Hongera mkuu... Mwenyezi Mungu awajalie amani na upendo mzeeke pamoja.Kwanza namshukuru Mungu kwa kweli, nina furaha usingizi umepotea, hamu ya msosi sina kabisa toka nilivyopata kifungua kinywa, nimebahatika kunywa chai tu usiku huu.
Ndugu zangu, Allah ameniruzuku mtoto wa kiume jioni ya leo, mke wangu kazaa kwa njia ya operation, namshukuru Mungu mama na mtoto wako salama.
Kuna ndugu zangu walinipa support (kunipa moyo) kwenye jambo hili (kusaka mke JF) si vibaya nikiwapa mrejesho, si rahisi kuwakumbuka wote.
AKILI IKO HOVAS![emoji23][emoji1787]
Thread 'Natafuta mke' Natafuta mke
Nina uhakika asilimia 99.99999999999, hana akaunti JF, siku za mwanzo nilikuwa siamini baadae nikapa uhakika hana.Unaweza sema mpita njia kumbe ndio mimi nilikuja na id yangu nyingineππππ
Mkuu muite mandonga og au vuvuzelq
πππππNina uhakika asilimia 99.99999999999, hana akaunti JF, siku za mwanzo nilikuwa siamini baadae nikapa uhakika hana.
Na kama ukiwa wewe, usiku tukilala unitie MAKONZI π
Amin mkuuHongera mkuu... Mwenyezi Mungu awajalie amani na upendo mzeeke pamoja.
Au muite yeSio ndoige peleso peleso
Huwa anapita kusoma soma vitu, Alisoma tangazo akaona namba za simu akanicheki. Walikuw kadhaa ila yeye ndio akapenyaπππππ
Sasa kama hana account jf mlipatanaje?
Oooh!! Kumbe uliweka namba za simuπππHuwa anapita kusoma soma vitu, Alisoma tangazo akaona namba za simu akanicheki. Walikuw kadhaa ila yeye ndio akapenya
π π
Hukunicheki sasa, ulitaka ushindi wa mezani!? π π πOooh!! Kumbe uliweka namba za simuπππ
Kwahiyo mimi ndio ukanikataπππ
Si ndio mzee mwenzanguπππHukunicheki sasa, ulitaka ushindi wa mezani!? π π π
Mzee mwenzangu uliwahi kuwa msaidizi wa eric Shigongo nini ππ€£Si ndio mzee mwenzanguπππ
Ukanichatisha wee halafu ukanikata!!! Amakweli hii dunia sio yetuπ
Mweeeh!! Ndio maana ulinikata nini!!Mzee mwenzangu uliwahi kuwa msaidizi wa eric Shigongo nini ππ€£
mpwayungu village ni kiazi kibichi ana chuki na walimHongera mkuu. Napendekeza huyo mtoto aitwe Mpwayungu.
We leta uhuni wako tu, mungu anakuona ujue πMweeeh!! Ndio maana ulinikata nini!!
Sasa uliotukata ulituahidi kuwa utatufikiria, vipi bado tu?We leta uhuni wako tu, mungu anakuona ujue π