Ndoa za wake wengi ni mateso sana kwa watoto/ wake

Ndoa za wake wengi ni mateso sana kwa watoto/ wake

Kwanza Nina Shaka na uislamu wako!!!
Lakini sishangai Kama ulivyo sema umetetereka kiimani bado kutangaza tu umekufuru dini.
Majibu kwa hoja zako kuu.
1.ndoa za mitala hazifai kwa sababu za kiuchumi!.
Dini imesema uoe ukiwa na uwezo sio uoe tu Kisha watu wateseke na uwezo Ni khaswa kiuchumi na kiafya(nguvu za kiume),manake kiuchumi kulingana na Sheria ya dini Ni uweke usawa mke mmoja ukimnunulia gari bc na mwengine lazima umnunulie tofaut na hvyo unapata dhambi Mana inakuwa haufanyi uadilifu ,vivyo hvyo katika kula,mavazi n.k
💥Hvy usilaumu dini kuweke hii Sheria Mana lengo Ni kuepusha zinaa Mana mwanaume Ni MTU wa matamatio Sanaa, mlaumu baba yako kwa kutofuata Sheria kikamilifu manake hakukidhi vgezo vya kuoa wake wengi.
2.Ndoa za mitala hazifai kweny nchi zetu.
Huo Ni uongo mkubwa unataka uniambie hzi nchi watu wenye Ela hamna ama Ni vp? .
Na katika dini uwezo unaangaliwa katika mahtaj muhmu ya kibinadamu malazi,malazi, chakula n.k, uwezo c kumiliki mabilioni.
💠Wew unapinga ndoa hzo kwa chuki bnafc hyo Sheria imewekwa kwasababu Kama hz:
1.mwanaume kukaa na mke mmoja Ni ngumu lazma atmchoka kihisia c kimapenzi hvy atatamani nje ,so dini imemkataza znaa manake atateseka ndo mana akafanyiwa wepec kwa kuoa Zaid ya mke mmoja.
2.wanawake Ni wengi kuliko wanaume SKU zote Kuna wengne Ni wajane,wametelekezwa inategemea Nani awao?(lengo kubwa la dini Ni kupinga znaa).
ACHA CHUKI NA DINI ZA WATU ,MLAUMU BABA YAKO KWA KUTOKIDHI VIGEZO VYA KUOA WAKE WENGI
sawa mkuu nimekuelewa 🤣🤣🤣

japo nilicho kimaanisha umekielewa na kukifafanua vizuri...!
 
Yani baadhi ya binadam wa zama zetu wana akili kuliko Mungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndugu zangu nawasalimu Kwa Jina la jamhuri ya Tanganyika. Mimi ni muumini wa dini ya kiislam Ambae Kwa kiasi Fulani naweza kusema Imani yangu imeteteleka kutokana na baadhi ya matendo ya watu wa Imani ambao nilikuwa na waamini sana ila mwisho wa siku wanafanya mambo kinyume na maelekezo ya Dini.

Katika dini zote tunaamlishwa kufanya mema na kukatazwa kufanya mabaya hivyo sipingani na Imani ya mtu wowote hata kama Hana dini kama afanyi mabaya huyo ni mtu wa Mungu.

Kwenye dini yetu ya kiislam Kuna maamrisho mengi sana mema Ikiwemo.

√Kusaidia Yatima
√kuwasaidia wazazi
✓kusaidia wenye huitaji
√kutoa sadaka
✓kufuturisha kwa waliofunga mwezi mtukufu.

Hizo ni baadhi. matendo mema ya sisi waislam yamegawanyika kwenye makundi mawili.

1. Faradhi

2. Sunna

Ili swala la kuoa lipo kwenye kundi la kwanza la faradhi. Ila ili ndoa iwe ndoa Kuna misingi ya kuzingatiwa.

Muhtadha wa andiko langu upo kwenye hizi ndoa za wake Zaidi ya mmoja. Ambayo Mimi naiweka kwenye kundi la sunna maana imeandikwa kuwa "muoe wake Hadi wanne kama mna uwezo".

Hivyo usipo oa wake wengi sio dhambi ila kikubwa ni lazima uwe na uwezo.

Ndoa za wake wengi Kwa nchi yetu changa kiimani, changa kimaendeleo na changa ki uelewa HAZIFAI.

