The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Taja Nchi isiyokopa ili nifunge account humu jf"Tutembeze bakuli ndio heshima, tukishakopa tunapiga makofi, sisi wa kukopa kila siku. Tukasema pitisha tozo anayetaka asiye taka pitisha tozo, lazima tuanze kujenga wenyewe, nani atatufanyia, yuko wapi huyo mjomba, tukapitisha"
Huna Cha kufanya zaidi ya kuandika comments,modern taarab itakutawala utake usitakeTunatawaliwa na modern taarab.
Utapanic sana na bado!Mlikotoa hizo taarifa ndiko katoeni na za riba ,acha ufala kima jike wewe.
Alafu tunakopa na huku tunaongeza matozo!"Tutembeze bakuli ndio heshima, tukishakopa tunapiga makofi, sisi wa kukopa kila siku. Tukasema pitisha tozo anayetaka asiye taka pitisha tozo, lazima tuanze kujenga wenyewe, nani atatufanyia, yuko wapi huyo mjomba, tukapitisha"
Wewe fala nipanic kwa ajili ya Nini hasa? Naongea kitu ambacho Nina ushahidi nacho..Utapanic sana na bado!
Leta takwimu hapa tuone kama kweli hilo deni la mamko ni pamoja na riba za Magufuli!
Vinginevyo endelea kuwaramba mat. Akle hao vi9ngzoi wako wabovu
Wewe ni pumbavu!Wewe fala nipanic kwa ajili ya Nini hasa? Naongea kitu ambacho Nina ushahidi nacho..
Soma haya maelezo ya serikali hapa chini kuhusu kuongezeka kwa Deni ujione ulivyo dishi[emoji116]
Siziamini hizi hesabu.Martin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 βMama Yuko Kazini Modern Taarabβ mmekopa mifweza kupeleka wapi?"
View attachment 2419276
Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!
Aisee!
Nchi inaingizwa utumwani kinguvu,na hatuchmoi kwenye hayo madeniMartin Maranja Masese ameandika kwenye twitter page yake kuwa "Awamu ya 3 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 10 Awamu ya 4 ilikopa $7bn (Sh16.320 trilioni) miaka 10 Awamu ya 5 ilikopa $9bn (Sh20.982 trilioni) miaka 6 Awamu ya 6 imekopa $8.7bn (Sh20.283 trilioni) miezi 18 βMama Yuko Kazini Modern Taarabβ mmekopa mifweza kupeleka wapi?"
View attachment 2419276
Kama ni kweli hizo pesa zinaenda wapi ilhali matatizo lukuki ya mahitaji muhimu yanazidi kushamiri kila uchwao?!
Aisee!
Ndio ynakwambia wewe msukule uliondolewa akili kwa kuehikishwa ukuta na Mwendazake..Wewe ni pumbavu!
Tunaongelea habari ya nani kakopa nini na kwa wakati gani,
Kwa hiyo hii ngonjera yako uliyoweka hapa inafanya Samia awe hajakopa til 20?
Kwa mtazamo wako basi Magufuli nae hilo deni lake ni pamoja na la mkapa pamoja na Kikwete?
Mbirikimo wa akili we!
Isichomoe kwani imeingiza Nini?Nchi inaingizwa utumwani kinguvu,na hatuchmoi kwenye hayo madeni
Sasa nikuulize anakopa nafanya nini cha maana! Anakopa akina na Makamba na Team msoga wanazila na kuzigawana kwa walamba asali!
Kukopa ukope na ufanyeambo ya kuonekana sio blahbhal za madarasa feki ya UVICO!
Na saizi ukienda kuyatazama hayo madarasa feki yana mashimo ya kutosha na kuta zake zimechururuka hazina hadhi!
Huyu mamako hamna kitu kabisa!Ndio ynakwambia wewe msukule uliondolewa akili kwa kuehikishwa ukuta na Mwendazake..
Narudia kukuambia swala la ukubwa wa Deni halitokani na mikopo mipya tuu Bali riba zikizoiva za mikopo ya zamani hasa ya yule taahira Mwendazake aliyekopa mikopo minginya kibiashara yenye riba kubwa ndio imekuza Sana Deni..
Swala la Nani kakopa kiasi gani kwa kipindi gani hakuna mchanganuo kutoka vyanzo rasmi.
πππππππππ.Huyu mamako hamna kitu kabisa!
Yeye akisikia tu kuna hela huku huyooo kiguu na njia kuzifuata.
Bora wenzake walikopa bila kuongeza matozo na makodi ya hovyo ambayo yameongeza mzigo kwa mwannachi..
Misukule yake mko humu mnashnagilia tu. Endelea tu mtaolewa wote wajinga nyie si mnapenda hela?
Hiki hapa waweza Soma πMkuu
Kukopa sio ishu hata hao wengineo walikopa!
Ishu nini kimafanyika Baada ya kukopa,yaani miradi Gani inatekelezwa,nani anaisimamia na inaenda KWA kasi gani!!
Kuna msaada wa masharti nafuu umetolewa na German tena uko
Baada ya makubaliano
Hayo hatuambuwagii na mwandishi alimuuliza Mwigulu hilo swalii akajibu kwa mifano ilokuwa inatoa nje ya mada (sijui wazee zamani walipanda mbegu kwa kurusharusha tuu ila siku hizi kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi yakupasa kuandaa shamba.......)Ivi haya masharti nafuu ni yapi?
Takwimu zake kazitoa wapi au anafanya uzushi usio na msingi?
Aweke takwimu kutoka BoT na Wizara sio kutunga ujinga ujinga..
Pili kwani kukopa Kuna shida ipi ikiwa zinakopwa na kurudishwa? Huko Mtaani kwenu hakuna taasisi za kukopesha?
Mwisho takwimu sahihi Hadi awamu ya 5 ni hizi hapa [emoji116]