Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Leo wakati anaongea na waandishi wa habari Arusha anamalizia kwa kusema "WATANZANIA WANAHITA KIONGOZI AMBAE ATADHITI MADINI YASITOROSHWE, KIONGOZI AMBAYE ATA JENDA ZAHANATI, BARABARA, NA KADHARIKA SIO BLABLABLA."

Tayari tushajua nimgombea wa chama cha ccm anaye jinasibu kwa Sera ya Barabara, Madini, Hospitality na Zahanati. Amesema. Wasiwalaghai watumishi.

Kwa maneno hayo, taya tumejua anaegamea kwa mteule wake anae mpa ugali. Ndo maana tunasema tumahitaji time huru isiochaguliwa na Rais. Na tulisha ambiwa na Raid mwenyewe, " NIKUPE MSHAHARA, GARI NA NYUMBA HALAFU UMTANGAZE MPIZANI KUSHINDA, SITAKUELEWA KABISA." Huyo ndo yule mwanzoni mwa mwaka huu alisema uchaguzi utakua huru ma wa haki. Kama hakukema ya serekali za mitaa, wagombea toka upinzani walipo enguliwa, na kinyume chake alifurahi sana chama chake kushinda kwa asilimia 98.

Na mgombea anaposema tutaibiwa, wana uzoefu wa ya 2015, 2010, 2000 Tanzania bara na Zanzibar. Maalim Self alipokonywa ushindi na Jecha 2015, kwahio rekodi ya ccm ni mbaya mno kwenye swala la uchaguzi. Nchi nzima watu walishajua na kujijengea na kukamatumaini ya wapinzani kushinda. Maana mtaani watu wana sema, wapinzani kushinda ni kazi, maana ccm itaiba kura tuu. Hats tukipiga kura, kushinda ni pagumu. Na ni kweli, majimbo yote wapinzani waliposhi, sio kwa urahisi, bali kwa mbinde kwelikweli.

2020, sio 2015, 2010, 2005, 2000 au 1995. Akiri za watu na uelewa hubadilika hata mtazamo. Wengi wameelimika na wanapata ufahamu zaidi. Upinzani sio vita, wala uvunjifu wa Amani. AMANI NI TUNDA LA HAKI, PASIPO HAKI, HUZAA VURUGU NA MWISHO VITA.
Serekali ilipo madarakani isipoebdeshe uchaguzi kwa HAKI na UHURU, Amani hutoweka vibaya mno.

Bony Marley alishawahi imba nyimbo, "YOU CAN FOOL PEOPLE SOME OTHER TIMES, BUT YOU CAN'T FOOL PEOPLE ALL THE TIME."
CCM read the SIGNS OF TIME. Kama mwaka huu mutapita salama, itabidi mufanye mageuzi makubwa ya vipau mbele vyenu. Because we gonna not be FOOLED AGAIN.
Edit kazi yako mkuu
 
Hivi samahani anayesema kwamba ukichagua upinzani maendeleo sitaleta na anayesema maded wameitwa kwa ajili ya kupewa maelekezo nani ni mvunjifu wa Amani ati au ndo upofu wa kisiasa...
 
That word has been used in this forum for a long time. I do not expect you to have missed it all these years.
I missed it comrade...now, tell me its meaning if you wouldn't mind...tehtehtehtehteh
 
CCM ina mengi sana ya kuonyesha na kushawishi wapiga kura.Kosa kubwa la CCM ni kutokukubali makosa.Kauli ndogo na nyepesi kama "Tunakiri ya kuwa pametokea uvunjaji wa haki za binadamu kwa baadhi ya watu na hili tutashughulikia na kuwawajibisha wote waliohusika"
"Tunakiri ya kuwa mzunguko wa fedha umekuwa si mzuri lakini uta stabilize karibuni hasa baada ya kufanya 1,2,3"
Kauli za kuwaridhisha watu na kuwapa matumaini lakini inataka success tu bila challenges.
Mzunguko wa pesa upi huo wa ulanguzi? Yaani watu wanazungusha pesa za serikali ndio uhalali huo? Nchi gani ulimwenguni inafanya hivyo? Matapeli wakubwa, ndio sababu nchi ilikuwa imenyong'onyea bila kuonesha maendeleo yoyote bali kuna vijitu vinajiona vinamiliki nchi vyenyewe peke yao. wacha magufuli avinyooshe.
 
