Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #161
Nakuja kukupokea Kijana wangu, usijaliMzee nakusubiria hata iwe saa 6 usiku, hakika nakuambia huyu mbuzi ni mkubwa Kama Simba.
Haya jogoo nilio wabeba wame nona, njoo uni pokee kijana wako.
Hujasema!! Bado Hilo bichwa halijawaka motoUr just joking my mind right now is "overcunfyusedasssassinated"
Mchele huu ni kitumbo una vimba haswaa, usi ogope kuna gunia 1 la mihogo mibichi hapa.Nakuja kukupokea Kijana wangu, usijali
Lakini hicho kiroba cha Mchele cha debe 1 ninavyowafahamu nyie Wasukuma utakula na kumaliza baada ya wiki moja, sasa mbona umesema unataka kukaa DSM miezi 3 ππ
We Jamaa miyeyusho sana, hio saa 5 si wata niibia hawa Jamaa?Siwezi kufanya ujinga kama huo mbele ya Rais wangu. Simu yangu ishafikia asilimia hamsini hivyo inaanza kuporomoka kwa supidi ya roketi. Muheshimiwa Intelligent businessman nitakukuta mida ya saa tano tano hapo mkuu ngoja niweke simu chaji. ila kumbuka hii ni daaslam usicheke na yeyote.
Hio simu inaporomoka na asimia hamsiniπ€£Siwezi kufanya ujinga kama huo mbele ya Rais wangu. Simu yangu ishafikia asilimia hamsini hivyo inaanza kuporomoka kwa supidi ya roketi. Muheshimiwa Intelligent businessman nitakukuta mida ya saa tano tano hapo mkuu ngoja niweke simu chaji. ila kumbuka hii ni daaslam usicheke na yeyote.
Ok. Mimi kwa sasa nipo nje ya nchi ila naweza mtuma kijana aje akuchukue haina shida. Nipe mawasiliano. Leo wale kuku wa kienyeji.Brother GENTAMYCINE na Chizi Maarifa hii ni last option kwangu, ila Sina jinsi.
mdogo wenu niko stendi ya magufuli hapa, naomba mni pokee.
Sijaja kivivu niko na mbuzi, jogoo2, mihogo gunia 1 na unga wa dona maana mi siwezi kula chipsi yai.
Nipo pabayaaaaa nitakupigiaaaBro Evelyn Salt pokea Simu jomba
Wageni huja na taarifa mwezi mmoja kabla. Wewe umeshafika ndiyo unatoa taarifa? π π π π π kalale hotel. Next time utakuja na taarifa mapema. πBoss wangu wa zamani Bantu Lady niko stendi ya magufuli, njoo uni pokee ndugu yangu.
Upo wap now mkuu Mimi nipo kigamboni Cheka ndipo napo kaa Kama unaweza kuja ruksa kaka karibu sanaa dar es salaam.Ma brother Dr am 4 real PhD niko stendi ya magufuli hapa, huruma yako ni msaada tosha.
πππ nasemaje sisemi kitu kumhusu muheshmiwa Raisi, niliona huu uzi kabla yako lakini nikapita kimya kimya.
Kumbuka kauli ya Raisi ni Sheria.
Labda nimwite semaji la chama bwana makutupora aje afanye anachoweza kumsevu Mista presidential maana jua ndio hilo linazama.
Mtu kuitwa nusu muamrica nao ni upuuziBro huu sio utu wala uungwana kabisa, hata Kama ni unyama huu sio wa Dunia hii.
nakumbuka ni wewe ndio uli nishauri nitoke kwetu nanjilinji, ili nije kukutembelea huko daslam.
Kila tuki piga story una nichana eti nanjilinji sio pazuri, eti mi binadamu nakubali vipi kukimbizana na nyani shambani.
Nika sema isiwe kesi, jana usiku nika kujulisha kuwa bro kesho juma tatu naanza safari.
Ukasema niondoe wasiwasi, eti tuko pamoja na tayari ume andaa kuku wa chalinze.
Cha kushangaza nime fika stendi ya magufuli hapa, una niambia nimu ulizie rasi?.
Kila ninaye muuliza ana ishia kuni tazama na kucheka, Eti wana mjua rasi Simba tu.
Bro Half american ndugu yako bado niko stendi ujue.
View attachment 3248012
ndio mambo ya mjini haya nunua maji hauko mkoani ndugu usione haya kununua maji mji unakutaka hivyoMkubwa kuwa na huruma, mimi sipa jui Huku.
aisee na hivi jua kali hapa natiririka jasho, Kama nime toka kuogelea ziwani.
Mi napokea wadada tu πNamtafuta bro Mpaji Mungu huyu mchaga ana semaga yuko daslam, sijui ata nipokea?