Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Aliongelea mgombea individual na kumtaja jina lake? Akamtaja Labda Tundu Lisu kwa jina? Ulishamsikia Magufuli akimtaja Lisu kwa jina lake?
Kwani sisi ni watoto tusijuwe ana mlenga nani
 
Sasa comrade wewe unadhani unajua sana kuliko Tume ya uchaguzi? Lissu kaitwa kwa sababu ya kutokwa na meneno ovyo yaani anaropoka. Tume inasimamia wagombea wote na kungekuwa na ulazima wa kumuita JPM wangefanya ivyo ila kwasasa Lissu ndio kaitwa tumuache akanyolewe kelele za nini?
Hivi wakuu ,KUROPOKA , maana yake ni Nini? Maana umekua msamiati unaotumika Sana tuanzie apo kwanza
 
Halafu yule mgombea aliyepiga kampeni na kuwaahidi vyeo wale walioenguliwa, hiyo haina maana kuwa anajiona tayari ameshinda uchaguzi.
 


Comment ziwe fupi fupi tafadharini....
Swali langu la kwanza: Hivi ni kweli Lisu alisema asipotangazwa basi watanzania waingie barabarani? au alisema akishinda na asitanganzwe ndipo ataingiza watu barabarani? hizi kauli mbili tofauti na zina maana mbili tofauti.

Swali langu la pili: Mkurugenzi anapata wapi Confidence ya kumpiga mkwara Mgombea mwenye uelekeo wa kushinda urais ndani ya siku chache zijazo? hii ni kutokana na hali halisi ya mikutano ya wagombea mpaka sasa
 
Siri moja ya kiongozi mzuri ni kujua kuwa huwezi kumfurahisha kila mtu. Magufuli aliamua kwa dhati kuwa lazima nchi isonge mbele regardless ya watu watakaonuna kama wewe. Hatuna muda wa kupoteza kufurahisha watu ni tunapiga kazi usiku na mchana kuhakikisha nchi inasonga mbele.

Wewe endelea kununa watoto wako watakuja kufurahia matunda ya kazi ya serikali ya awamu ya tano chini ya uongozi imara wa Magufuli.
Anachofanya magufuli ni kutufukarisha period.
 
Upewe ushahidi wewe punje ili iweje wakati umekariri zidumu fikra zisizo za mtukufu mwenyekiti wa CCM mpaka umejitoa fahamu zote, watapewa ushahidi wale wanaojielewa pekee.
Si useme tu kuwa huna ushahidi unabwawaja tu.
 
Kwaiyo mkuu unafurahi kweli kweli kuona ndege zilizonunuliwa kwa kodi yako zinakosa wateja? Kuwa mzalendo comrade
Uzalendo ni kula 10% ununuzi wa Ndege? Uzalendo ni kumtoa CAG kafara?
 
CCM inasubiri mbeleko ya NEC na Wakurugenzi

Tatizo watu wana maisha magumu

Fujo na vurugu na Maandamano husababishwa na ugumu wa maisha

Venezuela huko tatizo watu maisha magumu

NEC inajichimbia shimo zaidi

Ongezeni mishahara na wekeni uhuru wa habari watu watawapenda

Una akili sn mkuu.Huu ndo ukweli unaouma.

Watumishi kura kwa Lissu, na familia zao.



'MPIGIE LISSU KURA UPATE BARAKA"
 
Ndio imetoka hiyo. Mtakula maneno yenu sasa. Tanzania huwa hatujaribiwi atakiona kilichomtoa kanga manyoya. Sasa TL unalialia nini?
 


Comment ziwe fupi fupi tafadharini....
Swali langu la kwanza: Hivi ni kweli Lisu alisema asipotangazwa basi watanzania waingie barabarani? au alisema akishinda na asitanganzwe ndipo ataingiza watu barabarani? hizi kauli mbili tofauti na zina maana mbili tofauti.

Swali langu la pili: Mkurugenzi anapata wapi Confidence ya kumpiga mkwara Mgombea mwenye uelekeo wa kushinda urais ndani ya siku chache zijazo? hii ni kutokana na hali halisi ya mikutano ya wagombea mpaka sasa
Mahera is an idiot and spayed man, anasema wao ni tume huru wanafanya kazi kwa uhuru .


Atoe sababu zilizowafanya kuwaengua wapinzani
 
Kama maana ya neno dogo tu kuropoka hujui tutajadili nini comrade?
Mkuu ndio ni neno dogo ila lenye mapana yake, binafsi silijui ndo maana nikaomba msaada naomba tafasili yake, binadam hawezi jua Mambo yote mkuu ,naomba tafasili ya hilo neno
 
Lissu ameponzwa na Lema na Sugu
Lisu hana kosa kwani NECCCM Tumeccm hawana mamlaka ya kumhoji kwani siyo Tume huru ya uchaguzi ni chombo binafsi cha CCM kinachofanya kazi kwa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM
 
Ndio imetoka hiyo. Mtakula maneno yenu sasa. Tanzania huwa hatujaribiwi atakiona kilichomtoa kanga manyoya. Sasa TL unalialia nini?
ajalia tundu lisi nionyeshe wapi amelia ilanaona wanaenda kumuongezea umaalufu zaidi
 
Back
Top Bottom