Hivi samahani anayesema kwamba ukichagua upinzani maendeleo sitaleta na anayesema maded wameitwa kwa ajili ya kupewa maelekezo nani ni mvunjifu wa Amani ati au ndo upofu wa kisiasa...
 
Asante MUNGU Kwa kuendelea kuwatoa ufahamu NEC kwasabb hiki kitendo cha kumwita LISSU aende kujieleza ni ushindi tayari pia Ile haki anayoipigania itapatika mbele ya huyu mwenyekiti wa NEC.

Ukimwita LISSU mbele ya kamati hiyo ni kwenda kuwafundisha Sheria tena huu mwito umekuja wakati mwafaka sana
 
Lisu hajaropoka chochote wala hana kidomodomo bali CCM mmebambikia uropokaji feki ili mpate kumbambikia kesi za kijinga jinga kama kawaida yenu, uropokaji upo huko CCM mnapowaita wapinzani misukule na kila jambo kusema wametumwa na mabeberu, CCM ni ruksa kuropoka ujinga lakini kwa upinzani ni kosa kujibu ujinga wa CCM, hakuna mabaya yasiyo na mwisho walikuwepo akina Bokasa chiluba Abacha Gadafi Sadam Hussein Iddy Amin dada leo hii wapo wapi?
Ccm sio mtu mmoja kama mlivyo chadema na Mbowe, ccm itadumu daima na milele kwasababu sisi hatuwekezi kwa mtu bali wa umma.
 
I missed it comrade...now, tell me its meaning if you wouldn't mind...tehtehtehtehteh
Not today try next time. Wewe upo humu tangu JF inaanza them hufahamu?
 
Leo wakati anaongea na waandishi wa habari Arusha anamalizia kwa kusema "WATANZANIA WANAHITA KIONGOZI AMBAE ATADHITI MADINI YASITOROSHWE, KIONGOZI AMBAYE ATA JENDA ZAHANATI, BARABARA, NA KADHARIKA SIO BLABLABLA."

Tayari tushajua nimgombea wa chama cha ccm anaye jinasibu kwa Sera ya Barabara, Madini, Hospitality na Zahanati. Amesema. Wasiwalaghai watumishi.

Kwa maneno hayo, taya tumejua anaegamea kwa mteule wake anae mpa ugali. Ndo maana tunasema tumahitaji time huru isiochaguliwa na Rais. Na tulisha ambiwa na Raid mwenyewe, " NIKUPE MSHAHARA, GARI NA NYUMBA HALAFU UMTANGAZE MPIZANI KUSHINDA, SITAKUELEWA KABISA." Huyo ndo yule mwanzoni mwa mwaka huu alisema uchaguzi utakua huru ma wa haki. Kama hakukema ya serekali za mitaa, wagombea toka upinzani walipo enguliwa, na kinyume chake alifurahi sana chama chake kushinda kwa asilimia 98.

Na mgombea anaposema tutaibiwa, wana uzoefu wa ya 2015, 2010, 2000 Tanzania bara na Zanzibar. Maalim Self alipokonywa ushindi na Jecha 2015, kwahio rekodi ya ccm ni mbaya mno kwenye swala la uchaguzi. Nchi nzima watu walishajua na kujijengea na kukamatumaini ya wapinzani kushinda. Maana mtaani watu wana sema, wapinzani kushinda ni kazi, maana ccm itaiba kura tuu. Hats tukipiga kura, kushinda ni pagumu. Na ni kweli, majimbo yote wapinzani waliposhi, sio kwa urahisi, bali kwa mbinde kwelikweli.

