Natafuta kazi, nimesoma Bachelor of Finance na uzoefu mwingi
Sema umu ndani watu mna maneno ya kukatshana tamaa so poa....mtu kama uyu stress zkimzdi akakatsha uhai wake mtakuja na comment za kujifanya si angesema tu mi nngemsaidia nyenyenye roho mbaya tu
Mtu ambae keshampeleka mtu leba hawez jiua kwa stress za mtandaon
 
Dar Mzee unaoa wakati huna sehemu ya kukuingizia kipato?? Hilo ni kosa ona unaitesa familia yako hiyo hela ya mlo mmoja unaipata wapi?? Komaa napo hapo hapo

Boda Boda nao watakua walishaanza kukugongea.
kama alioa akiwa na kazi?
 
Jf kila mtu anamaisha bora daah.....nivema tukawa mfanowa kutoa ushauri na kusaidiana ila siyo kejeri hizo, mtu anacomment ujinga wakati nayeye anaishi kwa shemeji yake analala sebuleni wa mwisho kulala, wa kwanza kuamka......
 
Nafasi za kazi nyingi ni geresha 😁 kabla hujaomba kazi jiulize huyo mwenye kutangaza nafasi hana ndugu?
Nikweli mkuu, wanatangaza kukamilisha tu recruitment process ila kwa hali ya kawaida inakuwa na mtu tayari, angalau International organisations angalau kuna kaweledi ila local organisation both government na private sectors kwasasa changamoto ni kubwa sana bila kikaratasi
 
Nikweli mkuu, wanatangaza kukamilisha tu recruitment process ila kwa hali ya kawaida inakuwa na mtu tayari, angalau International organisations angalau kuna kaweledi ila local organisation both government na private sectors kwasasa changamoto ni kubwa sana bila kikaratasi
Huko international ndio balaa sababu top incharge anaweza kuwa na jina lake la mfukoni. Analisogeza kwa HR tu na ujumbe hio kazi mpeni huyo aliotajwa.

Sasa we bisha uone kama hujarudi kitaa na mamishaara wanayolipana ni mamillion ya kueleweka. Kazi ya kipumbavu mtu anakula 800k
 
Huko international ndio balaa sababu top incharge anaweza kuwa na jina lake la mfukoni. Analisogeza kwa HR tu na ujumbe hio kazi mpeni huyo aliotajwa.

Sasa we bisha uone kama hujarudi kitaa na mamishaara wanayolipana ni mamillion ya kueleweka. Kazi ya kipumbavu mtu anakula 800k
Kuna jamaa yangu kapata taasisi moja ya kimataifa, hr manager ngozi nyeupe labda ukutane na waswahili,ukibahatika kuonana na watu wasio watz utaenjoy sana
 
Kuna jamaa yangu kapata taasisi moja ya kimataifa, hr manager ngozi nyeupe labda ukutane na waswahili,ukibahatika kuonana na watu wasio watz utaenjoy sana
Ndio mkuu, wale weupe wanaangalia unavyojieleza tu ila hamna usumbufu wa zaidi na kazi unapewa straight away baada ya kumjibu utaiweza. Amna mambo ya subiri tutakujulisha.

Mie nazungumzia hizi Int. NGO zenye top management za waswahili. Ndio zina ufala kama kawaida.
 
Ndio mkuu, wale weupe wanaangalia unavyojieleza tu ila hamna usumbufu wa zaidi na kazi unapewa straight away baada ya kumjibu utaiweza. Amna mambo ya subiri tutakujulisha.

Mie nazungumzia hizi Int. NGO zenye top management za waswahili. Ndio zina ufala kama kawaida.
Waswahili sisi tuna Ujinga mwingi sana, HR alitaka kunichomoa baada ya Mzungu kuwa tayari ameshasema niwe offered job, ilitokea shida sana mpaka HR Alipewa onyo kali sana na kazi nilianza after sometime nkaona isiwe shida nkasepa zangu, Wazungu ni next level
 
Waswahili sisi tuna Ujinga mwingi sana, HR alitaka kunichomoa baada ya Mzungu kuwa tayari ameshasema niwe offered job, ilitokea shida sana mpaka HR Alipewa onyo kali sana na kazi nilianza after sometime nkaona isiwe shida nkasepa zangu, Wazungu ni next level
Huyo alitaka ampange ndugu yake au mtu wake ila alitaka afanye kama kukupangua maana unakuta ndugu yake alishafanya interview awali. So anaambiwa tumchukue mmoja mzungu akakupendekeza wewe hapo.
 
Ndio mkuu, wale weupe wanaangalia unavyojieleza tu ila hamna usumbufu wa zaidi na kazi unapewa straight away baada ya kumjibu utaiweza. Amna mambo ya subiri tutakujulisha.

Mie nazungumzia hizi Int. NGO zenye top management za waswahili. Ndio zina ufala kama kawaida.
🤣🤣hizi zenye top mgt za waswahili unaweza gawana na mtu mshahara hata mwaka mzima, halafu mtu kama huyo naye anaenda Kanisani au Msikitini kuomba dua na anatoa sadaka na zaka
 
HELLO,

I am Richy Patrick, Aged 26.

Residency Dar es Salaam

Aim am looking for job in any reputable company

Am experienced in the following fields:
  • Office Administrative
  • Business Management Sales Officer
  • Warehouse Manager
  • Storekeeper
  • Personal Secretary
  • Project Supervisor
  • Fleet Manager
I have two years experience

Contact: 0745000157
 
Back
Top Bottom