Parasatic Mind
Ni ngumu sana kujibu hoja za Tundu lissu,kwa ufupi jamaa ana akili
Wamuulize Ana Makinda akiwa spika au Samia Suluhi wakati wa Bunge la katiba
Ni dhahiri Tundu lissu hakukariri darasani bali alielewa na ana exposure kubwa
Suala ni kujibu hoja za Kiwanja chato,Pesa za kununua ndege nani anazikagua na zilijadiliwa bungeni?
Kwanini Profesa Assad aliachishwa uCAG
Story hizo za NEC wanasababisha Tundu lissu kuwa na wafuasi wengi zaidi
CCM inasubiri mbeleko ya NEC na Wakurugenzi
Tatizo watu wana maisha magumu
Fujo na vurugu na Maandamano husababishwa na ugumu wa maisha
Venezuela huko tatizo watu maisha magumu
NEC inajichimbia shimo zaidi
Ongezeni mishahara na wekeni uhuru wa habari watu watawapenda