Napendekeza Rais aliyechaguliwa akifia Madarakani, makamu wake ashikilie nafasi hiyo kwa siku 90 tu kisha uitishwe uchaguzi

Napendekeza Rais aliyechaguliwa akifia Madarakani, makamu wake ashikilie nafasi hiyo kwa siku 90 tu kisha uitishwe uchaguzi

Lakini si jambo jema kwa kiongozi wa juu hivyo kulalamikiwa na asilimia kubwa ya unaowaongoza!
Ingekuwa 50 kwa 50 hapo sawa, lakini kwa utafiti wangu uchwara, asilimia 90 ya Watanzania ni kama hawaielewi elewi hii serikali iliyopo madarakani.
Sema tu kati ya vitu Watanzania tumefundishwa toka tukiwa wadogo, ni pamoja na uoga uliopitiliza wa kuogopa kutoa maoni juu ya kile unachokiamini.

Ndo maana hata juzi Mh. Balozi msitaafu Dk. Wilbroad Slaa anasema wengi wa walioko nyuma ya wale wanaopinga DP World ni viongozi wakubwa wa CCM!!
Kwa taarifa yako watanzania wasingekuwa waoga, hata dhalimu ama ccm wasingekuwa madarakani.
 
Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.
Mkuu 'kunguni', niseme unao uzito wa kutosha kabisa. Karibu sana JF.
Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.
Ninakubaliana moja kwa majo na hoja iliyowasilishwa; hasa hiyo ya siku 90 za mpito kabla ya uchaguzi.
Pengine inaweza kusemwa kwamba gharama za uchaguzi wa rais mpya, kwa kiongozi aliyebakisha mwaka mmoja, au mmoja na nusu amalize muda wake inakuwa ni gharama isiyokuwa ya lazima sana.

Kwa hiyo kunaweza kuibuka mapendekezo mbadala ya hizo siku 90 katika hali ya namna hiyo.

Huu utaratibu uliopo sasa ulitushangaza wengi ambao hatufuatilii sana matakwa ya Katiba hii tuliyo nayo. Sikutegemea kabisa kwamba Samia angechukua madaraka na kuanza kufanya kivyake, upya kabisa vikiwa ni kinyume na yale aliyokuwa akiyafanya aliyekuwa akimsaidia kazi.

Hapa inaonyesha wazi udhaifu mkubwa sana uliopo huko ndani ya chama. Hata kama Samia anatekeleza maagizo ya chama, lakini utekelezaji wa maagizo hayo ni tofauti kabisa na kinachojulikana kuwa msimamo wa chama hicho.

Ukweli hapa ni kwamba, CCM imepoteza kabisa sura ya kuwa chama cha siasa, kwa sababu kila kiongozi anayeingia madarakani anakichukua chama na kukifanya kuwa mali yake. Yote ambayo yangeagizwa na chama, sasa yanakuwa yanatoka kwa kiongozi mwenyewe.
Hizo kamati, sijui CC na NEC zipo kama mapambo tu, kama ilivyo kwa Bunge zima.
 
Igweeeeeeeeee,

Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.

Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
Inafaa IFIKIRIWE
 
Igweeeeeeeeee,

Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.

Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
Naunga mkono HOJA 🙏🙏

Ila Mungu atuepushe, Rais asife akiwa madarakani siku zijazo,

Imekuwa safari ndefu sana ya machozi na kuyumba Kwa Nchi .

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen
 
Tatizo hawa wanaopewa nafasi ya kusimama kama Makamu wa Rais huchukuliwa kama wasindikizaji tu, watu wepesi wepesi, ili ku- balance gender.

Sasa bahati mbaya kwetu, huyu "mwepesi mwepesi" amejikuta ameingia ikulu kwa mlango wa nyuma, matokeo yake ndio haya, anatuthibitishia alivyo mwepesi kwa kuzigawa bure bandari zetu zote Tanganyika kwa wajomba zake.

Mimi naona sasa hili liwe funzo kwetu, kwani licha ya kubadili sheria baada ya kifo cha Rais aliyepo madarakani mambo yaende vipi, lakini pia, panahitajika umakini mkubwa sana wanapoteua jina la mgombea mwenza wa Rais, huyu ndie mshauri namba moja wa Rais, hatakiwi kuwa kilaza.

Kwasababu imeonekana huyu makamu anaweza kuingia ikulu bila kutarajiwa, sasa kama mtu asiyetarajiwa akiingia ikulu, huku upeo wake ukiwa unatia mashaka, matokeo yake ndio anakosa msimamo, anapelekwa hovyo na kundi analoliamini, na pale anapoamua kufanya jambo lake, basi ndio anakosea 100% huku akigoma kubadilika.
Wenyewe huko huko CCM walishaona tatizo. Alaumiwe Mabeyo, aliyetaka utaraibu ufuatwe bila kujali ubovu ambao mhusika angeusababisha kwa taifa.
 
Igweeeeeeeeee,

Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.

Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
Napinga pendekezo lako. Wazanzibar walio na huruma hekma na busara nyingi watakuwa hawatawali.
 
Bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi sioni CHADEMA wakiunga au kutilia maanani hili suala.
 
Chuki tuu unafikiri waasisi wa nchi hii walikuwa wajinga kuweka hivyo?
 
Wenyewe huko huko CCM walishaona tatizo. Alaumiwe Mabeyo, aliyetaka utaraibu ufuatwe bila kujali ubovu ambao mhusika angeusababisha kwa taifa.
Ndio maana wajanja wengine wakashangilia, kwasababu walijua watamuendesha wapendavyo kama mdoli wao, na ndicho kinachofanyika sasa, Samia amegeuka kiongozi wa waarabu na wafanyabiashara wachache, badala ya watanganyika wote.
 
