Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Akubariki Mungu aliye juu yani nimejua vizuri kuomba na nimepata nafuu kuuuuubwa kuliko hata nilivyotarajia.

Baraka za Mungu ziwe juu yako na wazao wa tumbo lako @ Heaven sent na mshana jr
 
Naomba nianze na hiyo kula chakula

Chakula kinaweza kuwa sadaka, au maagano unaingizwa katk maagano ya kichawi au unalishwa nyama za kichawi katika ndoto

Ndoto ni hali halisi katika ulimwengu wa roho

HeSabu 25:1
Basi Israel akakaa Shitimu, kisha watu wakaanza kuzini pamoja na wanawake, wa Moabu

2 kwakuwa waliwaalika hao watu waende sadakani, sadaka walizowachinjia miungu yao, watu wakala, wakaisujudu hiyo miungu yao.

3 Ikawa Israel kujiunganisha na Baal-peori, unaona hapo juu

Nataka uone tu chakula kilivyo waunganisha na Israel na miungu wa wamoabu

Chakula kiliwaunganisha

Hivyo hicho chakula ni agano unaingizwa na hao wachawi au inaweza ikawa ni maagano ya kwenu

Hiyo inaweza kukufanya hata nguvu ya kuomba ukakosa ikaisha kabisa, wanamaliza kiu yako ya kumtafuta Mungu sababu wameunganisha katika maagano ya kichawi
Inaweza ikawa wanakulisha chakula na kukuingizia ugonjwa wengine hata hamu ya kula wanakosa kabisa

Anza na toba kwaajil yako famlia au chochote kilicho mpa uhalal kukupata ktk ndoto, omba toba kwa agano lolote ulilo ingizwa kwa kujua au kutokujua

Omba toba katika sehemu yeyote inayo mzuia Mungu kutokusikia maombi yako tumia damu ya Yesu

Tumia damu Ya Yesu kuimimina katika mwili wako ili kuvunja agano ulilo ingizwa

Ebrania 10:9
.....aondoe la kwanza ili kusudi asimamishe lile la pili( la kwanza ni agano la kale la pili ni jipya)

Hivyo sema navunja agano sawa sawa na ebrania 10:9
Nafuta hilo agano

Natengua viapo vyote kwa damu ya Yesu, nabatilisha pia.kwa damu ya Yesu

Kolosai 1:13
Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa mwana wa pendo lake

Toa jina lako katika list ya kichawi au ktk nguvu za giza lipatanishe katika madhabahu ya Mungu patanisha katika nafsi ya Mungu kwa Kristo Yesu

2corintho5:18
Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo,

Ukiwa unajitoa mtoe na mwanao ppia

Funga huo mlango wa ndoto kwa damu ya pasaka ili shetan asipate nafasi ya kupita tena

Tangaza kuwa nipo huru kwa Jina la Yesu isaya 61:1

Huyo mdada wa kazi bado unaye? Uliye muota ktk ndoto?

Kuhusu kuota walio kufa
Hakuna ushirika ktk ya walio hai na wafu mtu akifa kafa hawez kukurudia
Hiyo ni mizimu inabeba sura za marehemu kata huo muunganiko kwa damu ya Yesu

Toba ni muhimu, tafuta somo la malango nilielezea jins ya kuomba toba,

Sijaandika vyote, Mungu anisaidie nitaandika vzr tena
Natamani ningekuwa ninaijua bible km wewe!
Mungu mwema sana naendelea kujikomboa na ananisaidia!

Dada wa kazi aliondoka ila alinitafutia mwingine yy mwenyewe.
 
Natamani ningekuwa ninaijua bible km wewe!
Mungu mwema sana naendelea kujikomboa na ananisaidia!

