inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hakuna kukabwa,ni ulimi unaziba tundu la hewa,na wanaodai kukabwa wote hulala chali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hizo ndoto zilianza zamani sana kipindi ambacho sina hata jambo la kunifanya niweze na mawazopunguza mawazo mkuu mawazo hayatakufikisha hata hapo morogoro nje ya hapo utaota sana
Anza tu kugawa Urithi Safari inakaribia!!Habari za jumamosi wakuu! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi nimekuwa mhanga wa tatizo hili na limekuwa la muda mrefu sana toka 2015 mpaka hivi leo nimekuwa nikikutana na tatizo hili na mara ya mwisho kunitokea ni kama week mbili zilizopita hapo nyuma.
Wengi husema ukilala chali ndio hutokea hivyo lakini kwangu sasa imekuwa sivyo tena bali hata nikilala kawaida kwa style yoyote ile, jambo hilo linaweza kunitokea. Nakumbuka kuna kipindi fulani hii hali ilizidi kwa siku ilinitokea kama mara 4 yaani usiku, asubuhi mapema majira ya sa12 ikanitokea na mchana pia nilivyolala ikanitokea, na usiku wa hiyo hiyo siku kwa kuwa nyumbani walifahamu hiyo siku tatizo lililonikuta basi usiku tulisali sana na nikabadilishiwa chumba cha kulala lakini usiku hali iliendelea vilevile.
Siku iliyofuata tulienda kwa mchungaji kwaajili ya kufanyiwa maombi lakini baada ya kufika kwa mchungaji kuna maneno alikuwa akiniambia na akiongea ambayo baadaye yalinifanya nijiulize sana maswali. Na pia kabla ya nyumbani kuchukua maamuzi ya kunipeleka kwa mchungaji, mama yangu alisema aliwahi kwenda kwa mchungaji huyo huyo kufanya maombi yake ya kawaida kama siku zote na alisema kuna siku mchungaji yule aliwahi kumwambia kuwa "una mtoto wako ambaye husumbuliwa na ndoto za ajabu wakati wa usiku...."
Hayo maombi nilifanyiwa zamani ni miaka sasa imepita ila hali hii hujirudia mara chache sana sasa nashindwa kuelewa labda huwa ina maana gani? Kwa kuwa humu JF kuna watu wengi wenye uelewa wa mambo mengi tofauti tofauti basi na uhakika naweza elewa kitu.
Asanteni! Mkawe na Sabato Njema!
iyo ni greatest remedy of all time.Hii sio kwamba ndio nitasababisha matatizo zaidi
Nashukuru sana kwa huu ushauri [emoji1431] ubarikiwe !Tatizo watu mnapuuzia mnayoambiwa na watu wa Mungu, na wengine wanayadharau kabisa na kuona ni vitu vya kufikirika tu. Je, hujawahi kuambiwa na mtu wa Mungu kufanya jambo lolote? Ulifanya? Na kwa kiwango gani?
Inaonekana unasemeshwa, na ndio maana unasema unaongea vitu visivyoeleweka. Samuel wakati anapata unabii, alisemeshwa akiwa amelala, lakini jambo hili lilikuwa jema na ulikuwa ujumbe kutoka kwa Mungu. Kwako wewe, ujumbe unaopewa hauna nia njema na wala hautoki kwenye nuru, bali kwenye giza. Kwa bahati nzuri, bado kuna nguvu (yawezekana wewe mwenyewe, wazazi, au mababu; maana nguvu huwa haipotei: conservation of energy), ndio inayokusaidia.
Nini cha kufanya? Tekeleza uliyoambiwa na watu wa Mungu, wala usipuuzie. Utawajuwa watu wa kweli wa Mungu, na wale wasio wa kweli, fuata maagizo ya wale wa kweli. Kwa mfumo aliotuwekea Mungu hapa ulimwenguni, hakuna tatizo lisilo na suluhisho, na ndio maana kila mtu alipewa kipawa tofauti na mwingine, ili kila mmoja awe na msaada kwa mtu mwingine.
Kuna watu wa shetani kumbe.Tatizo watu mnapuuzia mnayoambiwa na watu wa Mungu, na wengine wanayadharau kabisa na kuona ni vitu vya kufikirika tu. Je, hujawahi kuambiwa na mtu wa Mungu kufanya jambo lolote? Ulifanya? Na kwa kiwango gani?
Inaonekana unasemeshwa, na ndio maana unasema unaongea vitu visivyoeleweka. Samuel wakati anapata unabii, alisemeshwa akiwa amelala, lakini jambo hili lilikuwa jema na ulikuwa ujumbe kutoka kwa Mungu. Kwako wewe, ujumbe unaopewa hauna nia njema na wala hautoki kwenye nuru, bali kwenye giza. Kwa bahati nzuri, bado kuna nguvu (yawezekana wewe mwenyewe, wazazi, au mababu; maana nguvu huwa haipotei: conservation of energy), ndio inayokusaidia.
Nini cha kufanya? Tekeleza uliyoambiwa na watu wa Mungu, wala usipuuzie. Utawajuwa watu wa kweli wa Mungu, na wale wasio wa kweli, fuata maagizo ya wale wa kweli. Kwa mfumo aliotuwekea Mungu hapa ulimwenguni, hakuna tatizo lisilo na suluhisho, na ndio maana kila mtu alipewa kipawa tofauti na mwingine, ili kila mmoja awe na msaada kwa mtu mwingine.
Ulimi huwa unaziba ndundu la hewa wakati gani? Je ni mcha au usiku au ukilala tu? Mfano mimi ilikuwa ikinitokea hili nikiwa sijalala chali mida ni sa nane usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi. Unawezaje kunielezea kuhusu upande wangu pia?Hakuna kukabwa,ni ulimi unaziba tundu la hewa,na wanaodai kukabwa wote hulala chali
Unajuaje kwamba hukulala chali!?...unapolala mwili hulegea,hata vishuzi hukutoka bila kuamua,ulimi nao hulegea,hurudi nyuma na kuziba tundu la hewaUlimi huwa unaziba ndundu la hewa wakati gani? Je ni mcha au usiku au ukilala tu? Mfano mimi ilikuwa ikinitokea hili nikiwa sijalala chali mida ni sa nane usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi. Unawezaje kunielezea kuhusu upande wangu pia?
Ninaelewa kwa sababu nilivyolala ndivyo ninavyoamka huwa najiona sijabadili ulalaji. Lakini hujanijibu maswali yangu mengine.Unajuaje kwamba hukulala chali!?...unapolala mwili hulegea,hata vishuzi hukutoka bila kuamua,ulimi nao hulegea,hurudi nyuma na kuziba tundu la hewa
AminaNashukuru sana kwa huu ushauri [emoji1431] ubarikiwe !
Wote tuliumbwa kuwa watu wa Mungu, ila ni sisi wenyewe tunaamua kuacha kufuata njia za Mungu na kugeukia njia za shetani.Kuna watu wa shetani kumbe.
Asante mkuu kwa kunifundisya jambo jipya siku ya leo.
Nafikiri ungemjibu hivi wote ni watu wa Mungu ila watu wote si watoto wa Mungu.Wote tuliumbwa kuwa watu wa Mungu, ila ni sisi wenyewe tunaamua kuacha kufuata njia za Mungu na kugeukia njia za shetani.