Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa

Kwahiyo bro unamaanisha nipelekee moto kwa kila demu? Sio kwamba kuna maeneo naweza kubahatisha au muonekano hauwezi kuonyesha kama ni bikra au sio bikra?
Huwez kubahatisha mara moja tu,wewe tomba tu wale unaohis ni bikira mpaka utampata
 
Kwanini azingue au hataki kuolewa? Familia za kiarabu vigumu kuoa huko
Ukituma MTU unapata hasa watu wenye muonekano wa kistaharabu .

Unachofanya unaangalia familia yoyote then unaulizia Kwa watu ukiona hawasomi wapo wapo tu unatuma MTU anaenda kukutolea taarifa.

Kuhusu ninayemjua sio mwarabu ni mbantu Ila dini imemchanganya Sana ili uende nae sawa unabidi use swala tano .
 
ushauri wako mkuu
 
wewe mwenyew huna bikra alafu unakuja kutafuta mwenye bikra God. damn
 
Mm nimezeeka sana aisee mvi kama zote
 
Huu sio mtego waungwana?๐Ÿ˜„
Nisije nikalainika nikachoma ubani nikasaliti kamati
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„Hahha kwetu hamna hiyo
Mamaangu alinambia haji kufanya huo upuuz anataka nichague mwenyew Ili siku nikirud kulalamika aniulize mama si ulichagua mwenyew Sasa Rudi kapambane ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