Dada wa kazi aliondoka ila alinitafutia mwingine yy mwenyewe.
Utaweza tu mwenyew bado najifunza kila siku, ni vita kusoma neno lazima uombe, kiu yako Mungu aijaze
 
bwana yesu asifiwe ,mimi nina madhabahu kwa ajili ya maombi chumbani kwangu sasa niliota usiku nipo kwenye ile madhabahu ila nimezungukwa na giza nene kila upande nikaamka nikavunja lile giza ila sijaelewa maana yake,naomba msaada
 
bwana yesu asifiwe ,mimi nina madhabahu kwa ajili ya maombi chumbani kwangu sasa niliota usiku nipo kwenye ile madhabahu ila nimezungukwa na giza nene kila upande nikaamka nikavunja lile giza ila sijaelewa maana yake,naomba msaada
Ni jaribu!. Endelea kuvunja ukitumia kitabu cha yeremia 1:19.
 
bwana yesu asifiwe ,mimi nina madhabahu kwa ajili ya maombi chumbani kwangu sasa niliota usiku nipo kwenye ile madhabahu ila nimezungukwa na giza nene kila upande nikaamka nikavunja lile giza ila sijaelewa maana yake,naomba msaada
Hukuiombea kabla hujaanza kutumia? Giza ni nini? Lazima ujue nn maana yake,
Yesu ni nuru na giza haliwezi kushinda nuru

Kama giza ina maana madhabahu yako haijakaa sawa. Iombee achilia damu ya Yesu hapo, itakase toba ni muhimu, na iweke wakfu kwa Mungu.
 
bwana yesu asifiwe ,mimi nina madhabahu kwa ajili ya maombi chumbani kwangu sasa niliota usiku nipo kwenye ile madhabahu ila nimezungukwa na giza nene kila upande nikaamka nikavunja lile giza ila sijaelewa maana yake,naomba msaada
Hukuiombea kabla hujaanza kutumia? Giza ni nini? Lazima ujue nn maana yake,
Yesu ni nuru na giza haliwezi kushinda nuru

Kama giza ina maana madhabahu yako haijakaa sawa. Iombee achilia damu ya Yesu hapo, itakase toba ni muhimu, na iweke wakfu kwa Mungu.
 
sikuiombea kwa kweli ila niliweka nia kwamba hapa ni kwa ajili ya maombi,nashukuru kwa kunielewesha nitaikabidhi mkononi mwa MUNGU
 
sikuiombea kwa kweli ila niliweka nia kwamba hapa ni kwa ajili ya maombi,nashukuru kwa kunielewesha nitaikabidhi mkononi mwa MUNGU
Kuweka nia lazima umwambie Mungu hii ni mahali pako, sehemu yeyote ambayo unataka Mungu atumie lazima uombe kwa maombi ya toba, ili kama kuna nguvu za giza ziondoke ili kama kuna ufalme wa giza uondoke na nuru ikae hapo.
Kinywa chako kina nguvu mno tamka kwa maneni fuatisha neno la Mungu ukimaanisha, usiombe bila kuwa na neno

Ni kitu kizur umeota ndoto Mungu amekuonyesha kuwa kuna ufalme mwingine siwez ingia hivyo nahitaji uombe ili nuru ikae hapo ili aweke makazi hapo.

Trust me umefanya kitu kizuri na utamuona Mungu kwa kias kikubwa. Kila siku mwaga damu ya Yesu hapo iondoe chochote ambacho si cha ki Mungu. Toba anza na toba
 
Kuweka nia lazima umwambie Mungu hii ni mahali pako, sehemu yeyote ambayo unataka Mungu atumie lazima uombe kwa maombi ya toba, ili kama kuna nguvu za giza ziondoke ili kama kuna ufalme wa giza uondoke na nuru ikae hapo.
Kinywa chako kina nguvu mno tamka kwa maneni fuatisha neno la Mungu ukimaanisha, usiombe bila kuwa na neno

Ni kitu kizur umeota ndoto Mungu amekuonyesha kuwa kuna ufalme mwingine siwez ingia hivyo nahitaji uombe ili nuru ikae hapo ili aweke makazi hapo.

Trust me umefanya kitu kizuri na utamuona Mungu kwa kias kikubwa. Kila siku mwaga damu ya Yesu hapo iondoe chochote ambacho si cha ki Mungu. Toba anza na toba
ahsante sana dada mwenyezi mungu azidi kujitukuza kupitia wewe
 
mimi ninaota tangu utoto wangu ninauwezo wa kutembea hewani kama napanda ngazi na hiyo hunisaidia kuwakimbia maadui ndotoni au hata kuwashangaza wengine Divine... nipe suluhisho dada
 
mimi ninaota tangu utoto wangu ninauwezo wa kutembea hewani kama napanda ngazi na hiyo hunisaidia kuwakimbia maadui ndotoni au hata kuwashangaza wengine Divine... nipe suluhisho dada
Kama unaweza kwepa maadui katika ndoto ni kitu kizuri wala sio cha kukemea zaidi uzidi kusoma Neno na ukae kwa utakatifu kwa Mungu.

