Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Ikiwa hakuna sehemu yeyote ndani ya Tz tunaweza kupata mtu mwenye sifa za kuingia kwenye time,na ambae sio mnazi wa chama fulani,dhana ya time huru Ni ngumu sana kutekelezeka,hata kama hawatateuliwa na Rais. Otherwise watumike robots.
Hizo ni fikra zako na CCM tu . Upinzani wenye vyama vingi unataka tume iliyo huru. Hata Marehemu Mkapa alilisema hili