Nataka kufanya DNA test ya watoto wa kaka kupitia mimi je inawezekana?


Wewe ndio umejibu swali inavyotakiwa.
Hawa wengine naona wanaendeshwa na mihemko
 
DNA anaweza kufanya mtu yeyote lakini kwa scenario yako lazima ukubaliane na matokeo tena ujiandae kwelikweli sababu kadhaa;

1. Yawezekana kakako alitunza watoto sio wake na hakuwa anafahamu sijui kama wewe upo tayari kwa haya majibu.
2. Yawezekana watoto ni wa kaka yako lakini wewe sio kaka yako kwa maana mama hako alimpiga baba yako either wewe au kakako huyo sio baba yenu maana DNA inatoka kwa baba.

Sasa je upo tayari kwa haya matokeo? Kama upo tayari basi tafuta Wakili atakuelekeza cha kufanya na gharama za huduma nzima kwa Mkemia Mkuu na Legal fees za Wakili.
 
Uko sahihi mkuu Ivan Stepanov wakati mwingine unaweza kuwa hujaeleweka au ni kawaida ya jf kukutna na majibu tofauti eidha kwa makusudi au kwa wachangiaji kutokukuelewa ila pmj na hayo kuna baadhi ya michango nimeipenda na nimeamua kuifanyia kazi
 
huwezi
 
Moja kwa moja inaonyesha una tamaa na mjane wa kaka yako,umemtongoza kakukataa umeanza gubu,punguza huo ushetani
Hi moja kwa moja inaonyesha hauna mahusiano mazuri na ndugu wa mume wako..Cha msingi achana na hayo mawazo uliyoambukizwa ishi nao vizuri acha ubinafsi na uroho

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwnz ungeanza kupima DNA yako wewe na hyo marehemu kaka yako,,
Huenda ikawa hata nyie sio ndugu halali wa damu.


Wacha kusumbuwa watoto yatima.
 
Inawezekana, kama mnashare mama na baba watoto watakuwa na robo ya DNA yako... Kama mnashare mama tu watakuwa na nusu ya robo
 
Alafu unakuta ya na brother wake sio damu moja.... izi mambo ni za kuridhi oooohhj
Yeah, unakuta mtu na kaka yake siyo damu moja... Mama alifanya maujanja Enzi zako... Sasa sijui atafukuza watoto au ataendelea kulea.
 
Unataka kugundua nini haswa? Paternity issue? Huwa kama ni paternity despute DNA inakuwa na maana kama unafanya comparison kati ya baba wawili au zaidi.

Unaweza kupata majibu flani lakini kwa hali yako kama utawapima watoto wote pengine ili kujua kama wote ni wa baba mmoja na ukiweka DNA yako inaweza kusaidia kutoa clue fulani ila wewe na marehemu kaka yako muwe wote ni watoto wa baba mmoja na mama mmoja.
 
Kama umeamua kuwalea lea tu ndugu.
Mambo ya DNA ya nini?
Unajua maridhiano yao na kaka yako marehemu?
Kitanda hakizai haramu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…