Ndoa hazivunjiki kwasababu ya kuoa mke bikira ila kwa kuchunguzana au kupelelezana period

Mwisho kwa wale ambao huwa hatuna huo ujinga wa kuchunguzana we are strong enough kujua kwamba mwanamke au mwanaume hachunguzwi kwakuwa anajua anachofanya,na akiamua kufanya jambo lake anafanya hata humchunguze vipi

Kikubwa tunapenda heshima itawale ndani ya nyumba,mwenza wako asikuonyeshe dalili zozote za kutokuwa mwaminifu,kama mwenza wako anakuheshimu na anakutii basi huna haja haja ya kutafuta mchawi,furahia ndoa yako na muishi kwa furaha na amani

Siku zote naamini uaminifu ni jukumu la mwenza husika,yeye ndio anawajibika kujitunza na kujiheshimu lakini sio wewe kufanya jukumu hilo kwa kumfuatilia na kumchunguza katu hutofanikiwa kamwe! weka hii akilini mwako

Mwisho huwa naamini siku zote bad news hutufikia haraka sana,kama kuna sintofahamu yoyote utaijua tu ila usiitafute


ASANTE
 
Umeandika jambo zuri na kubwa sana.
Nje ya mada: Kama si bikra oa lakini ujue kuwa umepokonya mke wa mtu .
Pili oa hata kama hana bikra ila usitoe mahari
 
Yes. Mwanamke ishi naye kijeshi.
La sivyo utakufa mapema umwache aendelee kula vyuku.
 
Usaliti ndio unasababisha ndoa nyingi kuvunjika,hili lipo wazi kabsa
 
Hao wanawake waokimbia ndoa zao sababu ya waume zao kutovaa majukumu ya ubaba acha wazikimbie tu, kwa sababu leo hii hata mwanaume akiyavaa hayo majukumu ya ubaba ipasavyo Bado tu mwisho wa siku atakuja kuambulia maumivu kutoka kwa huyo mke wake.

Mimi huwa nasema kama Kuna kizazi Cha wanawake ambacho hakistahili kabisa sacrifice zetu sisi wanaume basi hiki kizazi chenu Cha Sasa, kwanza ninaanzaje kuvaa majukumu ya ubaba ilihali wewe mwenyewe hauko tayari kuvaa majukumu ya umama??

Nyie wanawake wa siku hizi kufanya majukumu yenu ambayo kitamaduni ni ya kike huwa mnaita ni utumwa, Sasa kivipi Mimi nifanye majukumu yangu ya kiume??? acha tuishi hivyo hivyo.

Yaani You are not ready to play traditional feminine roles on account that they are slavery roles but you expect me to play traditional masculine duties?...Apparently you ain't ready to be my slave but you highly expect me to slave for you??? How ridiculous it is

Leo mwanaume akiwaoeni nyinyi modern women anakukuta tayari una kazi yako, wote mnakuwa mnafanya kazi kwa kipindi chote Cha ndoa yenu ila hela yako wewe haionekani ndani pesa inayotumika kwenye ujenzi wa familia ni ya kwake kwa mwamvuli wa kwamba eti kuhudumia familia ni jukumu la mwanaume na pesa ya mwanamke huwa haiguswi.....

Haya siku mmevunja ndoa, mnagawana Mali zote kwa 50-50 ambazo kimsingi asilimia kubwa ya pesa iliyotumika kununua Mali hizo ni ya mwanaume, wewe mwanamke pesa yako ulikuwa unapeleka kwenu huko kufanya miradi ya Siri na kuwasaidia ndugu zako....... SASA SI NI USSENGE HUO???

Aisee mtawashika hao hao masimps ambao Bado hawajashtukia huu utapeli mkubwa uliopo kwenye ndoa unaofanywa na nyie modern women Tena kirahisi sana.

Na pia hapa ndani hatulalamiki Bali tunasanuana, kwa mwelevu atayafanyia kazi haya tunayoyandika hapa ila kwa Yale masimps hayataelewa chochote na mtazidi kuyapiga sana kwa kivuli Cha ndoa.
 
