Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Uchaguzi 2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

Wananchi tulikubali kuwa tuwe na tume ya uchaguzi sasa tume ikifanya kazi yake ipasavyo mnakuja kulialia kuwa wananchi hamheshimiwi. Basi hakuna haja ya kuwepo kwa tume uchaguzi uongozwe kwa matakwa ya chadema.
Tume Ina dabo standard
 
Kwaiyo ulitaka wakwepa kodi waendelee kuchekewa tu? Fastjet afuate sheria na taratibu atarudi kufanya biashara mbona precision ana operates vizuri tu.

Umeona watu wanatumia Precision kama ilivyokuwa fast jest? Kwani kodi walisema hawalipi au ni nyie figisu zenu ili ndege zenu zisikose wateja. Mbaya zaidi na msivyoweza kuwaza wao wameondoka na nyie bado mmekosa wateja wao maana gharama zenu ni kubwa sana. Bila shaka hilo shirika litakufa kama ilivyokufa uda na mwendo kasi unapoelekea sasa hivi. Hiyo SGR subiri tuone kama haitakuwa majanga
 
Wananchi tulikubali kuwa tuwe na tume ya uchaguzi sasa tume ikifanya kazi yake ipasavyo mnakuja kulialia kuwa wananchi hamheshimiwi. Basi hakuna haja ya kuwepo kwa tume uchaguzi uongozwe kwa matakwa ya chadema.
nani kakataa kwamba hakuna tume ya uchaguzi,tofautisha tume ya uchaguzi na tume huru ya uchaguzi
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa mgombea huyo atafika mbele ya kamati Septemba 29 mwaka huu.

Akizungumzia uratibu na usimamizi wa kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu amesema tume imekumbana na changamoto kwa baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais kutoheshimu sheria, taratibu na maadili ya uchaguzi.

Ameongeza kuwa baadhi ya wagombea wamekuwa wakitumia maneno ya kukashifu wagombea wenzao, tume, pamoja na kutoa taarifa zisizo za kweli zenye lengo la kuleta taharuki na uzushi miongoni mwa Watanzania.

Chanzo: TBC Online
Wamemuita wenyewe, WASIMKIMBIE
Ataanza na namna NEC ilivyopotezea mapingamizi yake dhidi ya John Magufuli na Haruna Lipumba, atawaambia namna walivyomteua DEO MWANYIKA Njombe Mjini..atakuja kwenye suala la engua engua na atamalizia na namna John Magufuli anavyotoa rushwa ya uchaguzi kwenye mambo ya barabara


Msimkimbie tafadhali
Na hatumi mwalilishi ng'o
 
Kama mlikopa na kututia kwenye madeni hiyo ni njia bora ya kuliko kujifanya tuna utajiri unaowanufaisha wachache na familia zao. Kila siku sisi matajiri wakati maisha yanazidi kuwa magumu na makato yanazidi kuongezeka.
Fanya kazi kwa bidii huwezi kuja hapa kulialia eti maisha yanazidi kuwa magumu. Ulitaka Magufuli akuletee ugali mezani ?
 
TL asiende tukianzishe hapa hapa. Haina haja ya uchaguzi tena. Wamuite Magufuli kwanza - anadhalilisha akina mama, anafokea wapigakura eti hawapati maendeleo wakichagua wapinzani, sasa wanasema eti TL ana uraia wa nchi nchi nyingine! Waache ushenzi Watanzania tuamue kiongozi tunayetaka atuongoze.
Asipokwenda anaondoliewa kwenye kinyanganyiro .
 
Mwaka huu watalala na tume yao.
Mwenye mtaji wa watu ndie anaemiliki dola
 
Majibu ni marahisi tu, kuwa tume ya uchaguzi sio huru. Wagombea kibao wa upinzani wameenguliwa na tume ya uchaguzi kwa hila, na wagombea wa ccm wanavunja sheria wazi wazi bila kuchukuliwa hatua. Ni hivi, safari hii kuchezea kokote matokeo hakutakuwa na kumuachia Mungu fullstop.
Wamezidiwa wanaomba mapumziko
 
Hivi mkuu unataka kutuambia kuwa ndugu Wa Ben saanane,azorry, kamanda mawazo,na wwngine wengi watakuja kufurahia matunda ya kazi ya awamu ya tano,.ili hali ndugu zao wamepotea ndani ya awamu ya tano.
Ni uongo mkuu..
Sasa comrade kupotea kwa watu kuna husika vipi na awamu ya tano? Kama una ushahidi kuwa serikali ya awamu ya tano imewapoteza hao watu tunakuomba utuletee hapa ili tujiridhishe na shutuma zako.
 
Ili nchi iweze kuendelea lazima tuache kubembelezana ilifikia wakati mpaka wabunge pamoja na kupokea mishahara na marupurupu kibao ila bado walikua kwenye orodha ya wadaiwa sugu wa bodi ya mikopo. Lipa deni bwana ni 15% acha kulialia ili wadogo zako waweze kupata mkopo pia.

Tena usiingie huko kwenye bunge, hao ndio wendawazimu kabisa. Wao wanajali maslahi yao na matumbo yao tu. Wengi wao wakiwa chama cha majambazi. Hawa hoja yoyote kandamizi hawawezi kukataa na kama wasingekuwa wengi bungeni tumgelipa mkopo kama ilivyokuwa kwenye mikataba na sio haya mambo ya unyonyaji. Nitaenda kupiga kura ili nipaze sauti yangu na kujisikia furaha kuwa sijachagua hawa wanyanyasaji na wanyonyaji wa chama cha majambazi.
 
Hahahaa kwani ni uwongo jiwe hajajenga uwanja wa ndege Chato kwa kumtumia Mayanga? waambie watulie sindano zizame ipasavyo
Kweni lini weww ulianza na maendeleo ya jirani yako kabla ya mkeo/mumeo na watoto nyumbani kwako wewe mwenyewe?

Nyambafu nyie watu wengine mko kama ni watoto sijui au ni wehu
 
Nichukue fursa hii kuipongeza tume kwa kuchukua hatua dhidi ya huyi kbaraka.
 
Back
Top Bottom