Ndani ya miezi 18 Rais Samia kakopa zaidi ya Trilioni 20

MWENDO KASI MBAGALA MPAKA LEO MAUZA UZA TU
MPAKA IISHE LABDA 2025
UKITAAMAK UCHAGUZI UO WANAOMBEA KURA

Na

TANGU DART WAANZE MRADI HAIJAWAI PATA PESA YA KUNUNUA HATA GARI MOJA

SASA SIJUI HUU SI MRADI WA KIMKAKATI!!
 
Anakopa+tozo na bado nchi inapuyanga akuna ajira,akuna maji,akuna umeme vitu vinapanda kwa kasi,mishahara ya watumishi imedumaa,utitiri wa kodi.
 
Ndugu wananchi,

Ikithibitika kiongozi wetu ni INCOMPETENT hatua Gani zilizopo kisheria tunaweza tumia kumuondoa mbali na kutumia Bunge?

Tukisubiri 2025 tutauzwa sie na vizazi vyetu.

Ni heri kumuondoa mtu mmoja Nchi ikapona kuliko kuendelea nae watu ml 60 tukafilisiwa.
 
Mama anafanya kazi nzuri sana miradi inayoanza kutekelezwa viwanja vya viwanja vya ndege , barabara za lami nchi nzima yule marehemu alikuwa anajenga kwao tu. Mama samia tupo pamoja wajinga wachache wasikukatishe tamaa
 
Kila siku wakikopa wanatanga huku watu wanajumlisha. Acha upopoma arif
 
Jiwe alikopa kujenga miundombinu, huyu anakopa, wajanja wanazificha Kwa ajili ya UCHAGUZI.

Enough is Enough.
 
Pole Sana Hadi sasa Tanzania Ina mikopo ya Til.80 Kama ulikuwa hujui..

Mkopo unapimwa against GDP so kwa Kipimo hicho tuna GDP ya Dola Bil.72 sawa na Til.144 hivi so bado Yuko nyuma ya redline.
Kama kwa Mwaka moja na nusu anakopa teilion 20 Ina maana baada ya miaka 10 atakuwa amekopa zaidi ya trillion 120+
Vipi hapi utakuwa bado Uko nyuma ya red line?
 
Wazungu wana sema mother fakaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ...watz huo msemo unatuhusu
 
Wewe ungefanyaje? Unakuta miradi ya matrilioni haijakamilika na hela hakuna? Je, aendeleze utaratibu wa mtangulizi wake kukusanya hela kibabe kupitia task force? Arudishe tozo zilivyokuwa awali? MAMA SAMIA kama kuna ulazima wa kukopa nakuunga mkono kopa kwa maslahi ya watanzania.
 
Symbion walilipwa bn 300 Kwa pesa hizo hizo za mikopo sio?

Na wamewezaje kukopa Trilioni 5 zaidi ya kiwango Cha Trilioni 10 kilichopitishwa na Bunge???
 
Kama kwa Mwaka moja na nusu anakopa teilion 20 Ina maana baada ya miaka 10 atakuwa amekopa zaidi ya trillion 120+
Vipi hapi utakuwa bado Uko nyuma ya red line?
Ni sawa kwani Uchumi unasimama kwamba Serikali inashindwa kulipa?

Wakope zaidi na zaidi ili kuwekeza kwenye sekta za kiuchumi Nchi ipate Mwendeleo ya fasta fasta.
 
Point taken.

Ni Kweli sa100 analipa pia mikopo na riba za watangulizi na alizokopa Yeye. Pesa hizo ndo zinasababisha deni kuongezeka.

Swali ndugu mchumi:

Hadi sasa Sa100, amekopa Trilioni ngapi ye kama Yeye tumuwajibishe Kwa mikopo yake binafsi?
Rais hakopi Bali Nchi ndio inakopa so hakunaga kumuwajibisha yeye binafsi maana sio Pesa za kibinafsi hizo..

Mingi ya Mikopo iliyopokelewa awamu ya 6 process zake zilianza Miaka mingi kwa mfano mikopo ya Dom airport,sgr,miradi ya maji nk

Serikali inachofanya Ni Kutaka wallioahidi kuitoa na wao pia kutafuta mikopo mipya ndio maana utasikia wanasema mkopo fulani utatolewa kwa miezi 36 nk ..

Mfano mwaka huu Serikali ilipata mkopok wa Til.1 kutoka India kwa ajili ya maji miji 28 ,wahindi waliahidi toka 2017 so sio kila mkopo Basi Ni mkopo mpya..
 
Wewe ndio popoma,tuoneshe walipojumlisha.
wewe Fallacy ni fala kweli kweli! Hivi huwa unafanya kazi gani maana kila mda upo active unaparurana na watu huku na kule! Wewe hakika ni hayawani usiyejitambua ni wakuonea huruma tu! Watu wana changia mambo makubwa juu ya ukopaji wa serkali ya Samia wewe umeshupaza shingo!
 
Wajinga kama hawa si wa kubishana nao. Kazi zao ni kuimba mapambio.
Kama unapitia nyuzi zake utajua tu ni mtu Fulani asietumia akili kutafakali mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…