Mkuu 'kunguni', niseme unao uzito wa kutosha kabisa. Karibu sana JF.

Ninakubaliana moja kwa majo na hoja iliyowasilishwa; hasa hiyo ya siku 90 za mpito kabla ya uchaguzi.
Pengine inaweza kusemwa kwamba gharama za uchaguzi wa rais mpya, kwa kiongozi aliyebakisha mwaka mmoja, au mmoja na nusu amalize muda wake inakuwa ni gharama isiyokuwa ya lazima sana.

Kwa hiyo kunaweza kuibuka mapendekezo mbadala ya hizo siku 90 katika hali ya namna hiyo.

Huu utaratibu uliopo sasa ulitushangaza wengi ambao hatufuatilii sana matakwa ya Katiba hii tuliyo nayo. Sikutegemea kabisa kwamba Samia angechukua madaraka na kuanza kufanya kivyake, upya kabisa vikiwa ni kinyume na yale aliyokuwa akiyafanya aliyekuwa akimsaidia kazi.

Hapa inaonyesha wazi udhaifu mkubwa sana uliopo huko ndani ya chama. Hata kama Samia anatekeleza maagizo ya chama, lakini utekelezaji wa maagizo hayo ni tofauti kabisa na kinachojulikana kuwa msimamo wa chama hicho.

Ukweli hapa ni kwamba, CCM imepoteza kabisa sura ya kuwa chama cha siasa, kwa sababu kila kiongozi anayeingia madarakani anakichukua chama na kukifanya kuwa mali yake. Yote ambayo yangeagizwa na chama, sasa yanakuwa yanatoka kwa kiongozi mwenyewe.
Hizo kamati, sijui CC na NEC zipo kama mapambo tu, kama ilivyo kwa Bunge zima.
Well said Mkuu Kalamu.
 
Bila ya kubadilisha utamaduni na mfumo wa kupata viongozi, hata mkipiga kura kila siku mtalamba galasha tu.

Utaona huyu mbaya, utalia, atakuja mbaya zaidi yake.
 
Hasara ni hasara tu Mkuu.
Yaani hasara tuliyoingia March 17, 2021 ni kubwa kuliko ile hasara tuliyoingia kwa miaka miwili ya vita dhidi ya Uganda (1978/1979).
Hivyo, sioni kama ni vibaya kuingia hasara ya fedha kidogo kufanya uchaguzi ili kuongozwa na mtu mliyempigia kura kwa nafasi hiyo.
You can just imagine how the situation is going on currently!
Kufa kwa Magufuli tarehe 17/ 03/21 ilikuwa ni ukombozi wa pili kwa Tanzania baada ya kujikomboa kutoka ukoloni wa Mwingereza. Yule paka ni vizuri alikufa na muache aendelee kuoza huko Chato
 
Igweeeeeeeeee,

Mambo vipi wakuu?
Nimekutana na comment hii hapa chini iliyojaa uzalendo, nikaona nii-copy na kui-paste hapa kama uzi unaojitegemea kulingana na umuhimu wake kwa nchi yetu.

Na kwa sababu sikumwomba ridhaa ya kufanya hiki nilichofanya, naomba anisamehe kwa sababu sitaweza kuweka hapa ID yake. Hivyo, ninaomba kuwajibika kwa huu uzi kama mmiliki wake kwa asilimia zote.

Sasa twende kazi......

Rais akifia Madarakani yapaswa baada ya kipindi kifupi cha siku 90 ufanyike uchaguzi, Makamu wa Rais anayekaimu ndani ya hizi siku 90 asiruhusiwe kugombea ndani ya awamu hiyo ya aliyefia madarakani, aruhusiwe kugombea awamu inayofuata baada ya ile ya kufiwa kwa kufuata demokrasi kama kawaida ya ndani ya chama chake cha siasa, na anayekaimu nafasi ya rais aliyeaga dunia ndani ya hizo siku 90 asiruhusiwe kufanya mabadiliko ya nyadhifa zozote ndani ya utawala uliokuwepo.

Pia asijulikane kama Rais wa awamu toauti na Rais aliyefariki, bali awe kiongozi wa mpito na awamu iendelee kuhesabika ni ya Rais aliyefariki akiwa madarakani kwa sababu ndiye aliyepewa ridhaa na wananchi.

Kingine, wakati wa kipindi hiki cha siku 90, Makamu wa Rais asiwe na ruhusa ya kusaini mikataba ya uwekezaji au ya aina yoyote mpaka uchaguzi ufanyike wa kumpata Rais wa awamu inayofuata.

Yeye Makamu wa Rais atumike kutuvusha tu kwa huo muda wa siku 90.

Tunatakiwa tuwe taifa lenye maono ya muda mrefu na kuwawekea kinga viongozi wetu ambao tunawapata kwa gharama kubwa sana hasa hasa wale wa nafasi ya Urais. Hivyo, inabidi tuwalinde kwa kadri inavyowezekana ili wasihujumiwe kwa hali yoyote ile.

Vinginevyo, nafasi ya Makamu wa Rais wa nchi yetu kwa fursa yake ilivyo inaendelea kuwa ni hatari ya wazi kabisa kwa Rais mchaguliwa endapo Makamu huyo akiingiwa na tamaa ya madaraka.

Naomba kuwasilisha.
Mwenye mada hii ni MasterGamaliel . Umeshindwa nini kum tag ili ashiriki kwa upana kuweka mawazo yake. Umemtenga makusudi ili kujenga mawazo yako yenye sumu

Screenshot_20230717_091125_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom