Ndoa za wake wengi ni mateso sana kwa watoto/ wake

nilijaribu kukuonyesha hicho unachosema mungu kakiweka kwamba ndio sahihi, lakini tunayaona katika jamii zetu wenye wake watatu na wanashikwa ugoni, wanazalisha watoto wadogo.
Sijui umeelewa point?
Kwahiyo unadhani watu wanaooa wanawake 4 hiyo sheria waliitoa wapi?
 
Hatuwezi kuzungumza hii mada bila kuwarejea manabii na mitume wa mungu kwamba kipi walikifanya na kipi hawakukifanya
jibu swali kwanini Allah akuweka usawa kwa wanawake ambao hawaridhiki na ndoa zao na wao waende kufurahia nje kama wanavyofanya wanaume?
 
Unaposema kutoridhika na ndoa unamaanisha nini?
kwani wanawake wote wanafurahia ndoa zao? Mbona wapo wanaochepukaau weee huoni?
Hilo linaamanisha hawafurahii hivyo wanahitaji faraja sehemu nyimgine kwanini hawakuweka uhuru wa kwenda na wenyewe kuongeza mwanaume?
 
Nilipoona umeandika "imani yangu imetetereka baada ya kuona watu nilikuwa nawaamini wanafanya mambo kinyume na maelekezo ya dini" sasa wewe unawafata watu au maandiko? Pili kwenye uislam kiigizo chetu ni mtume Muhhamad na sio watu wengine KILAZA WEWE.
 
kwani wanawake wote wanafurahia ndoa zao? Mbona wapo wanaochepukaau weee huoni?
Hilo linaamanisha hawafurahii hivyo wanahitaji faraja sehemu nyimgine kwanini hawakuweka uhuru wa kwenda na wenyewe kuongeza mwanaume?
Kwahiyo kwa mtazamo wako kuchepuka maana yake ni kwamba hafurahii ndoa?
 
Sidhani kama wapo na kama wapo upendo wao Huwa wakinafki baraaa hujitokeza baada ya baba Yao kufa ndio utajuta hujui. Kila mtu ataanza kuionyesha sasa rangi yake harisi... 😭😭😭​
Nimeshaona watoto wa baba mmoja mama mmoja wanagombea mali, watu wenye dini hukuti wanagombea mali
 
Kwahiyo kwa mtazamo wako kuchepuka maana yake ni kwamba hafurahii ndoa?
ndio ni sababu mojawapo,
Na huwa wanaongea hivyo mtaani tunaishi na wanawake wa hivyo labda kama wewe hujichanganyi
kama mtu yupo kwenye furaha kwanini aanze kuhangaika?
Embu jibu wewe kwanini achepuke na yupo sehemu yenye furaha na amani tele?
 
ndio ni sababu mojawapo,
Na huwa wanaongea hivyo mtaani tunaishi na wanawake wa hivyo labda kama wewe hujichanganyi
kama mtu yupo kwenye furaha kwanini aanze kuhangaika?
Embu jibu wewe kwanini achepuke na yupo sehemu yenye furaha na amani tele?
wewe umewahi kushika mimba?
 
mama yako alitombwa na akashika mimba.
Jibu swali sasa tuendelee
Unaona umejibu hivyo kwasababu unajua wazi mwanamke ameumbwa hivyo kwamba yeye anaolewa,anabeba mimba,anakojolewa,analipiwa mahari na sio yeye kulipa mahari na anapofika nyumbani kwa mwanaume yeye ni msaidizi na sio kichwa cha nyumba
 
Unaona umejibu hivyo kwasababu unajua wazi mwanamke ameumbwa hivyo kwamba yeye anaolewa,anabeba mimba,anakojolewa,analipiwa mahari na sio yeye kulipa mahari na anapofika nyumbani kwa mwanaume yeye ni msaidizi na sio kichwa cha nyumba
bado haujajibu.
Kama kweli wao ni wahivyo kwanini wanatoka na kwenda kutafuta furaha nje? Yaani nado unakimbia swali jibu swali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…