wakuu msaada juu ya hili
jana nilifanya kitu ambacho ni chukizo kwa mungu sasa kila siku kabla ya kulala huwa nasoma neno na kusikiliza gospel songs ila jana sikufanya sala kabisa sababu nilifanya chukizo
kabla sijalala nilijiwekea kauli kichwani nataka kutafakari juu ya kile nilichokifanya na pia nifanye maamuz na mustakabali wangu
badae nilipitiwa na usingizi , niliota ndoto nipo safarini nikafika mahali nipumzike kwenye mji wa watu nikapokewa vizuri tu na nikaishi nao vizuri tu wenyeji wangu walikuwa vijana wa rika langu baadae nikaanza safari ya kuelkea huko niendako wakati wananisindikiza nikajipapasa sina simu na suruali ambayo nilihifadhia iyo simu haikuwamo kwenye begi langu la mgongoni na wao wakawa wananishangaa nilojiona mzembe fikra zangu zikawa zinaniambia nguo iko mahali fulani ila namna ya kuipata siwezi nilishtuka toka usingizini nikawa naitafakari juu ya hii ndoto naomba mnisaidie juu ya hili
jana nilifanya kitu ambacho ni chukizo kwa mungu sasa kila siku kabla ya kulala huwa nasoma neno na kusikiliza gospel songs ila jana sikufanya sala kabisa sababu nilifanya chukizo
kabla sijalala nilijiwekea kauli kichwani nataka kutafakari juu ya kile nilichokifanya na pia nifanye maamuz na mustakabali wangu
badae nilipitiwa na usingizi , niliota ndoto nipo safarini nikafika mahali nipumzike kwenye mji wa watu nikapokewa vizuri tu na nikaishi nao vizuri tu wenyeji wangu walikuwa vijana wa rika langu baadae nikaanza safari ya kuelkea huko niendako wakati wananisindikiza nikajipapasa sina simu na suruali ambayo nilihifadhia iyo simu haikuwamo kwenye begi langu la mgongoni na wao wakawa wananishangaa nilojiona mzembe fikra zangu zikawa zinaniambia nguo iko mahali fulani ila namna ya kuipata siwezi nilishtuka toka usingizini nikawa naitafakari juu ya hii ndoto naomba mnisaidie juu ya hili