Kwanini ni upuuzi??!! Wewe unaona sahihi huyo Lissu wenu aseme au kutamka kuwa Rais amewaita wakurugenzi wote wa halmashauri kuzungumza nao Dodoma wakati siyo kweli?! Unaona sawa huyo mropokaji Lissu na ambaye ametumwa na mabeberu kutamka kuwa Rais amemuita mkurugenzi wa uchaguzi kuzungumza naye wakati siyo kweli?? Unajua madhara ya kauli hizo?!Upuuzi mtupu wa tume
utasubiri mpaka kufa kwakoFungia huyo jamaa tundu maisha yote, ...
Hahahahaha interesting ...Not today try next time. Wewe upo humu tangu JF inaanza them hufahamu?
Aiseeeeeeeeeeee. DuuuuuuuuMayanga ni kampuni ya ujenzi inamilikiwa na jamaa ambaye ameoa nyumba moja na jiwe na ndio iliyojenga chato airport
Utopolo wenu hawezi kujibu hayo madai kwani!? Awaambie wananchi huyo mayanga ni nani na alipata vipi tenda ya ujenzi. Au pesa za kodi kazigeuza kuwa zake!? Au ndio ule mwendelezo wa upigaji kama walivyowagawia mahawara nyumba za serikali! Bado haijasahaulika hiyo.Ila jamaa anaropoka aisee hana breki , lolote linalokuja kichwani anaongea tu bila kudigest.
Aiseeeeeeeeeeee. Duuuuuuuu
Nenda kamsaidie sio ujuzi kwenye JF mliyoiteka.Lissu aanze kumuhoji kwa kutoa kauli hii kabla ya kukubali kujibu watachomuuliza.
Kwanini ni upuuzi??!! Wewe unaona sahihi huyo Lissu wenu aseme au kutamka kuwa Rais amewaita wakurugenzi wore was halmashauri kuzungumza nao Dodoma wakati siyo kweli?! Unaona sawa huyo mropokaji Lissu na ambaye ametumwa na mabeberu kutamka kuwa Rais amemuita mkurugenzi wa uchaguzi kuzungumza naye wakati siyo kweli?? Unajua madhara ya kauli hizo?!
hakuna kitu kigumu kwa mwanasiasa kama kulazimisha kuwa chaguo kwa wananchiParasatic Mind
Ni ngumu sana kujibu hoja za Tundu lissu,kwa ufupi jamaa ana akili
Wamuulize Ana Makinda akiwa spika au Samia Suluhi wakati wa Bunge la katiba
Ni dhahiri Tundu lissu hakukariri darasani bali alielewa na ana exposure kubwa
Suala ni kujibu hoja za Kiwanja chato,Pesa za kununua ndege nani anazikagua na zilijadiliwa bungeni?
Kwanini Profesa Assad aliachishwa uCAG
Story hizo za NEC wanasababisha Tundu lissu kuwa na wafuasi wengi zaidi
CCM inasubiri mbeleko ya NEC na Wakurugenzi
Tatizo watu wana maisha magumu
Fujo na vurugu na Maandamano husababishwa na ugumu wa maisha
Venezuela huko tatizo watu maisha magumu
NEC inajichimbia shimo zaidi
Ongezeni mishahara na wekeni uhuru wa habari watu watawapenda
Tundu Lissu ende tu Dodoma wamalizane hukohuko.
Kama ni sheria kila mtu aoenyeshe ufundi wake wapingane vigungu kwa vifungu.
Kampeni maana yake nini?UKWELI NIKWAMBA MIKUTANO YA TUNDU LISU INAFUATILIWA KUANZIA RAIS HADI BABY ANAYENYONYA! Na hasa Slowslow!
Chadema futeni sheria uchaguzi utafanyika bila shida ila mkileta uhuni ambao mmekua mkiufanya lazima muitwe kuhojiwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kuinusuru kutoka wapi?Tume ya CCM imeamua kuingia front kuinusuru CCM
Si mlisema risasi 36 zimepungua tena?Yaani kupigania haki za raia wa nchi yake ndio mkampiga risasi 16???
Kwa sababu tu chama/sacos ya ukoo imegonga mwamba? Tanzania kwanza mengine baadaye...ufundi wa sheria ni ktk mazingira ambapo kuna muamuzi au hakimu aliye huru.
..sasa huyu mkurugenzi inajulikana kuwa ni kada, na ushahidi huo uko documented.
..tume nzima walitakiwa wajiuzulu kwasababu hawana "udhu" wa kusimamia uchaguzi ulio huru, na wa haki.
Wewe one day yes!Uvumilivu gan pumbavu mkubwa wewe