Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Humu ni jukwaa huru hata CCM mbatumia matusi ya kila aina hakuna wa kuwazuia, lakini live kwenye vyombo vya habari hakuna mpinzani ataweza kuwaita CCM misukule kwani atabambikiwa kesi ukoo wake wote waozee jela
WAkimuomba vielelezo atakosaHoja ni hii tu mmeishikilia huku mkijua ni stori stori
Mjibu anayouliza 1.5tr uwanja wa chato ndege zimenunuliwa kihuni Hazina pesa hakuna kupotea na kuuwawa kwa watu kupigwa risasi
Haya ndiyo yanawahusu walipa kodi
Ushoga ni maisha binafsi hajawahi kusema ataruhusu ushoga
Alisema Katiba izingatiwe
Msipindishe maneno
Mtaji wetu sisi ni watanzania wenye sifa za kupiga kura, waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura na wenye kadi ya mpiga kura kama ni hao ndio unawaita wajinga basi sawa sisi wajinga tutakipigia kura ya ndio chama cha mapinduzi kwa wingi sana.
Tarime leo hiiWanafiki ninyi msionadi sera za chadema mnaowashamulia wagombea wengine kwa majina kinyume na maadili ya uchaguzi
Lissu hajawahi kumbembeleza Shetani na hatothubutu , mlikosea mliposhindwa kumuua tu pale dodoma
Polepole kawaita wapinzani misukule leo hii hii je? NECCCM Tumeccm watamwita kumhoji?Kuna upande mmoja matusi ni kama mfumo wa kuchangia, ni vizuri kuepuka majibishano ya moja kwa moja na watu wenye matusi na washari. Mimi nawaita Madictator wa JF. W
Sijaona mgombea waajabu na asietumia hakili km lisuLisu amefungiwa kufanya kampain kwa siku 20
Wewe sema mpira mnarudisha kwa kipa. Na sisi uchaguzi huu ama afe kipa au beki lazima tuiondoe Chadema kwenye chama kikuu cha upinzani.NECCCM Tumeccm sasa unatumika vibaya kuminya demokrasia, ICC taasisi za haki za binadamu Duniani waitizame NECCCM kwa jicho la tatu
CCM wanufaika wa mfumo kandamizi wakiona hii wanadata ndiyo maana sasa NECCCM Tumeccm wameanza kubuni mbinu za kuwahujumu chadema kwa njia haramu za kishetani
Safi sana, kama ni kweli, ...
kabla mimi sijamtafuta muroto muulize uchunguzi wa jambo lile ulipoishiaInasemwa kuwa Tundu Lissu alikoswakoswa na wahuni wasofahamu kulenga shabaha.
Mimi sielewi chochote.
Ila kama una taarifa yoyote basi mtafute kamanda Muroto.
Endelea kuotaSio kumfungia aondolewe na chadema itangazwe kuwa chama cha kigaidi chenye kuleta vita
Hatuwezi kumchagua Lissu kibaraka wa mabeberu anayetaka kuyaweka madini yetu rehani. Ni mshenzi sana yaani rasilimali zetu akaziweke rehani pumbavu kabisa.Watakaopigia chama cha majambazi ndio wajinga, miaka yote hata bima ya afya ni shida kwa kila mtanzania, halafu mtu anaenda kupoteza muda wake kwenye foleni ya kupiga kura na kuwachagua hao hao kama huo sio ujinga ni nini!.