Ukizungumzia kesi ya Hakimi na yule mtalaka wake mpaka anafikia hatua ya kudai talaka na kutaka wagawane Mali ni kwamba yule mwanamke alikuwa ameshapanga siku nyingi sana.

Mara kadhaa hata huko nyuma walikuwa wakiitilafiana kidogo sana, yule mwanamke alikuwa anamtishia kwamba atamfilisi na kurudisha nyuma kimaendeleo... Na hapo ndipo Hakimi akapata wazo la kuamisha Mali zake zote kwenye umiliki wa mama yake kwa Siri.

Mwaka Jana mwezi wa pili Kuna mwanamke alimtuhumu Hakimi kwamba amembaka, siku iliyofuata tu mke wake akakimbia mahakamani kwenda kudai talaka..... Mind you hapo Hakimi ndio ametuhumiwa tu Wala haijathibitika bado, lakini mke wake tayari akawa ameshaanza process za kumuacha.

Baadae ikaja kubainika kwamba yule mwanamke alikuwa ni muongo na Wala hakuna ubakaji wowote aliofanyiwa na Hakimi maana alikataa kuonesha ushirikiano kwa waendesha mashtaka.

Hivyo ni wazi kwamba yule ex-wife wa Hakimi alikuwa anasubiri itokee excuse ya kuachana na Hakimi ambapo ndio hiyo ya tuhuma ya ubakaji na ndio maana hata hakusubiri hili aone kama tuhuma za kweli, yeye akakimbilia kuvunja ndoa tu.

Sasa imagine mke wako anakuacha ukiwa kwenye matatizo una kesi nzito inayotishia ustawi wa maisha yako, wakati ndio kipindi ambacho anatakiwa awe karibu na wewe na Tena achukue nusu ya Mali zako.... Hivi kweli mwanamke kama huyo ana roho ya kibinadamu kweli??? Aisee Moja ya siku ambayo nilifurahi sana ni ile siku nilivyoskia kwamba yule yule tapeli haambulii kitu chochote kutoka kwa Hakimi na badala yake yeye ndio anatakiwa amlipe Hakimi.
 
Maneno yenye hekima sana haya

Nyash zimeharibu future za ndoa na familia nyingi sana
 
Siku utakapoanza utakapoacha kumchunga mpenzi wako au mke wako kwa nyakati hizi basi ndio umeanza kuchimba shimo la kaburi lako..........
 
Mashaallah al akhy

Umetukumbusha mambo muhimu sana hapa,shukrani sana.
 
Hiyo tabiaaa, Ina mchango katika kusababisha Binti mmoja awe na bikira na mwingine asiwe nayo.
 
Hiyo tabiaaa, Ina mchango katika kusababisha Binti mmoja awe na bikira na mwingine asiwe nayo.
Hapana, wengine bikira zao zimetolewa katika mazingira ambayo hawakuruhusu wao, walilazimishwa, kuna dada alitoa ushuhuda humu alibakwa na mjomba wake na kuahidiwa kusomeshwa
 
Nadhani hii ndo ile KATAA NDOA inapoanzia. Japo sometimes kuna uhalisia wanawake wanazingua sanaa.

Yaani stress niliyopata jana nlitamani nirudi tu nikalale ofisini hizi ndoa za siku hizi kuna mahali wanawake hawafundishwi ndo maana vijana wanaona miyeyusho. Hata umpe 1M kila wiki still atakuzingua tu.
 
Thamani ya mwanamke ni bikra
kwanza kuna asilimia kubwa ya kuridhika na wewe sababu hana reference point bikra ni zawadi kwa mwanaume kutoka kwa mwanamke
bikra ina thamani kubwa sana Oa mwanamke bikra utapata Amani ya nafsi huyo atakua Mali yako wewe
 
Bikira zetu bado mtupangie matumizi,, aaaaaarrrrrrgggghh tuacheni hukoooo
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…