Ndoto hii ina maana gani? Je, ni walking dead?

Ndoto hii ina maana gani? Je, ni walking dead?

Acha upotoshaji, Sala zetu na maombi yetu ni kwa Baba wa mbinguni kupitia Yesu Kristo pekee na sio vinginevyo.Kuomba kupitia Maria na watu wengine ni upagani maana hamna popote kwenye Katiba yetu iliposemwa tuombe kwa Maria.
Kwa mambo yenye mkanganyiko kama haya ni vyema tuombe msaada wa Roho mtakatifu kabla hatujaconclud mambo. Sijamaanisha kile wanachokiomba wakatiliki ni sahihi. Pia nao wanatkiwa kusoma neno kwa msaada wa Roho mtakatifu.
 
Habarii, naomba mwenye uelewa wa kutafsiri ndoto anisaidie tafadhali,

nimewahi kuskia kwamba ndoto zinazohusu nywele inatakiwa uwe makini nazo, maana nywele kiroho zinamaana kubwa.

Hivyo naomba mwenye uelewa na ndoto hii anieleweshe:

Nimeota naelekea kanisani lakini ,kabla sijaingia church nikapita maliwato , nilikuwa na wenzangu, lakini nikakuta watu wengi huko , wa kanisani, badala ya kufanya shughuli iliyowapeleka wao wakawa wananishangaa namna nywele zangu zilivyo nzuri na zilivyo ndefu. Yaan Kila mtu akawa anazisifia.

Katika ndoto pia nikarudi nyumbani but kabla ya kuingia ndani, wakatokea jirani zangu wawili wakawa wananishangaa pia nywele zangu zilivyorefuka, mmoja anazisifia na mmoja akawa anaziangalia kwa jicho la husda bila kuzisifia.

But Mimi katika ndoto sikuwa nawasiwasi nikawa naona ufahari ,namwambia hiyo jirani yangu alozisifia kwamba unaona mchicha unazidi kurefuka.

Nimeamka nimekosa amani moyoni mwangu, please naomba msaada wa uelewa katika Hilo tafadhali.
 
Wachawahi wanakuchezea, wanakuchezea wapi mimi sijui ndiyo maana ikawa ndoto...
 
‘Ninamsifu Yehova, Mfalme wa mbinguni. Sasa ninajua kwamba Yehova ndiye Mtawala. Anawanyenyekeza wenye kiburi, na humpa yeyote yule amtakaye ufalme huo.’
Mkuu huu unabii unamhusu nani?
 
Tafsiri ya ndoto hio ni kwamba ulikuwa unafatiliwa na wachawi Ili wadhuru maisha yako lakini ukapambana nao na ukawashinda ndo maana ya kuwauwa mbwa baada ya kuwashinda wakaenda kuongeza nguvu hao mbwa wengine still ukawashinda so Ina maana una nguvu kubwa kuliko hao wapumbavu ndo maana ukawashinda.
Shukrani sana ubarikiwe
 
Ndoto yako ni ngumu
Ila uwepo vitu kama rungu, nyundo na mti mkubwa ni ishara ya utawala au mamlaka
.Ndoto Inategemea nani anaota ndoto moja inaweza kuwa na maana tafauti kutegemea na mtu aliota.
Km wewe ni mtu una mamlaka ya kufanya maamuzi jiandae na mabadiliko utakapo hisi umewashinda adui zako watakuja tena na nguvu kubwa kwa ghafla
Shukran
 
Wachawi wanakufuatilia,take care pia unatimia njia za kishirikina kijilinda na nguvu za guza
 
Punguza kula vyakula vizito usiku na ule mapema kabla ya kulala
Hii hutokea pale digestion inapoendelea wakati wewe umeshalala,
 
Habari za jioni ndugu zangu katika jamii.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.

Napenda sana kufahamu maana ya ndoto nyevu kwasababu nafikiri sina uelewa mpana kuhusiana na ndoto nyevu.

Labda kwa ufupi niseme ufahamu wangu kuhusiana na ndoto nyevu ni kwamba "ndoto nyevu ni zile ndoto Ambazo unaota wakati wa usiku ambazo hupelekea kuejaculate involuntary(yaani pasipo kutaka iwe hivyo, yaan out of control) ni kwasababu umeota. Nafikir naeleweka.

