Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Mwisho wa siku kuna maisha baada ya uchaguzi hata mkipiga porojo uhakika wa magu kurud madarakani upo kwa asilimia kubwa siasa mchezo mchafu ndo maana sitaki kuongelea ya lisu au magu sababu najua kinachoendelea
Usidanganye yeyote, na wewe mwenyewe unajidanganya kuwa kuna unachokielewa, ambacho wengine hawakijui!

Endelea kujidanganya mwenyewe, ila usidhani sisi sote hatuna akili za kujua ujuha ukoje.
 
Na wanaomuita kibaraka wana ushahidi ?!
Katokea kwa wakoloni, na alizunguka nchi mbalimbali kufanya interview zenye kuichafua Tz, plus aina ya kauli za kichochezi anazotoa majukwaani.Hayo yanatosha kumfanya aitwe kibaraka.
 
Katokea kwa wakoloni, na alizunguka nchi mbalimbali kufanya interview zenye kuichafua Tz, plus aina ya kauli za kichochezi anazotoa majukwaani.Hayo yanatosha kumfanya aitwe kibaraka.
Kwani hamkutaka hata aende akajitibu ?!. Mlitaka baada ya risasi azikwe. Na Mungu hakupanga hivyo.

Na huko nje , hajaisema nchi vibaya bali waliotaka kumuua . Tofautisha nchi , viongozi na serikali .
 
Unamsimamisha kampeni unamuongezea promo na mitandao ya kijamaa inabeba jukumu la kumtafutia Kura hapo nini umefanya? Mimi naona Bora umuache aendelee na kampeni.
 
Magufuli kajithibitishia alikuwa anapambwa kama ntukufu ndani ya mwezi tu watanzania wanamwona zimwi hawataki hata kumsikia analazimisha wanafunzi. Watoto. Professor Assad taifa kubwa yule
Hahahaha, unachekesha, Dkt Magufuli ni taifa kubwa zaidi, ndiye kiongozi wetu mkuu, mwenye mamlaka juu yako na mama yako na baba yako. Ndiye anayeamua leo uamke salama! Ndiye amri jeshi mkuu anayehakikisha leo unapata muda wa kumtukana na ukaendelea kula bata mtaani. Na ndiye rais wako utake usitake
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa...
Mkurugenzi mpya wa NEC, Charles Wilson Mahera, a top CCM agent in the electoral body. Huu mchezo haulisaidii Taifa letu.

Dk. Wilson Mahera Charles aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi wa NEC mwaka 2019 ni mwanachama wa CCM, aligombea ujumbe wa halmashauri kuu ya CCM (NEC) kutoka Musoma. Pia ni kati ya DEDs walioorodheshwa Mahakamani kama DEDs ambao ni wanachama wa CCM katika kesi ya kupinga DEDs kusimamia uchaguzi.

Kwa nini MAGUFULI anaharubu nchi yetu iliyojengwa kwa misingi ya upendo, umaja na amani na waasisi wetu akina Julius Nyerere na Karume kwa ajili ya KUNG'ANGANIA IKULU?

Dr Wilson Charles Mahera is TOXIC hawezi kuwa MWAMUZI kwa vile ana MASILAHI na CCM. Hii ni against principle ya NEMO JUDEX EN CAUSA SUA
 
Tume ya uchaguzi poleni sana, mlifanya makosa sana kumpitisha Lisu agombee urais, Sasa baada ya kuona moto wake ni mkali mna haha kumzuia.

Ila wakulaumiwa zaidi ni bwana jiwe, kwani alikataa ushauri akajiona anaweza kupambana na huu mwamba. Huu mwamba hata risasi zimemshindwa sembuse nyie.

Sasa naona bwana jiwe maji shingoni kawageukieni tena mfanye juu chini mu mzuie au kumpunguza makali, Lakini niwaambieni tu mlichopanga kufanya huu moto ndo mtaukoleza....Yaani ndo mnataka kuumwagia petrol. Yetu Macho.

If u want to be safe, don't interfere the process, otherwise the process will kill u.
 
Matangazo ya kila kituo yatangazwe hapo hapo na sio kusubiria eti mpaka yakatangaziwe kule juu kabisa Taifani. Hapa ndo huwa kuna wizi wa kura
 
TL mumeshindwa kumpa jina chafu kutokana na usafi wake.