2020, sio 2015, 2010, 2005, 2000 au 1995. Akiri za watu na uelewa hubadilika hata mtazamo. Wengi wameelimika na wanapata ufahamu zaidi. Upinzani sio vita, wala uvunjifu wa Amani. AMANI NI TUNDA LA HAKI, PASIPO HAKI, HUZAA VURUGU NA MWISHO VITA.
Serekali ilipo madarakani isipoebdeshe uchaguzi kwa HAKI na UHURU, Amani hutoweka vibaya mno.

Bony Marley alishawahi imba nyimbo, "YOU CAN FOOL PEOPLE SOME OTHER TIMES, BUT YOU CAN'T FOOL PEOPLE ALL THE TIME."
CCM read the SIGNS OF TIME. Kama mwaka huu mutapita salama, itabidi mufanye mageuzi makubwa ya vipau mbele vyenu. Because we gonna not be FOOLED AGAIN.
Analo toa mtu mdomoni ndilo lililoko rohoni. Hamna tume hapa. Ukiona reaction yake wakati anaongea utajua kabisa kwamba ni kada.
Halafu hawa wakurugenzi ni safu maana anawataja kwa kichwa kama wamesoma wote toka vidudu.
Sasa tuseme mtawatangaza tuu upinzani wakishinda.. Hakuna compromise hapa..
 
Huyu Mkurugenzi Charles Mahera tunajuwa namna alivyopata hii nafasi ya Ukurugenzi wa NEC kwa upendeleo ili aje atumike kumptisha Magufuli akishindwa au atengeneze mazingira ya Magufuli kushinda.

Haiingii akilini kwa kutomuandikia Magufuli kwa vitendo vya wazi wazi anavyovifanya kwenye mikutano ya Kampeni hasa anapotoa maagizo kwa TANROADS kujenga mababara.

Nitoe onyo tu, Mahera akumbuke ana familia inayomtegemea, akimfumbia macho Magufuli na kukubali maagizo anayompa itamgharimu yeye na kizazi chake. Mwaka huu CHADEMA hatuibiwi!!!
Kwani alitoa ndogo?

Tuweke wazi sheikh
 
Ni kweli Raisi yupo na power zile zile lakini kwa sasa naye ni mgombea na kanuni zinmbana vile vile.
TUme ina hiari ya kufanya itakalo hata kumfuta katika orodha ya wagombea na maisha yataendelea tu.Mbona uchaguzi wa mitaa uliharibika na bado maisha yakaendelea?

Ila kiufundi raisi bado yupo madarakani na ana mamlaka yaleyale.
 
Lissu aanze kumuhoji kwa kutoa kauli hii kabla ya kukubali kujibu watachomuuliza.
 
NKURUGENZI NDIO NINI?. HEBU ONENI HII NYAU. STUPID MIND

..hizo ni lafudhi za watanzania toka maeneo mbalimbali.

..kuna maeneo hawawezi kumtamka " li, " nawatamka "ri."

..maeneo mengine hawawezi kutamka " m, " wanataka " n. "

..tuvumiliane kama watanzania.
 
..sio rahisi nec kutenda haki, haswa katibu wake ambaye anajulikana ni kada wa ccm.

..haki inatakiwa itendeke, lakini zaidi inatakiwa ionekane inatendeka.

Tundu Lissu ende tu Dodoma wamalizane hukohuko.

Kama ni sheria kila mtu aoenyeshe ufundi wake wapingane vigungu kwa vifungu.
 
..hizo ni lafudhi za watanzania toka maeneo mbalimbali.

..kuna maeneo hawawezi kumtamka " li, " nawatamka "ri."

..maeneo mengine hawawezi kutamka " m, " wanataka " n. "

..tuvumiliane kama watanzania.
Hiyo ni typing error tu sema kakosa hoja tu hiyo.
 
Huyu Mkurugenzi anashindwa hata kuficha mahaba yake Kwa CCM? hivi ni kazi yake pia kuona yaliyo mioyoni MWA watu?.
 
Back
Top Bottom