Nape: Wafanyabiashara wa fedha za kigeni walioporwa fedha zao wamefutwa machozi

Huyu nae amepewa Uwaziri kwa hisani tu
Hivi toka amekuwa waziri kuna jambo gani la maana amefanya zaidi ya kuongeza tozo kwenye miamala na makodi kibao. Kupandisha bei za bando huku wenyewe wakitumia vocha za kupewa na selikali.
 
Inasikitisha sana . Huku ndio kuna wizi haswa
 
Hao hao kina nape wamo humo na walishaona wa Tanzania ni wajinga wanaropoka na mijitu mijinga inashangilia hii nchi ina watu wajinga sana ndio maana hii inchi inaendeshwa kisiasa sana.
 
Kama chadema wangelikuwa na watu wenye Akili kidogo,huu ndo ulikuwa muda wao wa kuingia ikilu na kuandika Historia....Yaani mistake wanazozifanya Ccm kwa kipindi hiki ilikuwa ni njia Tosha sana ya Chadema kufunga magori Mengi dhidi ya Ccm.
Kabisa
 
Chezea mama wewe..

Waliopora pesa wako wapi? Mbona hamujawashtaki.
 
Jiwe alikuwa madman
 
Nafikiri na hao wanaowatetea(Nape et al) wanazitumia hizo kutakatisha na kutorosha pesa. Ukiona matajiri wako kimya na wanasifiasifia jua nchi inaliwa.
 
Kwako Oxpower, MISULI, Holly Star, cotyledon, TikTok2020, Mbaga Jr, deina, Hassan Mambosasa, dr namugari, Beemind, KimpaGhasha na team nzima, Hamuoni kuwa JPM alivuruga nchi?
 
Hujui Afrika mtawala anakuwa na washauri lukuki,lakini badala ya kumshauri,yeye ndiye anayewashauri.
Unamshaurije mtu anayetamba kuwa yeye hashauriki wala haambiliki.
Labda kama hujipendi na uko tayari kuface consequences.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…