaji huo,Kwani Lissu alikatazwa? Wanaumia nini hawa kima?
maandamano ni haki na uhuru wa kila mTanzania,
maandamano ya vurugu, uharibifu na kuhatarisha amani na utulivu wa waTanzania hayakubaliki
Gentleman,Lini CHADEMA ilifanya maandamano ya vurugu?. Punguza unafiki. Kwanini ukataze maandamano ya kupinga kupotezwa Kwa raia ?. Kuna jambo la msingi zaidi ya kulinda raia?
Lisu hakuzuiwa hana watu wa kumsindikiza
Kamanda mbona unaonekana umebadilika kulikoni?😁Jasho kama lote. Anawatembeza wamama wa watu kwenye jua Kali.
Sio mchaga Tena wala DJ? MTI wenye matundaNakubali Asilimia mia
sifahamu chochote kuhusu upotoshaji huo,
but, ikiwa maamdamano hayo yana lengo na viashiria vya shari na uvunjifu wa amani kamwe hayataruhusiwa,
hata hivyo,
huenda viashiria vilibainisha wazi mabwenyenye ya magharibi yanayomfadhili kibaraka wao humu nchini walitaka kutumia fursa hiyo kuvuruga amani ya waTanzania
Gentleman,
samia must go ilikua ibada sio?
na hakuna namna unaweza kumruhusu kibaraka kufanya maandamano Tanzania kwa niaba ya mabwenyenye ya magharibi yanayomfadhaili humu nchini,
hiyo haiwezekani gentleaman, lazma tuambiane ukweli