Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,819
- 7,638
Zamu yake kula bataNdege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!
Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
Kuna wakati niliwahi kuwa na mawazo ya aina hii.naona wewe ndo ungekuwa mku wa jeshi, sasaivi mtu angekuwa uhamishoni. hilo tz halitakuja kutokea ndugu. tuiombee tu nchi.
Mutahaba alisemagaDuh....mmeshaanza!
Halafu mara kindege kimekula mzinga. Sijui watasemaje!Total.government failure!.mpaka safari za kisirisiri?
Mmemaliza? Mnataka kuufahamu ukweli?
Mwafrika ni Mwafrika tu....Hajawahi kujitambua 🚮🚮🚮Nitashukuru kama atakuwa ameenda kupiga magoti wabadilishe vipengele vya mkataba. ila inatia huruma sana kwamba Rais wa nchi ahangaike hivyo kwa mwekezaji, badala ya mwekezaji yeye aje hapa baada ya kuona malalamiko, rais wa nchi ndio anaenda.
Si mnaona tulichokuwa tunasema utumwa ndio huu sana, tumeanza kuhangaika kwenye mali zetu sisi wenyewe. mwarabu kakaa kimyaa anasubiri sisi twende tukapige goti na akiwekez ahapa tutamlinda na kumwabudu. natamani iwe kweli, aende kwa waarabu akaongee nao upya, wabadilishe vipengele vya mkataba, wawekeze mambo yaendelee.
Ukweli ni mwepesi sana, ndege ya Rais si lazima ikisafiri isafiri na Rais.
Hata alivyokwenda Kenya kwa kujificha kuna watu walisema ndege imeenda Kenya na baadhi ya picha kuonyeshwa, imekuja kuthibishwa baada ya alioenda kukutana nao kumuumbua. Sasa tena ametoroka kaenda bila taarifa tutayajua baada ya dili atakalosaini huko kubainika.Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!
Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
...Lipo kazini tangu ..05Jeshi letu vp? hamjui hata kujiongeza jaman?
Weekend loading...Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!
Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
Ndege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!
Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735
Au nongwa mkataeHii kitu inaitwa mtajiju
Nawe una matatizo ya kichwa. Sasa ikionekana ndo nini? Lete nyuzi za maana siyo huu umbea.
Huku ni wapi tena?
Mkataba upi?Huu Mkataba ni kuwa Sultani wa Oman anarudi Mazima