Mola ataendelea kumpigania hadi mtajane wakuda nyie
Mola anampigania Kila mtu...wewe unapiganiwa na Mungu...Mimi pia hivyo hivyo na JPM pia.. na wengine wote...mola hawezi kumpigania Lissu peke yake...
 
Sasa kwanini anaogopa mdahalo??

mdahalo kwan magu amesomea kuandika IMLA na mipasho? yeye kasoma PCM na ni phd holder huyo mwenzenu kasoma HGE lakini anajiona kama hakuna mwanasheria kama yeye tanzania, cha ajabu kila anachoogea ni pumba supporters wake wanamsupport tu, huu mwaka tegemeeni <20% votes
 
Kila wanachofanya NEC NA CCM WANAMPA MAILAGE Myampaa kwani amesema nn cha uongo au m

which milleage, mm toka hizi kampeni zmeanza ni mtu mmmoja tu ndo namjua anasema anakubaliana na lissu na amesema hapigi kura! sasa mileaga gan unaongea

1601287525663.png


nadhan unaona tafaut ya pcm na hge
 
Mola anampigania Kila mtu...wewe unapiganiwa na Mungu...Mimi pia hivyo hivyo na JPM pia.. na wengine wote...mola hawezi kumpigania Lissu peke yake...
Kama unalijua hilo risasi za nini sasa kwa mtu ambae sio mwizi wala fisadi
 
Kumfungia asiendelee na kampeni, wamepewa maelekezo na aliyewateua wafanye kila joto hasa ya kumzuia Tundu Lissu asiingie Ikulu.
Naona wameanza kurusha mabomu
Hawatambui wanamuongezea Lissu kura in other words wanamfanyia kampeni bila kutambua
ccm vichwa maji kweli kweli
 
Naona wameanza kurusha mabomu
Hawatambui wanamuongezea Lissu kura in other words wanamfanyia kampeni bila kutambua
ccm vichwa maji kweli kweli
Ni wakati wa Mlima wa Babeli kuanguka umewadia.
 
Enyi NEC, sijui mnataka nini na nani kawatuma au kuwashauri mtafute mambo ambayo hayakuwepo

Kumuita Lissu tayari mmemuongezea attention katika jamii, jamii inaacha kumsikiliza JPM na CCM, inasubiri mdahalo wa NEC na Lissu, mgombea wetu JPM anawekwa low profile.

Pia hizo hoja mnazoenda kumuhoji, kwanza nyie ndio mtachangia kuzipaisha zaidi, hata wale ambao walikuwa hawakuzisikia, mmewawekea wigo wa kuzisikia

Haya, mm nawaangalia, sisi tunaohenya saiti ndio tunateseka

Mkimpa adhabu yoyote, mtakoroga, atatafuta public sympathy namadai ya kuonewa yatapata nguvu, pia hoja yake juu ya Uhuru wa tume itapata mashiko, na mkimuacha, mtaonekana wa hovyo tu

Haya mmelikoroga,mlinywe.
 
Dole la Kati limeingia mahara pake,
Kwanza walitunga Sheria kuzuia ukawa isiundwe,wakashindwa,wakatunga Sheria hakuna vyama tofauti kupigiana debe,wakashindwa,
Wakazuia choper ya TL isiruke,wakashindwa,
Sasa wanaitumia NEC kumsumbua TL,watashindwa pia.
TL ni maraika,analindwa na Mungu,hamkuweza kumuua kwa risasi,sasa dole la Kati limewaingia vzr.
Jibuni hoja,bunge gani liliamua manunuzi ya Ndege,ujenzi wa uwanja wa chato,wekeni ushahidi.
Kwa miaka mitano,mlizuia wengine wasiongee,sasa hv,wtz wanawaonyesha hasira zao,you just can not kill an idea,mara hii tunawatimua magogoni,
 
mdahalo kwan magu amesomea kuandika IMLA na mipasho? yeye kasoma PCM na ni phd holder huyo mwenzenu kasoma HGE lakini anajiona kama hakuna mwanasheria kama yeye tanzania, cha ajabu kila anachoogea ni pumba supporters wake wanamsupport tu, huu mwaka tegemeeni QUOTE]Huu ndio upunguani wenyewe, kwani mdahalo ni kwenda kuandila IMLA?? Chuki isikutie upofu mzee. Wanafanya mdahalo nchi zilizoendelea sembuse sisi, lazima wajibu maswali yetu kama wanataka kutumikia lazima tuwahoji.
 
Back
Top Bottom