eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 758
Kayataka mwenyewe.. AMekiteka chama na kuanza kuita serikali ya CCM kama Serikali ya Magufuli... Acha Lissu amnyooshe vizuri.. TutaheshimianaMalalamiko ya Tundu Lisu anapaswa kuyaelekeza ama kwa serikali au kwa bunge linaloisimamia serikali lakini siyo kwa Dr Magufuli kama mgombea...