Huo ni ulimwengu wako wa roho unakuwa na vita lakini Mungu anakushindia. Hii ni geneal knowledge,

Zidi kuomba kwa Mungu uombe na sio ukimbie tu uwapige na uwashinde, sababu adui anajipanga sasa kama hujui kuomba muombe Mungu akufundishe kuomba weka nia na kiu ndani yako. Ili hiyo neema ya kushinda vita isikupotee. Sijaweka maandiko hapa hadi nitulie na kupitia maandiko. Lakin kwa ujumla ni hivyo.
Linganisha na maisha yako upoje ukipita ktk vita unashinda au hushindi, unaweza kimbia mahal pabaya au hukimbii?
 
Nilikuwa na shida ya ndoto za kuota nafanya ngono, kula, kuota misiba! Ila nikasali sana na kuomba huruma ya mungu

Ila siku moja, nikaota napewa wali na nyama nikakasirika sana kimoyomoyo nikasema namwaga kweli nikakibamiza ukutani kwa ujasiri mkuu. Jamani ila nimeota tena juzi napewa wali na uncle wangu nikala vijiko viwili ndio nikastuka tena jamani nikaanza kukemea...

Nimeota tena eti nashindwa kumuua mwanangu wa kipepo mikono inakosa nguvu KBS
Pia nashindwa kunyang'anya mkoba wangu upo kwa shetani..!!

Nimeota tens nimepewa yai ( yai LA kuku) na MTU nisiyemjua nikapokea daaaah!!
Kinyonga amening'ata nikamkamata nikataka kumchoma moto mume wangu akazembea akakimbia yule kinyonga..


Furaha yote imetokomea.
Mungu wangu nisaidie.
 
bwana yesu asifiwe wapendwa .nimeota nyumba yangu naiona katika ramani ile ile lakini inaonekana chakavu sana na imejengewa fito zilizochakaa nikashtuka nikiwa na hofu sana na kabla ya hapo nilikuwa naombea ardhi ya nyumba yangu,naomba msaada tafadhali
 
bwana yesu asifiwe wapendwa .nimeota nyumba yangu naiona katika ramani ile ile lakini inaonekana chakavu sana na imejengewa fito zilizochakaa nikashtuka nikiwa na hofu sana na kabla ya hapo nilikuwa naombea ardhi ya nyumba yangu,naomba msaada tafadhali
Omba utakaso kwanza kabla ya kuombea ardhi hiyo. Jitakase kwa maombi kisha anza kuombea ardhi hiyo.
 
Nilikuwa na shida ya ndoto za kuota nafanya ngono, kula, kuota misiba! Ila nikasali sana na kuomba huruma ya mungu

Ila siku moja, nikaota napewa wali na nyama nikakasirika sana kimoyomoyo nikasema namwaga kweli nikakibamiza ukutani kwa ujasiri mkuu. Jamani ila nimeota tena juzi napewa wali na uncle wangu nikala vijiko viwili ndio nikastuka tena jamani nikaanza kukemea...

Nimeota tena eti nashindwa kumuua mwanangu wa kipepo mikono inakosa nguvu KBS
Pia nashindwa kunyang'anya mkoba wangu upo kwa shetani..!!

Nimeota tens nimepewa yai ( yai LA kuku) na MTU nisiyemjua nikapokea daaaah!!
Kinyonga amening'ata nikamkamata nikataka kumchoma moto mume wangu akazembea akakimbia yule kinyonga..


Furaha yote imetokomea.
Mungu wangu nisaidie.
Mungu humpenda mtu mkweli.
Tayari ulikuwa ulishasajiliwa ktk ulimwengu wa Giza (kula nyama, vyakula na hizo ngono).
Ukishasajiliwa kutoka ni process nzito ambayo lazima uvunje kwa kufunga na kuomba at least siku tatu halafu kila siku kati ya saa saba hadi tisa uwe na maombi ya kuvunja agano within three days utapata majibu. Kataa kufanya mapenzi usingizini kwa damu ya yesu kristo aliye hai. Tumia zaburi 146:6-9 kukataa kuinamishwa na majini. Sema hapana.
 
Back
Top Bottom