Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa


tatizo lenu ambao ndo upunguani mnataka kujua nan atashinda kwa kuongea sana, huu ni uchaguzi wa ngap? midahali mingap imefanyika? mbowe amekua mwenyekiti mwaka wa ngap? amefanya mdahalo na nan? rushwa yote iliotokea chadema na yeye ndo mwanasheria wa chadema amemfanyia mdahalo mwenyekiti?

mdahalo lissu hataweza kwa sababu magu sio mtu wa kujibu watu hovyo na pia yeye ni mwanasayansi, lissu anaweza onekana mshindi kwa sababu ya mapunguani kama nyie, but in real sense lissu hataweza kujibu maswali ya kisayansi ya magufuli na magufuli hataweza kujibu sana maswali ya lissu kwa sababu sio mwanasheria: ndo maaana nakwambia its useless
 
Hongera kachukue buku7 yako Lumumba.
 
Yani fikiria wewe ni shabiki wa timu fulani halafu unaambiwa kacheze mechi ya timu unayoishabikia nadhani sote tuna majibu juu ya maamuzi yatakayotokea!
 
Duh! Kweli hiki ni kizazi cha ng'adu kwa ng'adu. Weka ugoko niweke chuma.
 
Vipi alikwenda?

Jiwe ndiye mwenye kauli mzuri?
 
Amezidisha uongo acha aitwe na mnaotetea uongo sawa kwa kuwa ndo manufaa yenu Ila haiwezekan umma uhadaiwe
Kwani magufol haongei uongo?


Uongo WA lissu uko wapi ikiwa mumeshindwa kujibu hoja zake kwa facts.
 
TAL anajiamini sana katika sheria sasa NEC kama ina wansheria wa kimaandazi maandazi atawasumbua sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…