Wenzetu WAarabu wanaouweza wa kuoa Zaidi ya wake mpaka wa 4 kwasababu wanao uwezo kipesa na dini imeanzia Kwao hivyo wanauelewa mpana sana wa Hilo swala.

Watanzania wengi vipato vyetu ni vya kawaida sana hivyo kuoa wake wengi ni sawa na kuipa familia UMASIKINI wa kujitakia.

Kwenye andiko langu hili

Najuta kumtia umasikini Mama yangu

Wachangiaji wengi walinilalamikia kuwa kwanini andiko lote hakuna sehemu nimemtaja baba😭🙆😭🙆

Mimi nimelelewa na wazazi wote wawili baba na mama na Nina mshukuru Mungu sana wazazi wangu wote Bado wapo hai na wanaishi pamoja.

Kitu kilichopelekea nisimgusie mzazi wangu wa kiume kwenye andiko langu la awali ni ile hali ya yeye kuwa na wanawake wengi. Najua nakosea Kwa Mila zetu kuzungumza hivi ila mtanisamehe sizungumzi Kwa Nia mbaya.

Kwa uwezo wa kiTanzania kuanzia cheo cha mkuu wa mkoa kushuka chini awana uwezo wa kumudu kuhudumia wanawake Zaidi ya mmoja.

Hizi ndoa zinaleta mateso makubwa sana Kwa watoto na Huwa zinaleta matabaka sana. Kuna familia Moja kati ya hizo itajaaliwa. Harafu itaona kama inapendelewa.

Kuishi bila kupendelea haiwezekani hivyo Kuna mke atapendelewa yeye na watoto Wake. Hapo ndipo balaa litapoanza kujitokeza.

Baba yangu Kwa nafasi aliyokuwa nayo alikuwa na uwezo wa kuhakikisha watoto Wake wote wanasoma na kupata kazi endapo angekuwa na familia Moja.

Ila Hilo ameshindwa kulifanya kwasababu ya kuhusudu ndoa za wake wengi kitu kilichopelekea baadhi ya watoto kutelekezwa. 😭😭😭

Waliosema ndugu zako wa kweli ni watoto wako wa kuwazaa hawakukosea ila sio watoto wawe wengi kupita kiasi.

Kibinaadam ukiwa na watoto 3 au 4 hivi wanatosha sana. Sasa unakuta mfanyakazi analipwa milioni 1. Ana wake Zaidi ya 4 ana watoto 16. Huku ndugu zake dada, kaka na wadogo zake wote wanamtegemea mtu kama huyu anaweza kweli kuwasaidia watoto Wake.

Ifike kipindi serikali itoe tamko baadhi ya maandiko ya Dini yazingatiwe yasifuatwe kwani yanadhalisha kizazi chenye chuki na visasi na kulirudisha Taifa nyuma😭😭😭

NAPINGA NDOA ZA WAKE WENGI.​
dini ni ya ALLAH, wewe endelea tu na ukafr
 
Muhtadha wa andiko langu upo kwenye hizi ndoa za wake Zaidi ya mmoja. Ambayo Mimi naiweka kwenye kundi la sunna maana imeandikwa kuwa "muoe wake Hadi wanne kama mna uwezo".
Kuoa wake wengi kwenye Uislamu kigezo kikuu ni uwezo je uwezo upi huo nafafanua

Kigezo Cha kwanza ni uwezo wa mwanaume kumridhisha kingono mke.Mfano ameoa mke wa kwanza anamplekesha kingono moto hasa Hadi yule mke anaona hapana huyu mume simuwezi nampa ruksa aoe mke mwingine tusaidianr hii kazi.Ndio maana kuoa mke wa pili kwenye Uislamu mke aliyepo lazima atoe ruksa mume aoe mke wa pili.

