Hapa kuna mawili moja anataka ukipanda kichwani (manipulation) au ulioa mpenzi wa mtu ....kazi kwakoJaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Pole ndoa ndoana, yangu ina miaka 9 leo kasema anakuja kuchukua nguo zake arudi kwao.Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Tatizo sio hili hapa, tatizo ni wewe haukua tayari kwa ndoa. Hayo yote uliyotaja ni mambo ya kawaida kabisa kwa mwanamke hata maofisini tunakutana nayo. Jambo la kwanza ni wewe unasimamaje kwenye nafasi yako kuyasolve hayo au kudeal nayo.Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
afatgar kwenye 40 nimepunguza 9 bado 31 ila c mchezoWanasema ndoa ni kuvumiliana baba hapo mna miaka 40 ijayo ya kuwa pamoja jikaze kiume tu ikishindikana jikaze kisabuni
pole sana ila hawanaga mwendo akirud sio muda utasikia anataka murudianePole ndoa ndoana, yangu ina miaka 9 leo kasema anakuja kuchukua nguo zake arudi kwao.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Na wanawake wasiokuwa na akili!Ndoa ni kwa wanaume wenye akili tu. Ona sasa unaumbuka!!
hahahahahah huhuhuhuhu dronedrake Intelligent businessman ,, njoooni humuHuu uzi asiuone proton pump
ππππππππ
duu kwan wanyatu wanashida? Anyway ww ulitaman au ulipenda nyumba na choo chake? Uchi ni mtamu ila vitamu vinaua.....hujui kisukari kinasababishwa na ulaji wa sukari?Ni mnyaturu?
Shauri yake, yaani mkishafanya maendeleo makubwa ndio utawajua rangi zaopole sana ila hawanaga mwendo akirud sio muda utasikia anataka murudiane
Kaoa Muha , wanakaskazini walikufanyaje?poleUsikute umeoa mke toka chin ya mlima wenye mita 5895,sasa kaona huna hela alizotarajia sasa anatafuta namna ya kugawana hicho kibanda akaanze u~super woman sokon maana ndo walivyo,anyway ndoa ni kama jiji la Dar,kuna raha na karaha!
Mnaitana sasa ππππππhahahahahah huhuhuhuhu dronedrake Intelligent businessman ,, njoooni humu
Nikajua tu hujaenda kusali au kuswaliMnaitana sasa ππππππ
ππππππππ Mi bado ntaenda misa ya saa tano...Nikajua tu hujaenda kusali au kuswali
nenda kasali kwanza usisite kufollow nofap.comππππππππ Mi bado ntaenda misa ya saa tano...
Jana ukajikuta mshauri mzuri mwenyewe...
πππππ Kumbe ni hovyo kabisa