Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LabdaHata mimi najiuliza inakuaje kijana anafunga ndoa bila uwepo wa wazazi wake na ndugu zake. Mahari imelipwa bila wazazi wala ndugu. Huwa ninaamini kuwa Engr Hersi ni mtu mwenye akili kubwa sana , Hekma na Busara, sielewi hili jambo kwanini limekwenda namna hii na yeye kuhusika kama Kiongozi.
Otherwise iwe ni wazazi na ndugu wa Aziz Kii huenda hawakuitaka hiyo ndoa na ndio maana Aziz Kii akaona potelea mbali nitafanya bila wao.
KUTAKUWA NA NAMNA
Wivu utakuua!Huyu jamaa nimemuona mshamba ajabu.
Usijali... Ila Aste Aste naona mbinu inajibU. Haji Manara, Jonas Mkude, Hamisa Mobeto. chama, mwenda, baleke, na kubwa kuliko ni AZIZI KI. BADO.TUNA PACOME.Nilikusahau jamani...lol 😀 😀 😀 😀 😀
NaamNilisema hii ni project ikikamilika mtaona mengi na mtasema mengi.
Mara nyingi maishani unajifunza zaidi kupitia makosa, na inapendeza makosa hayo uyaone kwa wengine yasikukute wewe mwenyewe!
Ulishawahi ishi nchi ngapi zilizoendelea?Kufatilia na ki judge wengine Ni sign za poverty na uswahili
Kabisa mkuu, ila siku ukikua utaelewa wakubwa wanaongea nini.Wivu utakuua!
Mjomba kuna maisha mengine hta ukiamua kubadilika ni ngumu kueleweka we fikiria baada ya Aziz kuoa tu kila ukingia mtandaoni unakutana na picha za hamisa na wanaume aliokuwa anawauzia papuchi na picha zote ni za aibu unawezaje kukaa na mwanamke wa hivyoMkuu mambo yanabadilika hata Hamisa amepitia Mengi usiyoyajua.
Huenda kajifunza na akaamua kubafilika kuwa Mke Bora.
Aziz ndiye anajua Thamani ya Mke wake.
PointiMjomba kuna maisha mengine hta ukiamua kubadilika ni ngumu kueleweka we fikiria baada ya Aziz kuoa tu kila ukingia mtandaoni unakutana na picha za hamisa na wanaume aliokuwa anawauzia papuchi na picha zote ni za aibu unawezaje kukaa na mwanamke wa hivyo
Hili liko wazi ukiona mara nyingi hawa wasanii hawaolewi pmj na uzuri wao sio kwamba watu hawataki kuwaoa ila historia na matukio yao ya kila siku yanawahukumu
We challi mapenzi ni upofu, unajuaje labda Hamisa atatulia na mumewe??Huyo jamaa kaingizwa chaka na atalia sana muda si mrefu. Yani pakashume la bar unataka ulifuge ndani?
Najua hapa akina dada mtani attack ila huo ndio ukweli huyu Azizi kaingizwa mkenge.
Sasa wakinga na utapeli tumeingiaje hapo??Maisha ni mpango wa Mungu sema kama watu wanataka kumaliza career ya jamaa.Bibi harusi kashindikana mpaka kwa wale matapeli wa kikinga huyu mbukinabe ataweza?
Kila la kheri kwake