Sasa haya kaoa wake wawili anawatandika kingono barabara vitandani wote wawili moto haushuki uwezo wake wa kuwashighulikia kingono na kuwaridhisha wanaridhika Hadi wanafika mahali wanaona tutakufa huyu mume sio kawaida wanakaa Hao wake wawili wanatoka kibali kuwa mume wewe ruksa kaoe mke wa Tatu tunakuruhusu.Haya anaoa mke wa Tatu wanakuwa watatu anawapelrkesha kingono wote watatu Hadi wanajuta kuolewa maana anawafikisha na kuridhika Hadi anapitilizs na kuona ndoa chungu hawamuwezi uwezo wake kitandani wote watatu Kila mmoja akienda kwake ndio wake watatu Hao wanakaa wanasema uwezo wa mume mkubwa kutuzidi kitandani atatuua tumruhusu aoe mke wa Nne wanamruhusu

Sasa kwenye Kurani inaamini kuwa maximum mwanaume wake wanne Kwa yule mwenye minyege na moto uliopitiliza uwezo wake hauwezi zidi zaidi ya hapo.Wanne maximum
Kwa hiyo kipengele Cha kwanza ni uwezo wa kitandani ndio humsukuma mke aidhinishe mumewe aoe mke mwingine

Kigezo Cha pili ni uwezo wa kiuchumi huo umeshaongelea siongelei

Kigezo tu Cha uwezo wa nguvu za kingono Cha waislamu wengi kuwaweza wanne wengi hawana ndio maana mitaani wanachapiwa wake zao Hadi na bodaboda

Kifupi Kurani inamtaka mume kuwa na uwezo kwanza wa kingono kuridhisha Mkewe au wakeze na pili uwezo wa kiuchumi
 
Kuoa wake wengi kwenye Uislamu kigezo kikuu ni uwezo je uwezo upi huo nafafanua

Kigezo Cha kwanza ni uwezo wa mwanaume kumridhisha kingono mke.Mfano ameoa mke wa kwanza anamplekesha kingono moto hasa Hadi yule mke anaona hapana huyu mume simuwezi bampa ruksa aoe mke mwingine tusaidianr hii kazi.Ndio maana kuoa mke wa pili kwenye Uislamu mke lazima atoe ruksa mume aoe mke wa pili.

Sasa haya kaoa wake wawili anawatandika kingono barabara vitandani wote wawili moto haushuki uwezo wake wa kuwashighulikia kingono na kuwaridhisha wanaridhika Hadi wanafika mahali wanaona tutakufa huyu mume sio kawaida wanakaa Hao wake wawili wanatoka kibali kuwa mume wewe ruksa kaoe mke wa Tatu tunakuruhusu.Haya anaoa mke wa Tatu wanakuwa watatu anawapelrkesha kingono wote watatu Hadi wanajuta kuolewa maana anawafikisha na kuridhika Hadi anapitilizs na kuona ndoa chungu hawamuwezi uwezo wake kitandani wote watatu Kila mmoja akienda kwake ndio wake watatu Hao wanakaa wanasema uwezo wa mume mkubwa kutuzidi kitandani atatuua tumruhusu aoe mke wa Nne wanamruhusu

Sasa kwenye Kurani inaamini kuwa maximum mwanaume wake wanne Kwa yule mwenye minyege na moto uliopitiliza uwezo wake hauwezi zidi zaidi ya hapo.Wanne maximum
Kwa hiyo kipengele Cha kwanza ni uwezo wa kitandani ndio humsukuma mke aidhinishe mumewe aoe mke mwingine

Kigezo Cha pili ni uwezo wa kiuchumi huo umeshaongelea siongelei

Kigezo tu Cha uwezo wa nguvu za kingono Cha waislamu wengi kuwaweza wanne wengi hawana ndio maana mitaani wanachapiwa wake zao Hadi na bodaboda

Kifupi Kurani inamtaka mume kuwa na uwezo kwanza wa kingono kuridhisha Mkewe au wakeze na pili uwezo wa kiuchumi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Siku hizi wanawake wa Kiislamu waliolewa ndoa za wake wengi zinazofungwa Kiislamu likiibuka la kuibuka hawaendi mahakama ya Kiislamu au msikitini wanaojua watapunjwa wanaenda mahakama za kawaida ona kama kesi hii ya mtawala wa Dubai

LONDON -- A British court has ordered the ruler of Dubai to pay his ex-wife and their children close to 550 million pounds (US$730 million), in one of the most expensive divorce settlements in British history.

A High Court judge said Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum must pay 251.5 million pounds to his U.K.-based sixth wife, Princess Haya Bint Al Hussein, and make ongoing payments for their children Jalila, 14, and Zayed, 9, underpinned by a bank guarantee of 290 million pounds.

