AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Tusichoshane endelea kulamba Matraako yao.Haya weka data hapa miaka 5 ya Mwendazake vs miaka 3 ya Samia tuanze kuchambua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusichoshane endelea kulamba Matraako yao.Haya weka data hapa miaka 5 ya Mwendazake vs miaka 3 ya Samia tuanze kuchambua.
Wewe ndio mlamba matako ya Jiwe.Tusichoshane endelea kulamba Matraako yao.
Kumbe unajua zimepanda🚮Wewe ndio mlamba matako ya Jiwe.
Huna takwimu na una ogopa kuaibika.Weka takwimu uone Jiwe anavyoumbuka vinginevyo kimbilia kusema nauli zimepanda 😁😁.
Sasa kama.zimepanda ndio zinazuia miradi kutekelezwa? Au umeshawahi kuona watu wameacha kusafiri kisa nauli?Kumbe unajua zimepanda🚮
Pata fursa ya kuhesabu watu wajinga huko bungeni na hapa jf, yaani kupitia huu uzi utawajua mazwazwa bin akili kisoda wote waliopo bungeni na jf 😂 😂Watanzania kwa unafiki na kujikomba hamjambo
Nchi ina shida nyingi za kujadiliwa mnajadili huu ujinga😏😏😏😏
Hata Nyerere hafai kuwepo katika noti za nchi ni heri tuweke picha ya Lake Tanganyika na sio picha ya mtu aliyewahi kufanya ukandamizaji katika nchi huru.Huu ni ujinga kiwango cha lami.
Hayati Julius Kambarage Nyerere
Anatosha.
Amefanikiwa kwenye nini ?Changamoto ya kukatika Kwa umeme ni ndogo sana kulinganisha na aliyofanikiwa.
Wewe unaweza kudhibitiwa umeme usikatike?
Nilikuwa nakuheshimu sana yaani sana tu, ila kwa wewe kuunga mkono wazo la mhuni yaani nimekuweka kundi moja na huyo mhuni, wewe na Ng'wasi wote mu wahuni kuchapwa mboko in public.Naunga mkono wazo la Mbunge kuweka Picha ya Rais Samia kwenye Sarafu ya Tanzania ili kutunza kumbukumbu na alama muhimu ya Maendeleo ya Nchi yetu.
Kama Betina kiranja waoVimbaumbau na flat screen hawajawahi kuwa na akili
we unalala gizini halafu unasema mambo kama hayo ya matumizi mabaya ya pesa za umma hayakuhusu, nani kawaloga watu nyie??Mpfyuuuuuuuuuuuu
Hayanihusu
umepanic 🐒Ndiyo wapiga kura walichowatuma ? Au kwa vile mliingizwa mjengoni kwa mabavu ya vyombo vya dola? Pumbavu kabisa hawa majizi ya kura
thatha bwana wewe bona unararamika thana 🐒Hii nchi aliye iroga alijua kuipatia kweri kweri 😂😂