NORTHERNER
Senior Member
- Jun 9, 2020
- 121
- 57
Sisi wananchi tunataka kampeni za kistaarabu za wagombea kunadi sera tuwasilikilize tufanye maamuzi Sasa Kama wagombea watakuja majukwaani na matusi na lugha za kashfa tutawapimaje?
Tume mmepewa mamlaka ya kusimamia uchaguzi nchi hii Kama mgombea yoyote kafanya kosa la kiaadili achukuliwe hatua bila kujali ukubwa wake walal ukubwa wa chama chake. Tume simamieni sheria
Tume mmepewa mamlaka ya kusimamia uchaguzi nchi hii Kama mgombea yoyote kafanya kosa la kiaadili achukuliwe hatua bila kujali ukubwa wake walal ukubwa wa chama chake. Tume simamieni sheria