The total amount the children receive could be more or less than 290 million pounds, depending on factors including how long they live and whether they reconcile with their father.

The settlement includes 11 million pounds a year to cover security costs for Princess Haya and the children while they are minors.

In a November ruling that was made public Tuesday, Judge Philip Moor said the family needed “water-tight security,” and that “absolutely uniquely,” the main threat to them came from Sheikh Mohammed, rather than outside sources.

Haya, 47, fled to the U.K. in 2019 and sought custody of her two children through the British courts. The princess, who is the daughter of the late King Hussein of Jordan, said she was “terrified” of her husband, who is alleged to have ordered the forced return to the Gulf emirate of two of his daughters.

The long battle in Britain's family courts has disclosed personal and financial details about the powerful but publicity-shy Gulf royals who are among the world's wealthiest people. Sheikh Mohammed, 72, is also the vice president and prime minister of the United Arab Emirates, of which Dubai is a part, and a major horse breeder. The founder of the successful Godolphin horse-racing stable, he is on friendly terms with Queen Elizabeth II.

Haya, a graduate of Oxford University, is also a keen equestrian and competed in show jumping for Jordan at the 2000 Sydney Olympics.

In evidence to the court, Princess Haya said she had paid 6.7 million pounds to four of her security staff who blackmailed her over her affair with a bodyguard, selling jewelry and taking money from her daughter's bank account to get the funds.

After learning of the affair, Sheikh Mohammed published a poem titled 'You Lived; You Died,” which Princess Haya interpreted as threatening.

A separate British family court judge ruled in October that Sheikh Mohammed had authorized the hacking of Princess Haya's phone during their legal battle.

Judge Andrew McFarlane said the sheikh gave his “express or implied authority” to hack the phones of the princess and her attorneys using Pegasus spyware produced by NSO Group of Israel, the court said. The software is licensed exclusively to nation states for use by their security services.

Sheikh Mohammed denied knowledge of the hacking.

McFarlane earlier ruled that Sheikh Mohammed had conducted a campaign of fear and intimidation against his estranged wife and “ordered and orchestrated” the abduction and forced return to Dubai of two of his adult daughters: Sheikha Shamsa in August 2000 and her sister Sheikha Latifa, in 2002 and again in 2018.

The divorce bill eclipses the 450 million pound settlement awarded Tatiana Akhmedova in her 2016 split from Russian billionaire Farkhad Akhmedov, at the time cited as Britain's most expensive divorce.

The settlement includes a holiday budget of 5.1 million pounds, an annual sum of just over 450,000 pounds for the children's staff and around 275,000 pounds for their animals, including two ponies and a horse. Haya was awarded millions to compensate for property lost when she left Dubai, including 13.5 million pounds for jewelry and what the judge called “the relatively modest sum” of 1 million pounds for clothes.

It is possible, but rare, for financial divorce settlements to be appealed in England.

A spokesman for Sheikh Mohammed said in a statement that the ruler “has always ensured that his children are provided for. The court has now made its ruling on finances and he does not intend to comment further.”
 
Unajua binadamu wa leo wanakufuru mno na ni wajuaji sana kumzidi Mungu eti wanakuambia kuoa wake wengi sio mpango wa Mungu wakati wateule wa Mungu kama Yakobo,Suleiman walioa wake wengi
wewe wanawake wengi inabid uwe na pesa usitake kudabganya hapa,
na hawana upendo ndio maana kila mmoja anakaa kwake, hayupo huyo mwanamke anayetaka kuona mwanaume wake ana mwanamke mwingine kama wew ilivyo ambavyo hutaki kuona mke wako ana mwanaume mwingine.

Hayo mambo yalikuwa kipindi mwanamke ni mtumwa na ni mali ya mwanaume mfumo dume,
Kama kweli wanapendana jenga jumba kubwa waweke wote humo halafu
uone.

Wacha porojo
 
Mimi siyo muislam, ila naamini 4-K is better than 1

Dini yenu iko proper sana kwenye mambo ya kunyanduana, na ukila 4-K za halali hapa duniani unaenda kupewa 72 K huko mbele
 
Back
Top Bottom