Hahahaha, inakuwa kama ile issue ya professor Asad (siku hizi anahudumu MUM), yaani waswahili tabu sana, wanakupamba ila siku mambo yakiwa mabaya huoni hata mmoja wa kuja kukusaidia. Lisu naweza sema uwezo wake wa kufikiri umeathirika sana, yaani anaishi kwenye buble, yaani Tanzania haijui na bado watanzania hawajui, hakuna hata mtu mmoja aliyenaye bega kwa bega, ila ni ushabiki tu wa kumsukuma mbele ili wapate pa kutokea wale wenye nia ovu, na mwisho wa siku ngoma anaicheza peke yake. Probably ataenguliwa kugombea na kushitakiwa