Ndugu yangu Half American, hii ni zaidi ya miyeyusho na mizinguo

Chukua mbuzi simamisha juu ya meza uza, jogoo mfanye kipaza sauti mtikisetikise usikike πŸ˜…πŸ˜…

Uje kuwa motivesheni ulianzia stendi dar huijui na ukatoboa una mtaji wa B 1 sasa πŸ˜„πŸ˜„
 
Hivi huwa ni kwanini au inategemea na moyo wa mtu! Mimi SIKUWAHI kumkimbia mtu nilipokuwa naishi daressalam
Nadhani kwa sababu watu wa Dar es Salaam huwa tuna matambo tukienda mkoa tunakuwa tumejiandaa na tuna brag tumepatiia maisha. Sasa wana wakija tunaogopa watajua ukweli kuwa ni pwagu pwaguzi pangu pakavu
 
Chukua mbuzi simamisha juu ya meza uza, jogoo mfanye kipaza sauti mtikisetikise usikike πŸ˜…πŸ˜…

Uje kuwa motivesheni ulianzia stendi dar huijui na ukatoboa una mtaji wa B 1 sasa πŸ˜„πŸ˜„
Asante Kwa ushauri, ila ngoja kwanza wani katae Kama yesu
 
Cha kushangaza nime fika stendi ya magufuli hapa, una niambia nimu ulizie rasi?.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…