Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Shauri yenu ila usimtegemee jirani lwa chakula unaweza kulala njaa.Hiyo ni lugha ya diplomasia ya nchi zozote asionekane anaonea nchi zingine, kama huamini, subiri hii vita US ndio anaenda mpiga Iran na Iran anapotezwa moja kwa moja, mark my words..!!
Wana wa israeli hatujui siku wala saa mwana wa ajemi atakapofika. Muhimu tuendelee kujificha kwenye mahandakiWeek sasa ime isha mnashusha ngonjera tu mbona hampigi?????
Umeona usivo na akili wewe MKRISTOAlokwambia mimi mkristo nani??
shida yenu hiyo mnaiona dunia kwene uislam na ukristo hamna kingine ni shida nyie watu
Wala ha control anga kaka zaidi ya Gollan heights.Ana control anga baadhi ya maeneo ndio maana anaweza kufanya operation na kupambana na iran ndani ya syria
Tueleze zile operation ambazo mara zote Israel anazifanya huwa anazifanyia wap??Wala ha control anga kaka zaidi ya Gollan heights.
Wenye ku control anga lote ni Russia na Iran.
Hata hiyo Turkiye imeongeza tu kilometa kadhaa kwaajili ya bufer zone ili kujikinga na Kurdish fighters.
Vita zoooteeeee Israel alizopigana nyuma kasaidiwa kiintelijensia na USA na kasaidiwa kisilaha pia.Wameumbwa Ila Wana maarifa na uwezo wa mkubwa Sana kuliko mataifa mengi
Ndo maana aliweza kuwatandika mataifa mengi kwa wakati mmoja NDANI ya siku sita tu
Lakini Wana Agano la milele na Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo
Unazungumzia control kwa minajili ipi??Tueleze zile operation ambazo mara zote Israel anazifanya huwa anazifanyia wap??
Elewa maana ya control
Ebu tuambie israel ilikua na miaka mingap ilipoanza kupigana na waarabu???Vita zoooteeeee Israel alizopigana nyuma kasaidiwa kiintelijensia na USA na kasaidiwa kisilaha pia.
Na miaka ile waarabu hawakua na upembuzi kisilaha wala kiintelijensia.
Ila sasa je Israel anaweza kufanya kama alichofanya 1967!?
Jibu ni hapana,maana hata waarabu wameanza kuamka kisilaha na kiintelijensia ndio maana umeona Hamas tu imeweza kumsumbua Israel.
Ninyi si huwa mnaona ki haki kumshambulia mtu asiye dini yenu lakini mkipapaswa tuu kidogo mnaopiga kelele dunia nzima?Huna akili. Utetezi wa kijinga sana. Kwahiyo unahalalisha nchi kufanya mashambulizi ya kijinga kwa hisia
Boi umeongelea Korea, kabla hujaeleweka umeiingiza na China, lini China imepigana na Marekani ?Kwa alichokifanya Israel si kwamba ameshambulia utawala wa Iran. Alichokifanya ni kuishambulia Iran. Hilo inabidi ulielewe.
Unachokifikiria wachambuzi wa historia wanasema ndilo kosa lilimgharimu USA wakati wa vita ya Korea kaskazini na Korea kusini. USA ilidhani raia wa China hawatoingia vitani nao kwa kuwa utawala wa China wa Mao unaonekana ukiwadidimiza raia wake.
Kumbe kwa wachina ni tofauti. Matatizo ya ndani ya nchi yao watayamaliza wenyewe ila ukivamia nchi yao wataungana na kupambana na wewe kwanza.
