Nzelu za bwino
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 400
- 484
Salaam wana jamvi,leo ni Siku ambayo Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo anatakiwa kufika mbele ya Kamati ya Maadili.
Pamoja na mambo mengine yawezekana Kamati ya Maadili ikamkuta na kosa kulingana na kanuni za uchaguzi, kutokana na hili naomba NEC was one beak at any a kosa Kwa kumpa adhabu ya kumsimamisha kufanya kampeni. Maana Kwa kufanya hivyo watakua wanamuongezea umaarufu na nguvu zaidi kwenye kampeni zinazoendelea.
Nawasilisha.
Pamoja na mambo mengine yawezekana Kamati ya Maadili ikamkuta na kosa kulingana na kanuni za uchaguzi, kutokana na hili naomba NEC was one beak at any a kosa Kwa kumpa adhabu ya kumsimamisha kufanya kampeni. Maana Kwa kufanya hivyo watakua wanamuongezea umaarufu na nguvu zaidi kwenye kampeni zinazoendelea.
Nawasilisha.