FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,548
Hb yule alimuuliza umesimamia mkojo? Yule mwingine anamkejeli kuwa analia vizuri kama anavyomlilia bwana wake! PatheticTatizo mmejaa mawazo ovu kila wakati.
Rais alitoa kauli hiyo akitaka ufafanuzi wa upanuzi wa soko. Tatizo liko wapi??
Tena alisima "wewe mama mnataka mpanuliwe kwa upande upi??
An idle mind is the devil's workshop.