Sasa leo mchana wakat nipo ndani nimejipumzikia baada ya kupata breakfast nimejikuta nimeota ndoto moja ya kawaida sana ambayo sikufanya tendo la ndoa lakini nilikuwa namtomasa bibie mmoja ambaye kiukweli sikumfahamu. Na baada ya hapo ndo nikajikuta nimeharibu mambo.

Hii hali imenitafakarisha sana nikasema hapana nina wanajamii wenzangu ambao naweza kuwashirikisha na ndyo maana nimelileta mezani.

Naomba msaada aisee kiukweli hizi ndoto nyevu nilikuwa sizipendi sana na ndyo maana baada ya kubalehe tu nilianza kuchakata kwa wingi ili zisije.

Lakin cha ajabu leo imekuja halafu ni mchana. Naomba kufahamu aisee ni ndoto nyevu au mambo mengine.

Ili nijue nakabiliana vipi na hii hali.

Naomba kuwaailisha wakuu.[emoji120][emoji120]
 
Hebu tuwasubirie wadau Ila Nami nitoe ushuhuda wangu hapa na tuondoke stress za maisha.
Nilijikujolea juzi hapa nikawa natetemeka kabisa kwa ule utamu.. Ila hizi ndoto ni tamu sana hasikwambie ntu japo inaniboa kuchafua boxer.

Scnerio nyingine ni kipindi nasomaga secondary na Chuo.. yaan ukute mtihani hujamaliza kufanya halafu msimamizi anakwambia bado dakika 5 yaan nilikuwa najikojolea hadi BAO 3.. Binafsi sijajua kwann kwenye Ile Hali inapelekea ku-ejaculate tena bila kujisigua 😁😁
 
Hebu tuwasubirie wadau Ila Nami nitoe ushuhuda wangu hapa na tuondoke stress za maisha.
Nilijikujolea juzi hapa nikawa natetemeka kabisa kwa ule utamu.. Ila hizi ndoto ni tamu sana hasikwambie ntu japo inaniboa kuchafua boxer.

Scnerio nyingine ni kipindi nasomaga secondary na Chuo.. yaan ukute mtihani hujamaliza kufanya halafu msimamizi anakwambia bado dakika 5 yaan nilikuwa najikojolea hadi BAO 3.. Binafsi sijajua kwann kwenye Ile Hali inapelekea ku-ejaculate tena bila kujisigua [emoji16][emoji16]
Hahahaaaa mkuu hio ya kwenye mtihani tupo wengi sana.....halafu baada ya kutupiaa akili inatulia hadi raha.
Shule hizi bhas tu ngoja tukomae na maisha
 
Mkuu acha kuhangaika tafuta demu acha habari z kujificha kwenye kivuli cha ndoto acha kabisa kupiga punyeto
 
Niulize chochote kuhusu ndoto uliyoiota nikupe tafsiri

Nb kuna ndoto zenye uhitaj wa tafsir na zingine haiitaj ni ujumbe wa moja kwa moja zingine ni kutokana na shughuli ya kila siku imejirudia kwenye ubongo kwa mfano kuota unaandika andika na jana ulikua na kaz ya kuandika andika
 
Usiku wa leo nmeota ndoto... Nipo nahamisha vitu ndani ya nyumba tuliohamia kwaajili ya makazi mapya na kuvirudisha makazi ya zamani.

Ila baadae nikaenda tena kutoa vitu nilivyorudisha kule kwenye makazi ya zamani na kutaka kuvirudisha tena kwenye makazi mapya ila ile nafika pale mlangoni nikakuta mlango umefunguliwa kwa kubomolewa pembeni na ndani wakatoka mbwa wawili wakakimbia ila mmoja akawa anajaribu kurudi ila namfukuza na baada tu ya hiyo ndoto hapo hapo nikaanza kukabwa kama kawaida, kuja kushituka ni saa10 usiku na usingizi ukaisha mpaka asubuhi hii [emoji22]
Tafsir hutokaa kwenye hiyo nyumba sababu ya uchaw
 
Back
Top Bottom