Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume wamepewa maelekezo sasa naona yanawatokea puani. CCM maskini wanazidi kujichanganya hakuna kosa kubwa kama hili walilolifanya la kumita Lissu wanazidi kumpaisha aisee akili za kuambiwa changanya na za kwako..Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemuandikia barua mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kumuita katika kikao cha kamati ya maadili ya Taifa.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Charles Mahera amesema hilo leo jijini Arusha wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa mgombea huyo atafika mbele ya kamati Septemba 29 mwaka huu.
Akizungumzia uratibu na usimamizi wa kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu amesema tume imekumbana na changamoto kwa baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais kutoheshimu sheria, taratibu na maadili ya uchaguzi.
Ameongeza kuwa baadhi ya wagombea wamekuwa wakitumia maneno ya kukashifu wagombea wenzao, tume, pamoja na kutoa taarifa zisizo za kweli zenye lengo la kuleta taharuki na uzushi miongoni mwa Watanzania.
Chanzo: TBC Online
Fafanua vizuri comrade.Tume Ina dabo standard
Kuwa na Akili ni kutafuna trilion 1.5 kununua Ndege kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge? Kuwa na Akili ni kumtoa kafara CAG kuficha Aibu za ufisadi?Huna akili wewe.
Wananchi tulikubali kuwa tuwe na tume ya uchaguzi sasa tume ikifanya kazi yake ipasavyo mnakuja kulialia kuwa wananchi hamheshimiwi. Basi hakuna haja ya kuwepo kwa tume uchaguzi uongozwe kwa matakwa ya chadema.
Hiyo sasa ndio itakuwa priceless promotion of TALNiliposikia tu kaandikiwa barua ya kuitwa nilijua kitakachofuata ni kupigwa pini kama wiki 2 hivi, ili jiwe liendelee kufukia mashimo siku alizolala
Kwaiyo mkuu unafurahi kweli kweli kuona ndege zilizonunuliwa kwa kodi yako zinakosa wateja? Kuwa mzalendo comradeUmeona watu wanatumia Precision kama ilivyokuwa fast jest? Kwani kodi walisema hawalipi au ni nyie figisu zenu ili ndege zenu zisikose wateja. Mbaya zaidi na msivyoweza kuwaza wao wameondoka na nyie bado mmekosa wateja wao maana gharama zenu ni kubwa sana. Bila shaka hilo shirika litakufa kama ilivyokufa uda na mwendo kasi unapoelekea sasa hivi. Hiyo SGR subiri tuone kama haitakuwa majanga
Kwa sababu ni haki ya kikatiba,but mtachezea kichapo na tume yenu, Hakuna kura hata moja itakayoibiwa this time.Km ina double standard kwann mnashiriki uchaguzi?
Acheni ufala!
Sasa mlikubali vipi kuingia kwenye uchaguzi chini ya tume mnayodai kuwa sio huru?nani kakataa kwamba hakuna tume ya uchaguzi,tofautisha tume ya uchaguzi na tume huru ya uchaguzi
Unafiki unao wewe msaka uteuzi uliyejitoa fahamu mpaka kutokuona kuwa polepole kawaita wapinzani misukule lakini NECCCM Tumeccm ha watathubutu kumhojiWanafiki ninyi msionadi sera za chadema mnaowashamulia wagombea wengine kwa majina kinyume na maadili ya uchaguzi
Namba utaisoma tu uwe wa kike au kiume na uho ndio ukweli.Huo ndio ukweli, habari ya kusoma namba ni mambo ya kike.
Ina maana wagombea wa upinzani pekee ndo awajui kujaza formu,yule mgombea wa ccm mbona anatumia kilugha na pia kutisha wapiga kura wasipowachagua anaowataka atawashughulikia, hapa tume imekuwa kiziwi mbona.Fafanua vizuri comrade.
Vita italetwa na polepole anayewaita wapinzani misukule na NECCCM Tumeccm kwa kuvuruga uchaguziSio kumfungia aondolewe na chadema itangazwe kuwa chama cha kigaidi chenye kuleta vita
Kazi gani zimekufa za kupiga madili?Sera zake mbovu ndio zimefanya kazi zimekufa
Huna akili wewe Minyoo ya nguruweKuwa na Akili ni kutafuna trilion 1.5 kununua Ndege kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge? Kuwa na Akili ni kumtoa kafara CAG kuficha Aibu za ufisadi?
Dili zipo nyingi CCM kuna trilion 1.5 imepigwa, ununuzi Ndege kuna ufisadi mkubwa na miradi yote mikubwa imejaa ufisadi CCM ni ile ile ukoo wa panyaKazi gani zimekufa za kupiga madili?
Vibarua,mboga zinakomaa mashambani Hakuna walaji sababu watu ula maramoja kwa siku.Kazi gani zimekufa za kupiga madili?