Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Mimi nitajibu maswali yako tu.
Je, inawezekana? Jibu ni Ndiyo.
Kisha nakurudishia swali, una uhakika wewe na kaka yako ni watoto wa baba mmoja? Huna.
Kitakachotoa majibu sahihi ni DNA za marehemu kaka yako na watoto. Je, unaweza kupata DNA za marehemu, jibu ni NDIYO.
Hayo mengine yabaki juu yako.
Hi moja kwa moja inaonyesha hauna mahusiano mazuri na ndugu wa mume wako..Cha msingi achana na hayo mawazo uliyoambukizwa ishi nao vizuri acha ubinafsi na urohoNdugu wa mume gubu sana
Uko sahihi mkuu Ivan Stepanov wakati mwingine unaweza kuwa hujaeleweka au ni kawaida ya jf kukutna na majibu tofauti eidha kwa makusudi au kwa wachangiaji kutokukuelewa ila pmj na hayo kuna baadhi ya michango nimeipenda na nimeamua kuifanyia kaziHamjamuelewa tu mleta mada. Halaf mna shauri mpaka mnapitiliza.
Kauliza swali dogo tu, inawezekana au haiwezekani.
Kitandawil alicholenga kukitegua indirectly hapa ni je kama mimi na kaka yangu ni baba mmoja means tuna DNA zinafanana, je watoto wetu nao DNA zitafanana na either of us???
Swali lake (japo hajataka kuliweka hivyo) ni kwamba ,kwenye family tree ya familia au ukoo flan DNA ya great great grand father aliye source ya hiyo family itakua ni sawa na DNA za watoto wooote walio zaliwa na watoto wa kiume wa hiyo koo???
Kwa maana nyingine, ukiondoa watoto wa waliozaliwa na watoto wa kike wa ukoo au family fulan, je ukoo mzima unaweza kuwa na DNA moja tu determined by muanzilishi wa huo ukoo au family??
Mleta mada mimi nimeku study na kukuelewa kuwa hii wewe ndio concern yako, ndio maana hukuishia kuji reffer wewe tu bali ukamuingiza na babu mtu.
Nawasilisha bwana Wakuperuzi .
Huku kwa kutaka kudulumu hatujafikia mbali sanaBaba yao mwenyewe alikuwa hajafanya hivyo,wewe ni nani ufanye hivyo.Nadhani mna nia ovu ya kudhulumu,wewe na baba yako(babu yao).
Ni mawazo ykoMkuu. Unataka kupima DNA majibu yawe sio watoto/damu ya kaka yako ili mali alizoacha kaka yako ujimilikishe??
Mara nyingi Baba akisha kufa,kama kuna mtoto alichomokewa na mkewe,basi mtoto huyo ataonyeshwa Baba yake halisi! Wa Mama wana siri sana!!nilitaka kujiridhisha tu kutokana na situation niliyokutana nayo
huweziMwaka jana nimefiwa na kaka yngu na ameacha watoto 4 watatu wako primary ila kuna jambo kidgo limenipa hofu kama inawezekana ili nijiridhishe.
Kifupi hawa watoto wote kwa sasa hivi mimi ndio mlezi wao kwa kila kitu, ni sehemu ya familia yangu na mama yao ilibidi tumbakishe nyumbani kwajili ya kusaidia ulezi sababu jamaa bado ni wadogo.
Nisiende mbali sana nataka kufanya DNA kwahawa watoto kupitia mimi au babu yao je! Inawezekana?
Hi moja kwa moja inaonyesha hauna mahusiano mazuri na ndugu wa mume wako..Cha msingi achana na hayo mawazo uliyoambukizwa ishi nao vizuri acha ubinafsi na uroho
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Muogope Mungu! Kitu hujui achana nacho. DNA test hapa Tanzania inaaminika.• Shida iko wapi, mpaka umewaza kufanya hivyo mkuu....
• DNA za Tanzania haziaminiki, utapoteza hela tu.
• Mungu amefaynaje tena mkuu,,???Muogope Mungu! Kitu hujui achana nacho. DNA test hapa Tanzania inaaminika.
Hapa ndo umenena mkuu... 🤝🤝🤝🤝Kwnz ungeanza kupima DNA yako wewe na hyo marehemu kaka yako,,
Huenda ikawa hata nyie sio ndugu halali wa damu.
Wacha kusumbuwa watoto yatima.
Yeah, unakuta mtu na kaka yake siyo damu moja... Mama alifanya maujanja Enzi zako... Sasa sijui atafukuza watoto au ataendelea kulea.Alafu unakuta ya na brother wake sio damu moja.... izi mambo ni za kuridhi oooohhj
Unataka kugundua nini haswa? Paternity issue? Huwa kama ni paternity despute DNA inakuwa na maana kama unafanya comparison kati ya baba wawili au zaidi.Mwaka jana nimefiwa na kaka yngu na ameacha watoto 4 watatu wako primary ila kuna jambo kidgo limenipa hofu kama inawezekana ili nijiridhishe.
Kifupi hawa watoto wote kwa sasa hivi mimi ndio mlezi wao kwa kila kitu, ni sehemu ya familia yangu na mama yao ilibidi tumbakishe nyumbani kwajili ya kusaidia ulezi sababu jamaa bado ni wadogo.
Nisiende mbali sana nataka kufanya DNA kwahawa watoto kupitia mimi au babu yao je! Inawezekana?
Kama umeamua kuwalea lea tu ndugu.Mwaka jana nimefiwa na kaka yngu na ameacha watoto 4 watatu wako primary ila kuna jambo kidgo limenipa hofu kama inawezekana ili nijiridhishe.
Kifupi hawa watoto wote kwa sasa hivi mimi ndio mlezi wao kwa kila kitu, ni sehemu ya familia yangu na mama yao ilibidi tumbakishe nyumbani kwajili ya kusaidia ulezi sababu jamaa bado ni wadogo.
Nisiende mbali sana nataka kufanya DNA kwahawa watoto kupitia mimi au babu yao je! Inawezekana?