Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #141
Nime vaa shati jeupe ila kutokana na na kufubaa liko Kama jekundu.Nielekeze ulivyovaa ili nikimtuma dereva wangu asipate shida kukutambua.
Ukiwa hapo Stendi ya Magufuli, Kuna Saluni Moja ya Kiume (Berber shop) opposite na kibanda cha Wakala wa Pesa (MPesa/NMB)
Ingia humo nitakukuta, waeleze wewe ni mgeni wa Mzee Grahams watakuruhusu uketi ukinisubiri
Zipi hizo mkuu🤔pm ya sangapiWe una sema kulima ushamba?, akati nili kuwa naji patia zangu karanga na mihogo bila kulalamika.
huyo Bolotoba hata pm zangu hajibu aisee , 😂 😂
Kwa kina best naso ndo wapi?Mkuu. Mimi nipo kwa kina best Naso huku,
Usiku tutaenda kupanda mihogo ndo tule ugali mkubwa?!Nauli yenyewe naitolea wapi sister?, halafu njoo hata Kwa miguu ili tuki fika home tuna pika ugali mkubwa.
Au hazi kufika mkuu?Zipi hizo mkuu🤔pm ya sangapi
Si mwanza mzeeKwa kina best naso ndo wapi?
Nimesha kujua, ila navunga tu.Usiku tutaenda kupanda mihogo ndo tule ugali mkubwa?!
😹😹😹Afu wewe
Mbona ulimwambia Intelligent businessman upo dar 😂😂😂😂Mie nipo mwanza nipo nakuna poumbu tu Sina kazi!
Huenda mkuu sijaona pm alafu mchana nakuwa na vibarua ya kufukua mitaro ya watu (kwenye mbele ya fremu za maduka) sio mitaro ya "nduku/kinyeo"Au hazi kufika mkuu?
Lini hiyo sio kweli!Mbona ulimwambia Intelligent businessman upo dar 😂😂😂😂
Dah itakuwa ali patwa na wenge, ila njoo uni pokee🤣😂Mbona ulimwambia Intelligent businessman upo dar 😂😂😂😂
Tulia hapo hapo nakuja Kijana masikini asije kusepa na huyo jogooNimesha kujua, ila navunga tu.
Mihogo tuta chemsha Haina shida sister.
Una nikataa chafu yangu?, njoo uni pokee aisee.Lini hiyo sio kweli!
Sogeza hiyo mizigo yako hapo Saluni nilipo kuelekeza, sio mbaliNime vaa shati jeupe ila kutokana na na kufubaa liko Kama jekundu.
suruali nyeusi ya kitambaa, sema ime nyooshwa.
Halafu niko na mizigo ya magunia, Niki ondoka wata iba mzee.
Jogoo mwenyewe ana tetemeka kinyama, sijui ana ona nini?
Intelligent businessman unaona vijana wako wa chama cha majobless😹Lini hiyo sio kweli!
Mzee nakusubiria hata iwe saa 6 usiku, hakika nakuambia huyu mbuzi ni mkubwa Kama Simba.Sogeza hiyo mizigo yako hapo Saluni nilipo kuelekeza, sio mbali
Isingekuwa hii foleni kuanzia hapa Kimara Bucha ningekuwa nimefika kukupokea.
Sasa jitahidi uishushe hiyo mizigo yako Chini, maana nimeambiwa tangu umeshuka na Basi bado umeiweka Kichwani 😜
Nakuja kaka😂😂 huyo mbuzi hakusumbui au umemfunga kamba shingoniDah itakuwa ali patwa na wenge, ila njoo uni pokee🤣😂
Ur just joking my mind right now is "overcunfyusedasssassinated"Intelligent businessman unaona vijana wako wa chama cha majobless😹