Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Kaa nae chini uzungumze nae, akikaidi waita wasimamizi wa ndoa yenu myazungumze. Akikaidi na hapo fanya maamuzi ya kiume sasa.
Mtu anapokuwa na changamoto za kitabia eneo la ndoa ukishaanza itisha mavikao anajiona yeye anakumudu kupita maelezo. Wewe unachotakiwa kufanya ni pale anakuonyesha tabia sizo msomee mashitaka yake kisha mpe utaratibu wa kuenda nao ili muweze kuishi pamoja na si vinginevyo, kiongozi ndie hutoa muongozo na sio mtendaji au anayetakiwa kuwa chini ya kiongozi.

Uanaume sio kitu xha kuambiwa au kuelekezwa ni kitu cha kuwa na kufanya. Trust in your frame work and usiruhusu mtu akuchekeche hata kidogo.
 
Tatizo ni Muha bro!!! Hapo ndio kazi inakuwa ngumu zaidi...
 
Aaah aisee kitendo cha serikali kuwaambia wanetu wachague dp world au tpa ni cha huzuni, no wonder jamaangu mmoja naonaga status zake anasema β€œntawamis sana wanangu” kajichagulia tpa wamemwamishia mwanza ni huzuni kwakweli,
 
Aaah aisee kitendo cha serikali kuwaambia wanetu wachague dp world au tpa ni cha huzuni, no wonder jamaangu mmoja naonaga status zake anasema β€œntawamis sana wanangu” kajichagulia tpa wamemwamishia mwanza ni huzuni kwakweli,
Hahahahaha sasa mwanza ataenda kusimamia samaki ziwani au inakuwaje πŸ˜‚
 

Usimpe attention...
 
Tatizo ni Muha bro!!! Hapo ndio kazi inakuwa ngumu zaidi...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, wabish sana waha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, ila wanawake bwana kuna kimoja yan eti nikichelewa kujibu text utasikia we endelea na mambo yako, nikakapaga warning sijui akajisahau tena akarudia vile vile me sasa sijajibu wala siji kujibu nimeendelea na mambo yangu, ukiona mwanamke anatisha ivyo ujue ana watu wengi wanamsumbua piga chin anza upya.
 
Mrudishe kwao mapema kabla hajakudodea mkuu. Utakuja kunishukuru baadaye.
 
Sijaokoka ila hio namba 3 na 4 ni uhalisia wa ndoa nyingi na ndicho chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika.
 
ndoa ni zaidi ya kujamiana,wanaume halisi tu ndo wataweza kukaa na mtoto wa watu
 
Oa bikra wapo wengi tu! Yanini unakazana na mamalaya yametumika na watu wa kila aina haliwezi kuwa na upendo wowote
 
Piga mashine mkuu kisirani kitapotea hakikisha unapiga mashine.
 
Ondoa pumba hapa muabudu mfuuu
 
sasa subiri siku atakayokuambia sasa na wewe ni mwanaume kati ya wananume
 
Oa tu.. ila usitusumbue na kadi za michango..

Huwa mnasumbua watu alafu ndoa zenyew hamdumu. Wiki moja kila mtu na 50 zake.
Mtu unamchangia gharama za Sherehe ya ndoa yake halafu bado tena anakuletea kesi zake za mahusiano yake ambayo alikata viuno na kurukaruka siku anayaingia kwa mbwembwe zote.

Hebu tusichoshane. Kama ni ulijiona kidume kuoa then komaa kuwa kidume kusimama kiume kwenye ndoa yako na kuwa baba wa familia.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ anakutaftia sababu
 
Tukisema msioe mnatuita mashoga, sasa pambana na hali yako.
Dunia ya sasa kwenye wanawake 20 unaweza kupata wawili au mmoja tu mwenye sifa ya kuwa mke.
Na huyo mwenye sifa ni single mother wa watoto wawili au watatu ameamua kuwa mpole kwasababu ana uhitaji wa kupata bwege m'moja wa kumsaidia kuwajibika na matoto yake aliyopata kwenye harakati zake za usupawomani huko uraiani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…