Zile zilizoandikwa kichina, kizungu vipi umepata jibu lake.Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Nimemshangaa sanaUwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.... kuna bidhaa zina maandishi ya kifaransa basi tutakuwa tumejiunga na ufaransa kimyakimya.
Kwa hiyo FDI ndiyo itakayoleta maendeleo? Hivi huelewi kwamba miaka yote tumekuwa tukipata hizo zinazoitwa fdi, sasa nionyeshe maendeleo tuliyoyapata kutoka na hizo!Miaka 61 tangu uhuru,hakuna schemes za maana umwagiliaji,hatujitoshelezi mbolea..zaidi ya porojo siasa ni kilimo,kilimo Cha kufa na kupona nk...tumeshindwa,tunahitaji pesa toka nje(fdi) ili kujongea
Inaelekea hujui fdi ni nini...laa Kama wajua basi mbona argument yako ni invalid (not tautology)Kwa hiyo FDI ndiyo itakayoleta maendeleo? Hivi huelewi kwamba miaka yote tumekuwa tukipata hizo zinazoitwa fdi, sasa nionyeshe maendeleo tuliyoyapata kutoka na hizo!
Katika 'statement' yako hapo juu, hivi huoni tatizo linapoanzia na kuishia?
Kweli hujui kwa nini katika miaka yote 61 hatujaweza kubadili kwa kiasi kikubwa hali zetu za maisha, hujui; ila unasubiri FDI kwa matumaini makubwa ya kuwaletea maendeleo waTanzania?
Ninajua mara nyingi tunagonganisha vichwa hapa JF, kati yako na mimi, lakini kama hata hili huwezi kujuwa matatizo yetu yapo wapi, nitakushangaa sana.
Kwamba kijna katoa ndogo nn 😄Ndio mkuu tuache tu😅
Kha! 😅😅😅Kwamba kijna katoa ndogo nn 😄
Wazanzibar wanakitu inaitwa Stockholm Syndrome "hii huwapata wale wanaopenda mtu anaewanyanyasa"Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Kwa hiyo wewe hapo unasubiri FDI ikuletee maendeleo Tanzania?Inaelekea hujui fdi ni nini...laa Kama wajua basi mbona argument yako ni invalid (not tautology)
Yaani unafikiria mambo ya kijinga jinga jinga jingaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa !Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Mwamba hujui fdi ni nini!!..jielimishe kwanzaKwa hiyo wewe hapo unasubiri FDI ikuletee maendeleo Tanzania?
Mbona utasubiri sana!
EeeenHeeeee! Mimi nisijue, halafu wewe ujue, si yatakuwa maajabu hayo?Mwamba hujui fdi ni nini!!..jielimishe kwanza
Tigo,Airtel,Vodacom,SBC, coca-cola,tbl,Serengeti nk ni fdi,imeajiri watz,wanasomesha,wanajenga,serikali inapata Kodi,Leo watz kumiliki vyombo vya moto,nyumba nzuri,biashara kubwa ni kawaida,miaka ya 90 vyombo vya moto vilikua kwa waasia na serikali,baada ya kutengeneza mazingira ya kuvutia wawekezaji,wakaja(fdi)..watz wakapata ajira na mishahara ya kurudhisha,multiplier effect ikafanya kazi,uchumi ukatoka chini tulikokua mpaka uchumi wa kati,tusingevutia fdi tusingekua hapa Leo...kilimo Cha kufa na kupona,ambacho kiliajiri zaidi 75% kisingetufikisha hapaEeeenHeeeee! Mimi nisijue, halafu wewe ujue, si yatakuwa maajabu hayo?
EeeenHeeeee! Mimi nisijue, halafu wewe ujue, si yatakuwa maajabu hayo?
Bidhaa huingizwa na wafanya biashara sio serikaliNauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Ebana mi siyo mtoto mdogo, angalia maeneo ambayo wanaishi waarabu, wahindi na wachina(Tabora, Singida, Tanga, shinyanga, Kigoma n.k) yamejaa mafukara wa kutupwa.Hili ndiyo watu wanakosea huwezi kuletewa maendeleo na mtu au watu wengine!. kitu ambacho tunaweza kunafaika ni uwekezaji na mitaji lakini maendeleo ni kitu kingine. Kuna uwezekano kabisa kukawa na uwekezaji kama Mwadui lakini hatuoni wala kupata chochote na sio ubaguzi wa mwekezaji katoka wapi ni mikataba mibaya ambayo inafanywa na watu wetu wenyewe. Angalia kwa mfano Botswana wanavyo nufaika na Almasi. Tusiingize eti muonekano wa mtu na kujidanganya ndiyo maendeleo!
We unawapenda? Na ile michezo yao unaipenda?Hofu ya kujiunga na waarabu inamsumbua mleta mada, sijui anawaogopea nini waarabu.
Kwani Rwanda hakuna Waislam?Udini ndo unaokutesa..
Kuna nchi imepitia mauaji ya kutisha kushinda Rwanda??!!
Tena yalichochewa na Mapadri wa Katoliki.
Mauaji ya Liberia je?
Yanayoendelea DRC je?
Huko nako ni Waislamu?