The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
mkuu samahani naomba unielekeze vizuri hii habari?Ni sahihi. Kwa jinsi ninavyoona lile puuzi lililodanganywa na mashehe wa BAKWATA Morogoro kuwa hakuna mwanamke anayekubali au kuruhusu mme wake kuoa mwanamke mwingine bila kurogwa naye akamloge yule Dada ili aoe wanawake 3, akiwemo yule Polisi toka Musoma Anna na jinsi anavyomnyanyasa yule Dada wa watu aliyekuwa mke wake anasikitisha sana. Umesema sahihi kabisa.
Mungu amsaidie yule Dada.
Dunia hii ina mambo mengi. Kuwa uyaone mwanangumkuu samahani naomba unielekeze vizuri hii habari?
Kweli nimetamani kujua lakini sijaelewa au sikuisikia nieleweshe mkuu
mkuu nambie basi tujifunze wote?Dunia hii ina mambo mengi. Kuwa uyaone mwanangu
DuuuuhNAPINGA NDOA ZA WAKE WENGI.
Swali zuri sana, kila kitu kina mapungufuVipi allah hajasema nao wanawake waolewe na wanaume wangapi ili nao wapate starehe au furaha huko nje kama wanakosa furaha kwa wake zao? Huoni kama allah ni muonevu na anakandamiza bila kuheshimu hisia za wanawake? Mungu gani muonevu kwa wanawake na amewachukulia wanawake kama chombo cha starehe kwa wanaume.
Kimsingi, kwa niliyoyaona kwa yule Dada wa pale Morogoro. Ndoa za wake wengi ni kongwa na unyanyasaji wa wanawake. Hakuna mwanamke mwenye akili timamu anakubali kuolewa use wenza bila kulogwa. Lazima mashehe wamtupie pepo.
Wewe unapenda udakumkuu nambie basi tujifunze wote?
Hii habari sikuisikiia kweli kabsa.
imenipita hiyo, nilikuwa najadiliana na mtu huko hii sikuisikiaWewe unapenda udaku
Kijana wewe unadhani kila walichofanya hao Mitume na Manabii basi maana yake ni halali na wewe ufanye je unajua mwisho wa siku ni yepi yaliwakuta, kwa taarifa yako kina Suleiman na Daudi waliua watu katika utawala wao na wakazidi kubarikiwa je unataka kusema kuua si dhambi eti kisa hao waliua, mambo mengine huyo mungu aliwaacha wayafanye ili mwisho wa siku waje kuelewa kuwa hawakuwa sahihi ndio maana walikuja kukiri wenyewe kwamba mwisho wa siku walikuja kugundua yote yalikuwa ni ubatili na kujilisha upepo tu..Unajua binadamu wa leo wanakufuru mno na ni wajuaji sana kumzidi Mungu eti wanakuambia kuoa wake wengi sio mpango wa Mungu wakati wateule wa Mungu kama Yakobo,Suleiman walioa wake wengi
Jaribu kufukuafukua nyuzi za humu za kitambo kidogo utaikutaimenipita hiyo, nilikuwa najadiliana na mtu huko hii sikuisikia
Wewe unaijua mkuu?Jaribu kufukuafukua nyuzi za humu za kitambo kidogo utaikuta
Ifike kipindi serikali itoe tamko baadhi ya maandiko ya Dini yazingatiwe yasifuatwe kwani yanadhalisha kizazi chenye chuki na visasi na kulirudisha Taifa nyuma😭😭😭
Siijui ndio kwanza nimeisikiaWewe unaijua mkuu?
Ukweli mtupuAnajifurahisha tu huyo😂😂 tena afrika hii!
Hakuna mwanaume mwenye wake watatu wakawa wanapendana hao wanawake ila mwanaume ata enjoy ila siku akifa hilo bomu aliloacha nyuma ni hatari😂
Speaking from experienceKuelewana kupo japo sio kwa wote na hii ipo hata kwa waliozaliwa baba mmoja na mama mmoja
AKIKUJIBU HILI SWALI KIUFASAHA NALEFT JF NAJITOAVipi allah hajasema nao wanawake waolewe na wanaume wangapi ili nao wapate starehe au furaha huko nje kama wanakosa furaha kwa wake zao? Huoni kama allah ni muonevu na anakandamiza bila kuheshimu hisia za wanawake? Mungu gani muonevu kwa wanawake na amewachukulia wanawake kama chombo cha starehe kwa wanaume.
Kimsingi, kwa niliyoyaona kwa yule Dada wa pale Morogoro. Ndoa za wake wengi ni kongwa na unyanyasaji wa wanawake. Hakuna mwanamke mwenye akili timamu anakubali kuolewa use wenza bila kulogwa. Lazima mashehe wamtupie pepo.
Nani kakudanganya hivyo huku kwetu mtu anamfanya mwanae msukule sembuse mtu eti ulizaliwa nae tumbo mojaSpeaking from experience
Mtaelewana kiunafiki
Wa mama na baba mmoja ht mkizinguana Bado haitakua sawa na hiyo ya mama tofauti
Ni ushenzi kabisa
Kwahiyo hata wake wa Yakobo nao walirogwa?Hivi akili timamu unaipimaje? Au kumuita Yesu ni Mungu ndio akili?Vipi allah hajasema nao wanawake waolewe na wanaume wangapi ili nao wapate starehe au furaha huko nje kama wanakosa furaha kwa wake zao? Huoni kama allah ni muonevu na anakandamiza bila kuheshimu hisia za wanawake? Mungu gani muonevu kwa wanawake na amewachukulia wanawake kama chombo cha starehe kwa wanaume.
Kimsingi, kwa niliyoyaona kwa yule Dada wa pale Morogoro. Ndoa za wake wengi ni kongwa na unyanyasaji wa wanawake. Hakuna mwanamke mwenye akili timamu anakubali kuolewa use wenza bila kulogwa. Lazima mashehe wamtupie pepo.
jibu swali achana na mambo ya yakobo.Kwahiyo hata wake wa Yakobo nao walirogwa?Hivi akili timamu unaipimaje? Au kumuita Yesu ni Mungu ndio akili?
Na wapo waliooa mke mmoja na akendelea kuchepuka... kiufupi hata unachokipinga haukijui mpaka sasakila kitu kina faida na hasara, lakini wapo watu waliooa wanawake watatu lakini bado matendo yao si ya kumpendeza mwenyez mungu ila wapo pia waliooa wametulia vzuri.
Hapo utaona ni suala la tamaa za kiipumbavu tu, maana wapo waliotulia na wapo ambao hawajatulia wanaebdelea kuzaa na vitoto vidogo.
nilijaribu kukuonyesha hicho unachosema mungu kakiweka kwamba ndio sahihi, lakini tunayaona katika jamii zetu wenye wake watatu na wanashikwa ugoni, wanazalisha watoto wadogo.Na wapo waliooa mke mmoja na akendelea kuchepuka... kiufupi hata unachokipinga haukijui mpaka sasa