Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Kuliko kujifariji ni afadhari mkaendelea na maisha yenu tu kutafutia watoto wenu unafuu wa maisha,ni bora zaidi kua huna chama kuliko kushabikia upinzani huu wa kipuuzi tu
Unajua lolote kuhusu maisha yangu?
 
Wagombea hawa wawili lazima walindwe

Mgombea urais kupitia chama cha CHADEMA apewe ulinzi wa kutosha ili asije shambuliwa tena..
Yes!!!,,...comment mujarabu kabisa.

Oleksanda anaweza kunywa sumu, maana kwa upepo huu unavoenda...hatoboi aisee...so lazima alindwe ili baada ya novemba, atujibu vizuri...
 
Mfamaji unavyotapatapa mwenyewe!

Hadi mnasaidiwa na wakurugenzi wa uchaguzi mana jahazi linaendelea kuzama na kutokomea kwenye uso wa dunia
 
Sipo hapa kumuuliza Mkapaau Bashiru,ninakuuliza wewe uliekuja na hoja ya time huru hapa.
Ikiwa wewe mwenyewe hauwezi kusimamaia hoja unazozianzisha mpaka nimtafute mkapa(RIP) au Bashiru, nataka nikushauri uache mkumbo wa kubeba hoja sehemu bila kuelewa misingi yake ni nini.

 
n
Malalamiko ya Tundu Lisu anapaswa kuyaelekeza ama kwa serikali au kwa bunge linaloisimamia serikali lakini siyo kwa Dr Magufuli kama mgombea.

Lisu anapaswa kuzilalamikia sera za CCM kama anaona zimefeli maana kinachoshindanishwa sera za vyama siyo watu.

Huu mtindo wa kushambulia watu binafsi tusipoukemea utatufikisha pabaya.
Yuko wapi Sadiffa aliyekuwa anamzushia Lowassa kila aina ya uzushi?
Siasa siyo uadui wagombea mnapaswa kuheshimiana.

Johnthebaptist leo Iringa mjini.

Maendeleo hayana vyama!

Nikukumbushe polepole alikua akimtukana sana Lowassa, na jiwe akamwona anafaa akampa uenezi
 
Mwisho wa siku kuna maisha baada ya uchaguzi hata mkipiga porojo uhakika wa magu kurud madarakani upo kwa asilimia kubwa siasa mchezo mchafu ndo maana sitaki kuongelea ya lisu au magu sababu najua kinachoendelea
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa...
Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika. Hii tume ambayo yenyewe haina maadili...ninewupe kama pamba. Wametoa hukumu gani kwa wagombea ubunge na udiwani wa chadema kwa muda huu wote. There are all working in tandem with all the deds to ensure that winner is Magufuli.

A bunch of sycophants dancing at magufuli's tune all the time. Magufuli has breached all the codes or regulations of this election and nothing has been said or done against him.

He has not followed the timetable during the electioneering, speaking in the local dialect as he pleases during this campaign, dealing with construction of road projects during the campaign, giving money to people.

This is absurd and yet no significant statement has come from NEC to condemn what Magufuli is doing. The only help we need is ICC at the Haque. When was the last time magufuli was in the campaign trail..
 
Malalamiko ya Tundu Lisu anapaswa kuyaelekeza ama kwa serikali au kwa bunge linaloisimamia serikali lakini siyo kwa Dr Magufuli kama mgombea...

Na huu mondo wa kusema Lissu ni kibaraka wa mabeberu, katumwa na mabeberu, atatuuza kwa mabeberu nk. Kuwa wapinzani wataleta vita nk. Yanatakiwa kuelekezwa kwa nani?

Maendeleo hayana chama!
 
Maskini!

Eti mtaenda nae.
Huyu mkurugenzi wa tume ni mtu mpuuzi kwelikweli? Yan refalii wa mchezo anaipangia timu moja namna ya kucheza? Aliyemwambia watanzania wote wanataka hayo aliyoyasema nani?
 
Huyu mkurugenzi wa tume ni mtu mpuuzi kwelikweli? Yan refalii wa mchezo anaipangia timu moja namna ya kucheza? Aliyemwambia watanzania wote wanataka hayo aliyoyasema nani?
Ni watanzania ndio wanataka hayo, siyo washabiki wa Lisu
 
Malalamiko ya Tundu Lisu anapaswa kuyaelekeza ama kwa serikali au kwa bunge linaloisimamia serikali lakini siyo kwa Dr Magufuli kama mgombea.

Lisu anapaswa kuzilalamikia sera za CCM kama anaona zimefeli maana kinachoshindanishwa sera za vyama siyo watu.

Huu mtindo wa kushambulia watu binafsi tusipoukemea utatufikisha pabaya.
Yuko wapi Sadiffa aliyekuwa anamzushia Lowassa kila aina ya uzushi?
Siasa siyo uadui wagombea mnapaswa kuheshimiana.

Johnthebaptist leo Iringa mjini.

Maendeleo hayana vyama!

Umesema kweli Yohana👍
 
Wamemwita kwa njia gani? TBC? Magufuli naye wamemwita kwa kuhubiri ubaguzi?
 
Usikute hata hiyo barua inakimbizwa kupelekwa haina hata vifungu vya sheria kulingana na uchaguzi.
 
Back
Top Bottom