Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
- Thread starter
-
- #141
Umewatagg walinda legacy 🤣🤣🤣Kwako Oxpower, MISULI, Holly Star, cotyledon, TikTok2020, Mbaga Jr, deina, Hassan Mambosasa, dr namugari, Beemind, KimpaGhasha na team nzima, Hamuoni kuwa JPM alivuruga nchi?
Hao jamaa wamekunywa maji, siyo ya bendera, bali ya nguo za jamaa..!!!Umewatagg walinda legacy 🤣🤣🤣
Mkuu na wale waliobomolewa kule Kimara/Mbezi nao waangaliwe kwa jicho la huruma pia, hata kifuta machozi.Ccm waombe radhi hadharani kwa uovu uliotendeka kipindi cha awamu ya tano..
Kuna waliouawa,waliojeruhiwa vibaya,walofutwa kazi kionevu,waliofungwa kimabavu,waliotekwa na kuteswa hao watarudishiwa vipi??
Ombeni radhi hapo ndipo tutahisi wanauungwana
Unamkubali mtu aliyevunja sheria kwa kupora pesa za watu? alichofanya ni ujambazi.Kuna mtu niliwahi kukaa nae Arusha alikua na bureau, alinipa mkasa mzima
Aisee Hio siku walipofungua bureau zilikuja defender na 'vyuma' yaani walichukua pesa zote hata coin haikubaki, na katika askari waliotelekeza amri hii na kupeleka pesa bot wengi walitajirika maana kama unavyotujua wabongo huwezi kunipa maburungutu ya pesa ambayo hayana hesabu nikayafikisha yote
Ila Hawa watu nao walikua wanaibia taifa sana pesa na wengi walikua wanatakatisha sana pesa chafu, kiufupi walijisahau sana jiwe akaamua kuwapiga ambush kiroho mbaya,
Hii nchi watu hawaelewi tu, hakuna watu hawapendi kulipa Kodi kama matajiri, ukishaona mtu ana bilion kadhaa bank asimilia 90 ya hao watu ni janja janja nyingi tu na kuibia serikali mapato
Swala la kuwanyoosha Hawa matajiri waiba Kodi sijawahi kumpinga magufuli japokua nilikua simkubali, ila la kudeal na Hawa wezi wa Kodi hapo Mzee nilimkubali
Kazikwe pembeni ya kaburi lake1. Thamani ya Tshs itashuka 2. Watu watatakatisha pesa zao kwa amani 3. Ugaidi utaibuka tena pale Kibiti.
Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?
===
Nape akiwa Clouds FM amesema
"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"
"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".
"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"
"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.
Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".
Duh nchi hiiKwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?
===
Nape akiwa Clouds FM amesema
"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"
"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".
"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"
"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.
Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".
Umeongea upumbavu. Kwa sasa Tsh ina nguvu mno.Mkapa aliacha dola ikiwa chini sana alipoingia JK na upole wake dola ikafika 2400, sasa Mama kaikuta 2300 utashangaa ikafika 5000 kabla hata ya 2025. Na majibu yake yatakuwa haya haya ya kitoto kusema ukraine, covid, maisha yamebadilika etc
Vipi ile BILICANA yetu mkuu na wewe mwenyewe ulikuwa mwanachama wa kujirusha pale!.Kwa lengo gani? Je kwanini wahusika warudishiwe haki yao? Ilikuwa uporaji?
===
Nape akiwa Clouds FM amesema
"Rais Samia Suluhu Hassan katika miaka hii 2 ya uongozi amefanya kazi ya kuwafuta watu machozi na amefanya kazi ya kurudisha furaha na tabasamu kwenye maisha ya watu. "Wale wanasiasa wenzangu waliokimbia nchi machozi yao yamefutwa na na furaha imerudishwa kwao wamerudi nyumbani"
"Wale Wenye mahotel ambao hotel zao zilifungwa kwa sababu ya COVID 19 machozi yao yamefutwa kupitia royal tour. Watalii wamejaa. Wale waliokuwa na magari ya kusafirisha watalii waliokuwa wamepaki Arusha na kwingineko wamefutwa machozi na Rais Samia Suluhu Hassan".
"Wale wafanyabiashara waliokuwa wakiuza fedha za kigeni ambao maduka yao yalifungwa na fedha zao zikachukuliwa machozi yao yamefutwa kwa kurudishiwa fedha zao na kuruhusiwa kufungua maduka tena"
"Kubwa ni kwamba tumefurahishwa na umeendelea kutugusa sana Waziri Nape.
Asante kwa kufika na Tarehe 25 tutakuwa hapa kwenye Kilele cha Malkia wa Nguvu kwa ajili ya kuwapa tuzo akina dada na mama zetu waliosababisha na kufanya vyema katika nyanja mbalimbali".
Jiwe alifanya ujambazi kwa kutumia madaraka yake.
Cjawah ingia club na cjawah kua na interest na maisha ya clubbing!!Vipi ile BILICANA yetu mkuu na wewe mwenyewe ulikuwa mwanachama wa kujirusha pale!.
Hakuna cha legacy hapo zaidi ya usheitwanHakika legacy lazima izid kupopolewa
Kama mh Mbowe hakutendewa haki kwenye kunyang'anywa itapendeza sana akirudishiwaVipi ile BILICANA yetu mkuu na wewe mwenyewe ulikuwa mwanachama wa kujirusha pale!.
Lazima wapi watu waliporwa pesa bila rekodi yoyoteLAZIMA ZILIREKODIWA WALIPOKUWA WANAKABIDHI BOT, KAMA WALIZIPUNGUZA KAMA WALIVYOIBA BASI UTAREJESHEWWA HICHO KIDOGO NA KUMSHUKURU MUNGU
Mkuu umewahi kufanya biashara yoyote , hata kama ni kuuza mapera ?Hata ubakaji aliwafanyia kwa madaraka yake.
Mkuu umewahi kufanya biashara yoyote , hata kama ni kuuza mapera ?
Mjinga wew na shetan wako marehemuHao hao kina nape wamo humo na walishaona wa Tanzania ni wajinga wanaropoka na mijitu mijinga inashangilia hii nchi ina watu wajinga sana ndio maana hii inchi inaendeshwa kisiasa sana.
Hivi hakuna namna yoyote ya mtu huyu kuhukumiwa mahakamani hata kama kafa ?Jiwe alifanya ujambazi kwa kutumia madaraka yake.