Ndugu yangu Half American, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sawa, sio kwamba sifahamu..
Madam hebu tuma house girl aje ani pokee, maana toka Jana sija lala vizuri.

ila sijaja kivivu niko na mbuzi, jogoo1, mihogo gunia 1 na unga wa dona maana mi siwezi kula chipsi yai
 
Dah hapa ndio naelewa ule msemo wa. Ngurumo, kuwa. Uki zaliwa mwanaume kila kitu kwako ni tabu
 
Dah! Kwa hiyo kakutelekeza stendi hakika huu c uungwana πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…