Hili ndilo wengi humu tunashindwa kulielewa: Wengi wanasema utawala wa Ayatollah utang'olewa. Lakini hawajui kuvamia ubalozi wa nchi nyengine kuna maanisha nini! Kwa ufupi Israel imefanya makosa makubwa sana. Kwa hii hali ni kuangalia busara ya Iran itaamua vipi! Na kwa kutaka kufahamu ni kosa kubwa angalia anachopitia Israel kwa sasa. Mara afunge balozi, nchi yote kaiweka kwenye hatari ya kivita n.k
Sio kosaP
Je Kama ubalozi utakuwa sehemu ya kupangia mipango ya kumshambulia taifa jingine ukilipuliwa ni kosa
Kwa mfano Tiss iwe na taarifa za uhakika kwamba ubolozi wa Marekani inatumika kufanya mipango ya kijeshi kumshambulia Tanzania
Sisi tukawawahi kuwalipua ni kosa ?
Kwamba wanajeshi hawapaswi kwenda balozini ?Naona wengi mna mtazamo kwamba kilichoshambuliwa ni ubalozi. Ni kweli kwamba mashambulizi yalifanywa katika eneo la ubalozi wa Iran. Ila tujiulize maswali haya mawili kwa kina:
1) Majenerali wa IRGC waliouawa na Israel walikuwa wakifanya nini ubalozini?
2) Je, majenerali wa IRGC ndio mabalozi ama wanadiplomasia wa Iran?
Kama hujui kitu si bora ungeuliza ?Boi umeongelea Korea, kabla hujaeleweka umeiingiza na China, lini China imepigana na Marekani ?
Ebu tuliza wenge la Kiyahudi.
Ni kosa kubwa na upumbavu wa hali ya juu kwa nchi ama jeshi kushambulia ubalozi wa taifa.P
Je Kama ubalozi utakuwa sehemu ya kupangia mipango ya kumshambulia taifa jingine ukilipuliwa ni kosa
Kwa mfano Tiss iwe na taarifa za uhakika kwamba ubolozi wa Marekani inatumika kufanya mipango ya kijeshi kumshambulia Tanzania
Sisi tukawawahi kuwalipua ni kosa ?
Ni sheria gani inazuia mageneral kutembelea balozi husika za taifa lake ?Hata usipong'olewa mkuu
Kuna hatari ya kudhoofishwa Sana
Kama Asad
Busara ya Ayatollah ni kutulia
Maana mageneral wanafanya nini kwenye ubalozi ni wanadiplomasia
Wee jamaa unaongea upuuzi gani ni sheria zipi zinazuia uwepo wa mageneral katika balozi weka hapa ? Maana nina vithibitisho chungu nzima za mageneral kuwepo katika balozi za taifa lao ikiwemo hata nchi yako TanzaniaUbolozi una taratibu zake sio kufanya Kila unalojisikia ukivuka taratibu lazima ujiingize kwenye matatizo
Mageneral ni wanadiplomasia ?
Ubolozi sio sehemu ya kupangia mipango ya kigaidi
Unazungumzia hii Israel iliyopelekewa msaada wa silaha na marekani Kwa kikundi Cha wahuni Cha HamasEbu tuambie israel ilikua na miaka mingap ilipoanza kupigana na waarabu???
Real kama tukitaka kuwa wakweli hapa
Kama miaka ile israel iliweza yashinda mataifa ya waarabu pasipo msaada leo hii unazan ni siraha ngap israel inazo za siri!!
Angalia kwene hii operation ya Hamas
30k death . na hii si vita ni kulipiza kisasi
Ikiwa vita mambo yatakua tofauti kabisa kama itaona inakaribia kushindwa itatumia Nyuklia.
Changamoto ni kua waarabu wanatumia hasira si akili na wanajua siraha ambazo israel imekua ikijikusanyia. Na hizo si kwa ajili ya dunia ni kwa ajili ya wenye chuki nao.
Ikumbukwe hawa wanamaumivu ya holocausts hawatakubali tena mambo yrudi waliko tola
kwan hamas silaha wanatengenezaUnazungumzia hii Israel iliyopelekewa msaada wa silaha na marekani Kwa kikundi Cha wahuni Cha Hamas
Soma post namba 21.Kwamba wanajeshi hawapaswi kwenda balozini ?