Ndoa ya Aziz Ki ni maisha yake binafsi, lakini Wacha nitie neno kidogo

Wewe kidogo kuna kitu umekiona,nahisi ule ni mchongo ngoja Nifah aje, coz nahisi kuna ishu ya kitown inaendelea.
Mambo ya mjini ni mengi,hata "uraia" unaweza kutafutwa,viambatisho vya maombi ya uraia,inaweza kuwa rahisi kuwanavyo sasa.
 
Hiyo game na mashujaa wala usijali, wanadhaminiwa na GSM wale. Lazima watulie wafungwe
 
Mwanamke life yake huwa ipo 50:50, muda wowote anaweza kutoboa kupitia mbunye yake. Mbunye ni hazina haiozi.
Nimelia sana mkuu🥶😅demu wangu bhana alikuwa anaidaiwa mkopo kwenye microfinance za mitaani Sasa bhana hakuniambia, kimya kimya tu si akaja kuniambia nimlipie deni nikagoma miezi miwili mbele kapata mtu. Kaclear lile deni namimi nikapigwa chini
 
Kufatilia na ki judge wengine Ni sign za poverty na uswahili
 
Aziz Ki amemuoa Hamisa Mobeto?????? Hili limenipita ila nadhani kapotea.... Hamisa kiroho ni mchafu kupitia majei ma nasibu.
 
Kwahio vijana wa Kitanzania mna muonea wivu Hamisa, mlitaka Aziz awashenyete nyie..?
Embu huo umasikini wivu chuki makasiriko na upuuzi wenu pelekeni kijijini kwenu waacheni waoane...
By the way hapo kwanza Kitaifa tumefaidika na hiyo ndoa...
Duh, dogo una hasira! Mpaka uwapasue hivyo wenzio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…