Nauli hizi za SGR nani atapanda? Kutoka Dar - Moro Tsh 24,000?

Lengo lao ni kuihujumu tu hiyo treni bila shaka. Maana nauli ikiwa chini, mabasi yao yatakosa abiria.
 
Watanzania ni watu wa kulalamika
 
Mwendo kasi imekufa lini? Unajua inaingiza kiasi gani kwa siku?
 
Ujue ATC inajaza pamoja na bei zao kuwa kubwa?
 
Usiangalie running costs tu. What about investment cost? Analipa nani huo mkopo?
Hilo behewa ni kiasi gani? Reli imejengwa kw gharama gani.
Aisee duh... , hii ni hatari bin balaa kwahio unadhani huo mkopo hata wasipopata hata sumni wewe, mimi na wananchi wote hatutalipa ?

Unajua kitu economy of scale ? ukisema uweke laki laki, watu wakapanda wanne kwa wiki huo mkopo ndio utalipa ? au useme elfu 30 na train kujaa kila wakati ipi ina afadhali ?

Pili Unajua kwanini Train nyingi hata UK zimeshindwa kubinafsishwa kwa faida ? Sababu hii ni huduma kuna sehemu sio profitable kwenda ila kuna watu wanaishi na inabidi wafikiwe hivyo inapelekea hata serikali kutoa ruzuku (kwa private companies ili wanende huko) au kuamua ku-renationalize baada ya privatization (impact ya usafiri kama vile ilivyo umeme na maji ni kubwa) hivyo profit kwa jamii sio monetary pekee
Tafuta mji wowote mfano London kwenda Manchester kwa basi na treni, then tuongee. Taarifa zipo kwenye mtandao
Duh aisee hii ni hatari sana..., hivi unajua kuna kipindi ulikuwa unaweza kutoka Birmingham UK mpaka London kwa Pound moja ? (Hio ni system kama aliyokuwa anafanya Fast Jet / Budget Airlines) kuliko kwenda bodi tupu ni bora ukachukua watu kwa bei ndogo (ingawa mule ndani pia kuna watu wanatoa pesa zaidi)...

Pia ndio maana nikasema hivi unajua Tube System inayobeba commuters kila siku kwenda makazini n.k. isingeweza kufanywa na mabasi (virtually impossible) na huko tunakokwenda sio ajabu mji kama Dar mtu anakaa Morogoro anafanya kazi Dar kwahio huu usafiri kwake ukawa hata mara mbili kwa siku kwenda na kurudi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…