NECTA yaacha Utaratibu wa Kutangaza Wanafunzi bora na Shule bora kwa Kidato cha 4

Iliboru siyo ya mchezo kabisa. Yaani division 1 zipo 100 na division 2 ipo Moja . Hiyo ni shule hasa
 
Ndo wamegundua sasahivi. . Ni jambo zuri
 
Wizara ya elimu iamue shule zitumie lugha moja ya kufundishia kuanzia elimu ya msingi mpaka chuo kikuu. Hii ya kubadili gear angani ndio chanzo cha ubovu wa elimu yetu.
Kama tukiamua lugha iwe kiingereza toka chekechea basi walimu wengi sana wa shule za umma itabidi warudi kujifunza hiyo lugha. Walimu wengi hawajui kiingereza, hata wale wa somo la English huwa wanalifundisha kwa kiswahili.
 
Huu utaratibu walikua nao Loyola secondary, mtoto akifanya mtihani huwezi kuona wametaja kawa wa ngapi,we utaangalia trend ya wastani wa marks zake tu..Sijui kwa miaka ya sasa hivi[emoji1745]
 
[emoji3][emoji119][emoji119][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]saafi sana watajua Hawajui

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nilichogundua humu wanaofurahia huo uamuzi ni wavaakobazi ambao shule zao huwa zinashika mkia miaka yote tangu nchi ipate uhuru,pia wanaona wivu na chuki wakiona zile za mtakatifu fulani zimeongoza.kwa kifupi wavaakobazi wamefichiwa aibu.

Katika mashindano yote lazima ajulikane mshindi na aliyepoteza ili mshindi apongezwe aliyepoteza atiwe moyo apambane zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…