Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Mkuu hivi wafahamu kwamba hadi sasa Donald Trump kafanya teuzi mbili ambazo zina utata?

Kwanza kamteua jamaa yake awe mkuu wa posta ili adhibiti kura kwa njia ya posta.

Maana yake Republicans wamenusa kitu kule posta.

Pili, juzi kamteua mwanamama ambae wanafahamiana ili awe jaji mkuu.

Maana yake ni kwamba kukiwa na "chellenge" mahakamani kutoka kwa Democrats basi huyu mama atatupia malalamiko kwenye dust bin na Trump ataenda kuapishwa.

Sasa wao wamarekani ukiwapa reference kama hizi hawawezi kubisha kuhusu uchaguzi ulo huru.

Hizi tume chunguza kote duniani uje kuniambia kwamba zote ni tume huru na hazipo kwa maslahi mapana ya mataifa yao.

Hakutatokea tume huru ambayo itaruhusu mnayotaka ninyi kwamba ni lazima ushindi upatikane hata kama wananchi wanakataa kwenye boksi ya kura.

..nakubaliana na wewe 100%.

..lakini ni lazima kuwe na chombo ambacho ccm, cdm, na wengine, wanataka kukilinda kwa nguvu zao zote.

..juzi tulimsikia Tundu Lissu akiwasifia Polisi kuwa wamemtendea haki maeneo mengi ambayo alipita.

..I wish Tume ya Uchaguzi nao waenende ktk namna ambayo ktk uchaguzi huu Tundu Lissu atawasifia kwa uadilifu wao.

..Hivi kweli toka sakafu ya moyo wako, unaamini manung'uniko na malalamiko yote ya cdm dhidi ya nec ni uongo wa kutupilia mbali?

..Kama Polisi wameweza kujitoa kimasomaso, Tume ya Uchaguzi wanashindwa wapi?
 
😀😁😂😅😄😃😂😁😁😆😆
Ugoro Umeingia Puani
In Gwajima Voice.........
 
Unaushabiki wa kulevya, Mpaka unakurupuka:
1. Tundu Lissu Mikutano yake akiimaliza anafanya Maandamano bila kibali.
2. Tundu Lissu akifanya Mikutano huzidisha muda wa kampeni.
3. Tundu Lissu akifanya Kampeni ili kutafuta kiki hutukana watu Mfano Watumishi wa Serikali kuwaita takataka, n.k.
4. Tundu Lissu anakejeli Miradi ambayo huitumia hata kufika maeneo ambayo anayakejeli.
5. Tundu Lissu kwenye Kampeni zake hawaelezi Wananchi ajenda/Dira yake kwa Wananchi. Anachokifanya ni kulalamikia Risasi alizopigwa na kikosi cha Mwenyekiti wake, kujipendekeza kwa wakoloni, n.k.

NB: To be patient anatakiwa kubadilika. Asije akajisahau kwamba hakuna maisha baada ya kugombea aende akawaulize watangulizi wake 🤣🤣🤣🤣🤣
Haya MATAGA umetimiza wajibu wako kwa kujibu post. Nenda kwa Polepole kachukue ujira wako halafu kakojoe ulale.

Tuache sisi tupiganie kuikomboa Tanzania kutoka kwa Dikteta wa CHATO
 
Kwanini ni upuuzi??!! Wewe unaona sahihi huyo Lissu wenu aseme au kutamka kuwa Rais amewaita wakurugenzi wote wa halmashauri kuzungumza nao Dodoma wakati siyo kweli?! Unaona sawa huyo mropokaji Lissu na ambaye ametumwa na mabeberu kutamka kuwa Rais amemuita mkurugenzi wa uchaguzi kuzungumza naye wakati siyo kweli?? Unajua madhara ya kauli hizo?!
TL mumeshindwa kumpa jina chafu kutokana na usafi wake.

Mola ataendelea kumpigania hadi mtajane wakuda nyie
 
Lisu hakupaswa kupitishwa na kugombea nafasi ya urais kwani alisha kiuka maadili tangu mwanzo...hakuwa na sifa hata kidogo.....
na kwa sasa ndio kadhihirisha wazi wazi utovu wa maadili kwa kuwatukana wagombea wenzake na kama haitoshi amekuwa akihamasisha vuru na kupandikiza chuki. kwa sababu hizo Lisu anapaswa afutwe kabisaa sio kupewa karipio
 
Aliongelea mgombea individual na kumtaja jina lake? Akamtaja Labda Tundu Lisu kwa jina? Ulishamsikia Magufuli akimtaja Lisu kwa jina lake?
Magufol hana jipya na wala hana uweoz WA kujibu hoja zake.
 
NEC naona wanatetea mkate wao...mwaka huu hakuliki na chooni hakuendeki maaanina!

Wamuite boss wao kwanza kwani anagawa taifa hadharani kwa kauli zake za kusema watu wakichangua upinzani hatapeleka maendeleo kama vile anajijua ameshashinda na hela anatoa mfukoni kwake
 
..nakubaliana na wewe 100%.

..lakini ni lazima kuwe na chombo ambacho ccm, cdm, na wengine, wanataka kukilinda kwa nguvu zao zote.

..juzi tulimsikia Tundu Lissu akiwasifia Polisi kuwa wamemtendea haki maeneo mengi ambayo alipita.

..I wish Tume ya Uchaguzi nao waenende ktk namna ambayo ktk uchaguzi huu Tundu Lissu atawasifia kwa uadilifu wao.

..Hivi kweli toka sakafu ya moyo wako, unaamini manung'uniko na malalamiko yote ya cdm dhidi ya nec ni uongo wa kutupilia mbali?

..Kama Polisi wameweza kujitoa kimasomaso, Tume ya Uchaguzi wanashindwa wapi?

Wanaweza kuwa na malalamiko lakini hii ndio chance kwao Dodoma kukutana na NEC uso kwa uso.
 
Kampeini zina mambo mengi na mojawapo ni kama hayo ya uongo,,sasa kwani sheria za nekta zinasemeje pindi mgombea akisema uongo kwenye kampeini?
 
Kavumilia kaona TAL Anazidi kumpoteza
Na hii nidhahiri amethibitisha ameshindwa anatumia hila za waziwazi huku yeye ndo mkiukaji.

Kwa jinsi alivyo wazidi akili wanamwongezea umaafu wafuasi zaidi kwani kilamtu anasubiri nini kinaenda kutokea
 
Mtajua hamjui mwaka huu. Jaribuni kufanya udhalimu wenu juu ya Lissu muone kama tunatania nyuma ya keyboard au Tuko serious
Hamna jipya nyie maji ya shingo mnaanza mikwara nyuma ya keyboard. Oparesheni UKUTA iliishia wapi comrade?
 
Aliye mkashifu mgombea kwa kusema kashiba ugali .. naye aitwe.
 
Mahera yupo kwenye list ya the hague ICC
Huyu Mkurugenzi Charles Mahera tunajuwa namna alivyopata hii nafasi ya Ukurugenzi wa NEC kwa upendeleo ili aje atumike kumptisha Magufuli akishindwa au atengeneze mazingira ya Magufuli kushinda.

Haiingii akilini kwa kutomuandikia Magufuli kwa vitendo vya wazi wazi anavyovifanya kwenye mikutano ya Kampeni hasa anapotoa maagizo kwa TANROADS kujenga mababara.

Nitoe onyo tu, Mahera akumbuke ana familia inayomtegemea, akimfumbia macho Magufuli na kukubali maagizo anayompa itamgharimu yeye na kizazi chake. Mwaka huu CHADEMA hatuibiwi!!!
 
Back
Top Bottom